kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Innovation continues even in the worst situations

    Innovative Duo Makes Local Ventilator in Record 4 Days By IMRAN OTIENO on 2 April 2020 - 5:33 pm Paul Kariuki and Samuel Kairu posing for a selfie at their workshop on Monday, March 30 FACEBOOK With the world facing a shortage of ventilators, the duo of Paul Kariuki and Samuel Kairu have...
  2. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Coronavirus protective gear output rises

    Coronavirus protective gear output rises WEDNESDAY, APRIL 1, 2020 21:48A worker at Rivatex East Africa in Eldoret. FILE PHOTO | NMG Local textile manufacturers have stepped up production of personal protective equipment (PPE) as demand surges and efforts to battle the spread of the coronavirus...
  3. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: BOC(east africa's largest gas manufacturer) looking for 20,000 oxygen cylinders

    BOC seeks 20,000 oxygen cylinders in Covid-19 fight WEDNESDAY, APRIL 1, 2020 21:50BOC worker fills an oxygen cylinder at their industrial area plant. The company supplies Medical, welding and cooking gas to clients in the country and within East Africa. FILE PHOTO | NMG BOC seeks 20,000 oxygen...
  4. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Health CS Mutahi Kagwe announces 29 more cases of coronavirus in Kenya, total at 110

    The number of confirmed coronavirus cases in Kenya has risen by 29 bringing the total number in the country to 110. Health CS Mutahi Kagwe said on Thursday that 28 Kenyans had tested positive for the new coronavirus. A Congolese...
  5. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania CoViD-19: Siku 30 zijazo ndo muhimu zaidi kujitahadhari, angalia hili jedwali hapa

    Kwa mwezi mzima, USA ilikua na kesi 15 tu, walidhani wako salama na wameishinda corona! Siku 22 za kwanza, Italy walikua na kesi tatu tu!!, walidhani wako salama!!!! Siku 21 za kwanza, Egypt walikua na kesi 3 tu, walidhani hali iko sawa!!! siku 26 za kwanza, Spain walikua na kesi 7 tu...
  6. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uganda yenye wagonjwa 33 yatangaza " lockdown" kwa siku 14, Kenya yenye wagonjwa 50 bado viongozi hawajui la kufanya

    Uganda Under Total Lockdown President Yoweri Kaguta Museveni, while addressing the Coronavirus status on Monday night, ordered for a total lockdown in Uganda for the next 14days. Museveni ordered for complete shutdown of operations by private cars, Tuk-tuk and boda bodas, saying that the...
  7. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 9 more coronavirus cases reported in Kenya, total rises to 59

    The Ministry of Health has announced 9 more cases of coronavirus in Kenya bringing the total to 59. According to Chief Administrative Secretary Dr. Mercy Mwangangi, tracing of contacts of the 59 patients is ongoing. “So far...
  8. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Geothermal industrial park to be developed in Nakuru County Kenya

    The government of Kenya has announced plans to develop an industrial park powered by geothermal energy in Nakuru County Kenya. Geothermal Development Company (GDC) Board Chairman John Njiraini revealed the plans and said the company has entered into a joint venture with Nakuru County Government...
  9. JamiiForums Tanzania Serikali: Wagonjwa watano wathibitika kuwa na Virusi vya Corona na kupelekea kuwa na idadi ya wagonjwa 19 (Machi 30, 2020)

    Waziri Ummy Mwalimu akitoa taarifa juu ya mwenendo wa Virusi vya Corona nchini amesema leo asubuhi wamepokea vipimo vya wagonjwa watano kutoka maabara ya taifa, watatu wanatoka Tanzania Bara na wawili wakitokea Zanzibar. Idadi imefikia 19 akiwepo mgonjwa mmoja aliyetangazwa na Waziri wa Afya wa...
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya: Tunawashangaa Watanzania, Polisi wa Tanzania wanafanya zaidi ya hiki cha Polisi wa Kenya lakini huwa hawasemi

    Nikiwa hapa katika viunga vya jiji la Nairobi nimejaribu kupata maoni kutoka wa watu mbalimbali ambao nilitaka kufahamu kuhusu sakata la Polisi kupiga watu siku za hivi karibuni na jinsi suala Hilo lilivyoleta mtafaruku ndani na nje ya Kenya. Wengi wamesikitishwa na kitendo hicho ila wengi...
  11. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya wapo kwenye curfew au lockdown?

