kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Kenya Police Special Forces raid Alshabaab camp in Lamu

    Vikosi vya Kenya Police Special forces ( AP SOG and BPU) vilivamia kambi ya wanamgambo wa Alshabaab huko Boni forest,Lamu county. Magaidi hawa hutumia upana wa msitu huu kufanya mashambulizi yao katika huu msimu wa Krismasi na January kisha kukimbilia Somalia na kurudi wakati wa Iddi tena huko...
  2. Kenya sasa ina kila sababu za kukamilisha kipande cha SGR kilichosalia maana Uganda wameamua kujenga SGR 2,700km

    Kenya ilikua imesitisha kukamilisha kipande kidogo kilichokua kimesalia cha kuunga hadi Uganda baada ya hao Waganda kutoonyesha "seriousness" kwenye hili la SGR, ila sasa wao wamesaka mkopo wenyewe na tayari wameanza mipango na mikakati ya ujenzi, kwa vile tulikua tumekamilisha asilimia kubwa...
  3. The SGR War: Wakati Kenya wakisuasua, Uganda wameamua kujenga SGR. Hii ni fursa kwa SGR ya Tanzania. Is it viable? Tuichangamkie?

    Wanadodi, Leo nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa, leo nikianzia kuibuka kwa fursa mpya kwenye reli ya SGR ya Tanzania, karibu. Wakati Tanzania tukiendelea na ujenzi wa reli yetu ya SGR, shughuli nzito kwenye SGR sio ujenzi, bali ni kuiendesha kwa faida...
  4. Umasikini wakita mizizi zaidi Kenya: Taarifa ya Benki ya Dunia

    Hali ya UMASIKINI nchini Kenya yatajwa kuzidi kuwa mbaya sana. Hiyo inapelekea kuwa ni miongoni mwa nchi 10 Afrika zenye kiwango kikubwa cha UMASIKINI uliyotopea. Mtu anaweza kujiuliza ni kwa nini hali UMASIKINI uliokita MIZIZI iko hivyo, ilhali nchi inajipambanua kuwa ni miongoni mwa nchi...
  5. S

    Kwanini hela ya Kenya ina thamani zaidi, tena mbali kuliko ya Tanzania wakati tumebarikiwa kila kitu?

    Jambo moja linalonipa shida kuliko hata kuibiwa kura ni hili la hawa wakenya jirani zetu, hela yao ipo na thamani kubwa sana sana kuliko za kwetu -- tatizo ni nini? Na kila siku tunajilabu tuna utajiri uliotukuka, naikumbuka ile sentensi ya Mwalimu Nyerere. Watanzania Uchumi mnao... Tufanye...
  6. M

    Top city lawyer and former governor in Kenya spend over Ksh 6 million a year in electricity bills

    Lawyer Ahmednasir pays KSh 250,000 monthly for using electricity in his house - The Grand Mullah, as he is famously known, clarified he does not own a factory at his home He claimed he has not been able to understand why the electricity bill was so high Ahmednasir said the cost of power in...
  7. Kenya bans Ugandan milk

    Ugandan dairy industry reels from Kenyan ban SATURDAY DECEMBER 19 2020 Milk processing at a factory. The escalating trade dispute between Kenya and Uganda over milk exports, is just one of many facing all EAC partner states. PHOTO | FILE | NATION MEDIA GROUP That Kenya is a lifeline for the...
  8. Watanzania mbona mnaichukia Kenya?

    Tangu nilipojiunga hapa JF, kama kuna jambo moja ambalo nimegundua ni kuwa Watanzania wengi hapa JF wanaichukia Kenya. Sasa sijui chanzo cha chuki ni nini. Pengine nyinyi wenyewe Watanzania mtufafanulie.
  9. Kenya: Gavana wa Nyamira afariki kwa #covid19

    Gavana wa Nyamira, John Nyagarama(74) amefariki kwa #COVID19 Nairobi katika Hospital akipatiwa matibabu Nyagarama alilazwa kwa wiki tatu ambapo baadae alihitaji Oksijeni na kuwekwa kwenye Uangalizi wa Hali ya Juu ===== Nyamira Governor John Nyagarama has died at the Nairobi Hospital due to...
  10. Kenya ranked top within the region in digital growth and demand

    Kenya ranked top within the region in digital growth and demand, according to the latest Digital Intelligence Index payments firm Mastercard and the Fletcher School at Tufts University. In the survey titled Digital Intelligence Index, Kenya is followed by Rwanda and Tanzania. Together, the...
  11. Kacha za kimasai za bendera ya Kenya zinavaliwa kuliko za Tanzania. Hii ni kukosa uzalendo au?

