Hawa hapa ndio wenye elimu Tanzania, hadi aibu, halafu ndio wanalilia na kung'ang'ania kuingia Kenya bila kupimwa

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,751
48,396
Jana Rais Magufuli alihutubia kongomano la walimu waliosongamana na kupumuliana full mijasho bila tahadhari yoyote kama wanavyoonekana kwenye hii picha, hamna cha barakoa au kuzingatia umbali wa kila mmoja, hawa hapa ndio utategemea wawe na kauelewa kiaina kuhusu sayansi na masuala ya kirusi, lakini wenyewe ndio wamedhihirisha weupe "kumkichwani" sembuse makajamba wa Tandale ambao hukesha wakijibizana humu JF na kutetea kila ujinga.

Nahisi Tanzania imefanya tathmini na kuona kwamba kwa vile wamezaliana sana (milioni sitini) hivyo hata wakiachia wafe, kirusi hakitakua na uwezo wa kulamba asilimia kubwa kwao, maana hata Marekani wanaopukutika maelfu kwa siku bado namba zinachezea kwenye laki moja, hivyo ukiwatia rehani elfu kadhaa za raia ili kunusuru uchumi haitakua balaa sana.

walimu.jpg
 
Mswahili mambo yake ni dezo dezo siku zoteee.. tusishangae sana huu ukurupukajii😂 Aisee ila leo kenyatatta atufungulie ze curfew mazee tukajimwaye mwaye mijinii!

 
Watu washughulike na nchi za kwao.

Nairobi hakuna maji ya kunywa au kunawa mikono miezi miwili sasa. Jijini kwa slums mnaishi asilimia 60% ya watu wote Nairobi kwa mazigira ya misongomano, jasho na uchafu.

Halafu lijitu humu halijapiga mswaki miezi miwili, mdomo umejaa Corona linataka kuhutubia wa Tz.
 
Wenzao, walimu wa shule ya chekechea, ndio hawa hapa juu wanaounga mkono vitu vya kipuuzi kama hivyo. Labda wamezoea kukariri aeiou hadi imewaingia akilini. Cha kushangaza ni kwamba wanajitoa kafara kwa mishahara 'peanuts' ambayo haijafikia hata nusu ya ile ambayo wenzao nchini Kenya wanaipokea sasa hivi wakiwa wametulia nyumbani.
 
Wenzao, walimu wa shule ya chekechea, ndio hawa hapa juu wanaounga mkono vitu vya kipuuzi kama hivyo. Labda wamezoea kukariri aeiou hadi imewaingia akilini. Cha kushangaza ni kwamba wanajitoa kafara kwa mishahara 'peanuts' ambayo haijafikia hata nusu ya ile ambayo wenzao nchini Kenya wanaipokea sasa hivi wakiwa wametulia nyumbani.
Hahaha! A half of salary in Kenya is spent on food, hiyo ya TZ inawatosha coz gharama ya maisha iko chini TZ.
 
Hahaha! A half of salary in Kenya is spent on food, hiyo ya TZ inawatosha coz gharama ya maisha iko chini TZ.
Tumia takwimu na facts kuhalalisha madai yako, sio pumba za kilumumba. Sasa hivi hata bidhaa za kawaida kama sukari madukani Tz mnauziwa double bei yake nchini Kenya. Walimu wa Kenya kando na mishahara marupurupu tu wanayopata kama ingekuwa ni walimu wa Tz wangekuwa wanampigia rais magoti akiwahutubia.

Tena hivi majuzi wameshinda kesi mahakamani ambayo itailazimisha serikali iwaongezee mishahara ya hadi 45% kwa miaka tano ijayo. Hao walimu wenu baada ya kuhatarisha maisha yao na kukosa kuvakia hata barakoa tu walipewa nyongeza ya mishahara?
 
Tumia takwimu na facts kuhalalisha madai yako, sio pumba za kilumumba. Sasa hivi hata bidhaa za kawaida kama sukari madukani Tz mnauziwa double bei yake nchini Kenya. Walimu wa Kenya kando na mishahara marupurupu tu wanayopata kama ingekuwa ni walimu wa Tz wangekuwa wanampigia rais magoti akiwahutubia.

Tena hivi majuzi wameshinda kesi mahakamani ambayo itailazimisha serikali iwaongezee mishahara ya hadi 45% kwa miaka tano ijayo. Hao walimu wenu baada ya kuhatarisha maisha yao na kukosa kuvakia hata barakoa tu walipewa nyongeza ya mishahara?
mbali na sukari kuuzwa elfu 4 ya tz ni bidhaa gani nyingine inayouzwa zaidi!!!

hao waalimu wenu mnawalipa zaidi kuliko polisi wenu!!!!mbon rushwa inatisha sana upande huo!!!

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
We toka mikusanyiko ifuteke Kenya corona imepungua,yani utadhani ugonjwa uliingia Kenya miaka kumi ilopita.
Hebu chukua tahadhari huku Tanzania ukiingilia yasiyokuhusu unafanywa vibaya.
 
Tumia takwimu na facts kuhalalisha madai yako, sio pumba za kilumumba. Sasa hivi hata bidhaa za kawaida kama sukari madukani Tz mnauziwa double bei yake nchini Kenya. Walimu wa Kenya kando na mishahara marupurupu tu wanayopata kama ingekuwa ni walimu wa Tz wangekuwa wanampigia rais magoti akiwahutubia.

Tena hivi majuzi wameshinda kesi mahakamani ambayo itailazimisha serikali iwaongezee mishahara ya hadi 45% kwa miaka tano ijayo. Hao walimu wenu baada ya kuhatarisha maisha yao na kukosa kuvakia hata barakoa tu walipewa nyongeza ya mishahara?
Wacha kelele wewe, weka hapa mishahara ya walimu wa Kenya tulinganishe na Tanzania kama kuna tofauti yoyote, waalimu wa Kenya wanamaisha magumu sana ukilinganisha na Tanzania, zaidi ya 50% ya mshahara wenu unaishia katika chakula. Wacha kulinganisha maisha ya waalimu wa Tanzania ni huko Kenya.
 
Back
Top Bottom