    Kama wapo kwenye LOCKDOWN vile vipimo hapana..wamevunja Sheria coz kwenye lock down police hawatakiwi kutumia miguvu Kama Ile. Kama wapo kwenye CURFEW then ninsawa kuwacharaza zile bakora wananchi
  12. JamiiForums Tanzania Kudhibiti Covid-19 hakuhitaji hatua za kukurupuka, taharuki wala kuiga: kilichotokea leo Kenya nilitahadharisha siku ya kwanza

    SEHEMU YA KWANZA Siku Kenya walipotangaza kwa mara ya kwanza kwamba wana mgonjwa wa Covid-19 na hatua walizochukua, niliandika hapa na kwingine kukosoa uharaka na ukubwa wa hatua walizozichukua. Nilisema huwezi kupambana na mlipuko uliofikia ngazi za Pandemic kwa kuchukua hatua kubwa (drastic...
  13. JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda: Wawili wapigwa risasi kwa kukiuka amri ya Rais ya kutotumia usafiri wa umma

    Mmoja wa waliopigwa risasi, Alex Olyem. Picha na Jessica Sabano/Daily Monitor Watu wawili wamelazwa hospitalini baada ya kupigwa risasi na maafisa wa polisi waliopelekwa kusimamia amri ya Rais Museveni ya kuzuiwa kwa usafiri wa umma kwa nia ya kukinga kuenea kwa ugonjwa wa COVID-19. Alex Olyem...
  14. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wagonjwa COVID-19 nchini Kenya wafikia 31, serikali yawafuatilia kwa karibu wengine 906

    Idadi ya kesi za coronavirus nchini Kenya imeongezeka hadi kufikia watu 31 baada ya wagonjwa wengine watatu kupimwa na kukutwa wakiwa na COVID-19. Katika mkutano na waandishi wa habari leo, Katibu Mkuu wa Utawala, Wizara ya Afya, Dk. Mercy Mwangangi amesema wagonjwa hao wapya wote ni wanawake...
  15. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Germany loses six million coronavirus face masks in Kenya ... Jamaneni!!!

    MARCH 24, 2020 / 3:18 PM / UPDATED AN HOUR AGO BERLIN (Reuters) - German customs officials are attempting to track down about 6 million face masks ordered to protect health workers from the coronavirus which went missing at an airport in Kenya. “The authorities are trying to find out what...
  16. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania CoronaVirus: Shirika la Ndege la Kenya Airways limesimamisha safari zote za Kimataifa

    Shirika hilo limefikia uamuzi huo ili kuendana na Serikali katika kuzuia safari zote za Kimataifa Kenya katika kupambana na kuenea kwa #covid_19 Wasafiri wameshauriwa kubadili tiketi zao hadi baadae au kubadili na kupewa vocha ya kusafiri ndani ya miezi 12 ambapo safari za Mombasa na Kisumu...
  17. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Naibu Gavana apata maambukizi ya Corona na kufanya wagonjwa kufikia 15

    Watanzania tuwe makini majirani zetu maambukizi yameshagonga hodi kwa viongozi ambapo naibu Gavana mmoja amepata maambukizi. Hadi sasa kuna jumla ya wagonjwa 15 nchini humo. ======= Kilifi deputy governor in quarantine after Germany trip Tension is brewing in Kilifi over a...
  18. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Corona: Wakati Tanzania imetangazwa mabasi yapakie level seat huko Kenya matatu zaagizwa kupakia 60% ya uwezo wake

    Jana serikali ilitangaza hatua za kudhibiti Corona katika vyombo vya usafiri na kuwataka wenye mabasi wote kupakia "level seat" Leo Waziri wa Afya wa Kenya ametangaza mabasi ya daladala (matatu) kupakia abiria 60% ya uwezo wake akisema yale ya abiria 25 yapakie 15, yale ya abiria 20 yapakie 12...
  19. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbunge wa Kenya aomba deni la China liondolewe kufidia madhara yaliyotokana na virusi vya Corona

  20. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Coronavirus: Kenya kutengeneza Sanitizer na kuzigawa bure kwa Umma

    Katika barua iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Umma, kwenda kwa Wanachama wa MAT (Multi Agency Team) imesema Serikali hiyo inatani kutengeneza sanitizer zitakazoweza kununuliwa na Watu wote Kitengo hicho kimesema Kampuni katika sekta ya Mafuta yamejitolea kutengeneza sanitizer zenye...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…