    Huku mtaani vijana wengi sana wa kike na wa kiume naona wavaa sana kacha za bendera ya Kenya na Uganda kuliko za Tanzania. Ni huku kwetu pekee au hadi mtaani kwenu, nini maana yake? Rangi za KE na UG zinapendeza kuliko za TZ? Wamekosa uzalendo au? Hebu tupe ushuhuda mtaani kwako wapo...
  12. Deni la Kenya lakua kutoka KSH 1.8 Trillion kipindi cha Kibaki mpaka KSH 6.7 Trillion mwaka 2020

    Nimeangalia makala moja ya Africa Uncensored, inaonyesha deni la Kenya nimekua mara tatu zaidi ya Deni ambalo Mwai Kibaki aliacha. Makala hiyo inaeleza kwamba Tangu mwaka 2013 mpaka 2020 Deni limekua kutoka KSH 1.8 Trillion Mpaka kufikia 6.7 Trillion mwaka 2020. huu ni ukuaji wa kasi ya mwendo...
  13. C

    Nchi ipi ni Jirani mkubwa kwa Kenya?

    Kenya imezungukwa na nchi nyingi 1. Somalia 2. South Sudan 3. Uganda 4. Tanzania 5. Rwanda Kati ya nchi hizo ni nchi gani ambayo Wakenya wapo na Ujirani + Undugu mkubwa nayo?
  14. Ukoloni mamboleo unaitafuna Kenya

    Wakoloni hawajawahi kuondoka Kenya hata baada ya kupata Uhuru. Wakoloni waliacha watu wao na mali zao Kenya kitu ambacho kinailazimisha Kenya kuvilinda kwa gharama yoyote wakati wote kwakutumia jeshi, sera, sheria na utamaduni. Hii inawafanya viongozi wa Kenya wasiweze kukifanya kile...
  15. Kenya is like the elder brother who doesn't mind the tantrums of the little brothers

    Kila kunapokuwa na utata wa kidi[plomasia, Kenya always act like the bigger brother. Utapata wabongo humu wakiuona kuwa udhaifa ila Kenya inanikumbusha jinsi big brother mwenye busara anavyopuuza tantrums za ndugu zake wadogo. Yaani Kenya hatuoni haja ya kupigama na vinchi kama Tanzania...
  16. Somalia yawafukuza wanadiplomasia wote wa Kenya, yafunga ubalozi wake nchini Kenya

    Serikali ya Somalia imetangaza kusitisha uhusiano wake na Kenya ikidai kwamba Serikali ya Kenya inaingilia kati masuala yake ya ndani. Nchi hiyo jirani wa Kenya, imetangaza kuwafukuza wanadiplomasia wote wa Kenya na kuagiza wanadiplomasia wake wote walio Nairobi kurudi Mogadishu ndani ya siku...
  17. Kenya imeamua Somalia ikimwaga mboga basi Kenya itamwaga Ugali

    Wiki iliyopita Somalia iliamua kufurusha Balozi wa Kenya nchini humo kwa madai kuwa Kenya ina interfere na siasa ya Somalia. Sasa kwa sababu Somalia ndio wamelianzisha basi sisi tunalipiza tu mapigo. Sasa Kenya imealika President wa Somaliland kuja Kenya on a state visit. Hakuna nchi yoyote...
  18. Fellow neighbours (Kenya), These are our Tribal stereo types in Tz, What abou You??

    These are just some stereotypes, No hard Feelings, People talk what they think:):) Sukuma Better in Physical Works Ushamba Chaga Big brains in business, school, Proffessions, etc Alcoholics, Wazee wa bata sana Pare Ubahili Kuria Brave - Many are in millitary Short Temper Zaramo Very...
  19. Mnaoshangaa kwanini Kenya huwazidi kwenye kila kitu, hili hapa jibu - Kenya Among Most Improved in Africa 2020 Report

    Na sasa hivi kwa shughuli zinazoendelea kwenye nchi hii, mtahangaika sana kujaribu kutufikia ila pengo linazidi kuongezeka. Mjitafakari wapi mlikalia kuti kavu. ======= Kenya has been ranked among the most improved African countries in the 2020 Ibrahim Index of African Governance (IIAG). The...
  20. Court halts Kenya duty on glass imports

    Court halts Kenya duty on glass imports THURSDAY DECEMBER 10 2020 Summary In March 2020, Kenya amended its Excise Duty Act 2015 by imposing a 25 percent duty on imported glass bottles, save for glass bottles that are used to package pharmaceutical products. By The Citizen Reporter More by...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…