kennedy

The Kennedy family is an American political family that has long been prominent in American politics, public service, entertainment, and business. In 1884, 35 years after the family's arrival from Ireland, Patrick Joseph "P. J." Kennedy became the first Kennedy elected to public office, serving in the Massachusetts state legislature until 1895. There was at least one Kennedy family member in federal elective office from 1947, when P. J. Kennedy's grandson John F. Kennedy became a member of Congress from Massachusetts, until 2011, when Patrick J. Kennedy (John's nephew) retired as a member of Congress from Rhode Island.P. J.'s son Joseph P. Kennedy Sr. had nine children with his wife Rose Fitzgerald Kennedy, including John F. Kennedy (who served in both houses of the United States Congress and as U.S. President) and Robert F. Kennedy (who served as U.S. Attorney General and in the U.S. Senate). Other descendants include members of the U.S. House of Representatives and Senate, two U.S. ambassadors, a lieutenant governor, three state legislators (one of whom was also in the U.S. House of Representatives), and one mayor.
Their daughter, Eunice, founded the National Institute of Child Health and Human Development (part of the National Institutes of Health), and the Special Olympics. Eunice's daughter Maria Shriver served as First Lady of California. Other descendants of Joseph and Rose Kennedy have been active as lawyers, authors, and activists on behalf of those with physical and intellectual challenges.

View More On Wikipedia.org
  1. The Sheriff

    Spika wa Bunge la Kaunti ya Nairobi, Kennedy Ngondi matatani kwa video ya kulazimisha kumpa mkono na kumkumbatia mwanamke wa kiislamu

    Spika wa Bunge la Kaunti ya Nairobi, nchini Kenya, Ken Ngondi, alionekana kwenye video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, kumlazimisha mwanamke wa kiislamu kumpa mkono na kumkumbatia, katika hafla ya siku yake ya kuzaliwa. Tukio hilo limezua taharuki kutoka kwa wananchi wakitaka spika...
  2. R

    Prof. Kennedy kutenguliwa siku moja baada ya kuapishwa kuwa Katibu Mkuu Wizara nyeti ya Mambo ya Nje kuna shida katika "Vetting" za Viongozi?

    Juzi Mhe. Rais Rais alimteua Prof. Kennedy Gaston kuwa Katibu Mkuu wizara ya mambo ya nje (anayeshughulikia ushirikiano wa Afrika Mashariki). Ijumaa tar. 1 akaapishwa huko Zanzibar. Jumamosi akarudi nyumbani Dsm. Jana jumapili akaenda kanisani kutoa shukrani kwa kuteuliwa lakini jana usiku...
  3. F

    Je kifo cha Nusura Abdalah wa UDOM chaweza kufanana na kifo Marylin Monroe na uhusiano wake na Rais wa USA JF Kennedy?

    Tarehe 04 August 1962 kilitokea kifo tata cha muigizaji Mrembo kule Marekani, Marylin Monroe. Kifo hiki kilizua utata mno ila Majasusi wa FBI walijitahidi hadi Marehemu akazikwa na ikawa mwisho wa tetesi. Hata hivyo tetesi hazikukoma. Iko hivi, Rais Kennedy na mdogo wake aliyekuwa mwanasheria...
  4. Shujaa Mwendazake

    Ni wakati wa kuacha na mashaka juu ya Kennedy Musonda, He has already proven beyond doubt

    Ukiacha mukimbio ambayo tulimbeza nayo jamaa ana kasi ya kufika kwenye njia na kama si kuwa kwenye kivuli cha Fiston, mzambia ana MAMBO MENGI YA KUoFFER KWA WANANCHI. Anapenda kuassist (si mchoyo) lakini anaweza kutumika maeneo yote mbele yaani winga zote , mshambuliaji wa mwisho au...
  5. BARD AI

    Yanga yafikia makubaliano ya kumsajili Kennedy Musonda

    Klabu ya Yanga imefikia makubaliano na Power Dynamos kumsajili mshambualiaji hatari Kennedy Musonda kwa ada ya uhamisho wa Dollar laki moja sawa na shillingi milion 230 na Kennedy anatarajiwa kuwasili nchini wiki ijayo kujiunga na Yanga.
  6. Stuxnet

    Je Professor Kennedy Kakosa Nini Hadi Achomolewe Ubalozi wa Kudumu UN?

    Wadau naomba jibu hapa:- Tanzania's permanent representative to the United Nations and ambassador to the United States, Prof Kennedy Gastorn was on Tuesday fired over a corruption scandal whose details were not disclosed. Mlio karibu na mambo haya hebu fungukeni.
  7. BARD AI

    Rais Samia amemuondoa Prof. Kennedy Gastorn Umoja wa Mataifa kwa kashfa za Rushwa na Ufisadi

    Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa na Balozi nchini Marekani, Prof. Kennedy Gastorn Jumanne alifutwa kazi kutokana na kashfa ya ufisadi ambayo maelezo yake hayakuwekwa wazi. Uamuzi huo wa ghafla ulikuja miezi kadhaa baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumfuta kazi Waziri wa...
  8. N

    Alichokijenga Bashiru sasa kinambomoa

    Alichokijenga Dk Bashiru sasa kinambomoa Alhamisi, Novemba 24, 2022 Wana JF nimepakua hii habari ili kwa wale wasioingia kwenye magazeti muisome By Luqman Maloto Novemba 22, 1963 Rais wa 35 wa Marekani, John Kennedy “JFK”, alipigwa risasi na kuuawa. Mshituko ulikuwa mkubwa kuanzia eneo la...
  9. Jamii Opportunities

    Physical Education & Swimming Teacher at Kennedy House International School

    Job Overview Position: Physical Education & Swimming Teacher Arusha Kennedy House International School Kennedy House School is one of the top primary school in Tanzania for international pupils aged 2-13 years old. We are looking for a well qualified and enthusiastic P.E and Swimming teacher...
  10. Sky Eclat

    Harusi ya Jackie Bouvier na John Kennedy 1953

    Wametumia American measures wanasema shela yake ilikua ya urefu wa yadi 50. Mkononi bibi harusi alivaa bracelet ya almasi iliyokuwa zawadi kutoka kwa John Kennedy
  11. Rusumo one

    Matokeo ya National Std 4 na Form 2 kutoka kabla ya Krismasi?

    Marhabaa wajukuu zangu kwa salama zenu, nirudi kwenye mada tajwa. Naskia sikia muda wowote kinasomeka ili sikukuuu ya Xmas mwenye kula pilau ale na mwenye kula ngarerimo ale kila mtu atakuwa na lake moyani. Hivi Msonde anafanya nini kutucheleweshea majibu ili wajukuu wafurahi na kupata nguo za...
Back
Top Bottom