kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi kutoka Tanzania Postal Bank | Deadline 23rd February, 2020

    TPB Bank PLC is a Bank that provides competitive financial services to our customers and creates value for our stakeholders through innovative products. TPB Bank PLC is a Bank, whose vision is “to be the leading bank in Tanzania in the provision of affordable, accessible and convenient...
  2. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi 20 za Kazi kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mkoani Arusha (AUWSA)

    The Arusha Urban Water Supply and Sanitation Authority (AUWSA) is a legally established entity responsible for the overall operations and management of water supply and sanitation services in Arusha City. It is among of the best Authorities in Tanzania. The core function of the Authority is to...
  3. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya matangazo ya kazi humu awamu hii na ile iliyopita

    Awamu iliyopita Mainjinia 30 wanahitajika Tanesco. Majina ya waalimu yanatoka lini? Wanaotaka tubadilishane mikoa tukutane hapa (baada ya kupangiwa ajira). Jamani nimechoka na hii kazi natamani nibadili licha ya mshahara mnono kwa sababu ya majungu. Umebadilisha kazi mara ngapi hadi sasa? Ni...
  4. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe ahofia kukamatwa, kufunguliwa mashtaka na kufungwa pindi atakaporejea nchini

    Hofu hiyo inatokana na kile alichokiita mfululizo wa vitisho vilivyotolewa na viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Hofu hiyo ya Zitto imeibuka baada ya Kiongozi Mkuu huyo ACT Wazalendo kuandika barua kwa Benki ya Dunia (WB) kuitaka kusitisha mkopo wa Dola za Marekani milioni 500...
  5. I

    JamiiForums Tanzania Nafasi mpya moja ya kazi Precision Air, Deadline: Application isizidi 14th February 2020

    Kwa wale wanaopenda kufanya kazi kwenye mashirika ya ndege, hapa kuna nafasi mpya moja ya kazi Precision Air. Maelezo yote soma kwenye PRECISION AIR VACANCIES
  6. I

    JamiiForums Tanzania Fahamu Aina ya nafasi za kazi na ajira zinazopatikana Airport Tanzania

    CLOSED
  7. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Rais Trump awafukuza kazi maofisa waliotoa ushahidi ili aondolewe madarakani

    Dar es Salaam. Siku mbili baada ya Bunge la Seneti kumuondolea mashtaka yaliyokuwa yakimkabili Rais wa Marekani, Donald Trump amewafukuza kazi maofisa wake waandamizi wawili waliotoa ushahidi kwenye mchakato wa kumuondoa madarakani. Trump ambaye alikuwa anakabiliwa na mashtaka ya matumizi...
  8. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

    Mtumishi wa Serikali aliyechana Quraan Tukufu asimamishwa kazi, Taarifa hiyo imetolewa leo na Waziri wa TAMISEMI Mhe. Suleiman Jaffo. RPC Morogoro Wilbroad Mutafungwa amethibitisha kukamatwa kwa kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Daniel Maleki, kwa kosa la kuchana na kuchoma moto kitabu cha...
  9. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Tancoal Energy

    “Tancoal is a limited liability company incorporated and operating in Tanzania. Tancoal is largely a Coal mining and trading company with its mine situated at Ngaka, Mbalawala Area, Mbinga District, Ruvuma Region. ’Tancoal welcomes candidates to join the company to fill the below mentioned post...
  10. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi Human Resources for Health Lead, ICAP

    Job no: 492662 Work type: Regular Full-Time Location: Tanzania - Dar es Salam Categories: Technical/Clinical/Quality Improvement/Training ICAP at Columbia University, a global health leader situated within the Columbia University Mailman School of Public Health in New York City, seeks highly...
  11. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi, seed system specialist, IITA

    The International Institute of Tropical Agriculture (IITA) on behalf of the International Rice Research Institute CIRRI) invites applications for the position of Seed Systems Specialist Background: IRRI develops and promotes new rice technologies such as high yielding varieties, climate and...
  12. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi ya muhasibu Tanzania Tree Growers Associations Union

    Job Description Tanzania Tree Growers Associations Union (TTGAU) is a member based organization established in 2017 with headquarters in Njombe. TTGAU aims at promoting the interests of tree growers who are organized in tree growers associations (TGAs); build and strengthen networking amongst...
  13. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Qatar Airways

    Position: QR22737 - Airport Services Duty Officer Organisation:Qatar Airways Job Function:Ground Services Division:Kilimanjaro - JRO Employment Type:Full Time - Permanent City: Africa | Tanzania | Kilimanjaro Last date of application:27-Feb-2020 Qatar Airways Welcome to a world where ambitions...
  14. Kididimo

    JamiiForums Tanzania Nini hasa kinafichwa bunge letu kutoonyeshwa live? Kama ni muda wa kazi, basi Tv zote ziwe hewani kuanzia saa 9:30 alasiri

    Ninaenda kwenye uchaguzi Mkuu 2020 bila kujua mchango wa Mbunge wangu bungeni. Bunge live lilisaidia wengi kutathmini japo sio kwa asilimia zote uimara wa Wabunge wetu kifikra. Awali, aliyekuwa Waziri wa Habari alitoa tamko kuwa Bunge Live muda wa kazi linafanya watu waache kufanya kazi za...
  15. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi, SME Relationship Officers (8), Access Bank February

    SME Relationship Officers (8 posts) AccessBank Tanzania (ABT) is a commercial bank with a special focus on microfinance. With very strong international shareholders such as AccessHolding, International Finance Corporation (World Bank), KfW, African Development Bank and MicroVest. ABT’s vision is...
  16. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Ebenezer Television

    Ebenezer Television ni kituo kipya cha habari ambacho kinatarajia kuanza kurusha matangazo yake kutokea Mikocheni Dar es Salaam. Kituo kinahitaji wafanyakazi katika Nyanja zifauatazo; A. NAFASI ZA AJIRA 1. Mhariri Mkuu – Nafasi moja (1) Awe na Shahada ya Uandishi wa Habari au Mawasiliano...
  17. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Kama unafanya kazi weka salary mezani Tuione

    Verses hizi hapa niwekee vocal na biti unitumie PM.Ukiwa na vese za kuongezea weka hapa......Master Jay, Majani. Ney wa Mitego, Roma Mkatoliki. Kama unafanya kazi Weka salary mezani Tuoneee sasa Tuoneee ...tuone. (mara mbili) Waweza weka cash,weka kreti, Weka Fresh.weka tuonee,tuonee Wengine...
  18. Gregy5

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina Shahada ya Usimamizi wa Rasilimali Watu

    Habari zenu ndugu zangu! Mimi ni kijana (ME) mwenye umri wa miaka 23, naishi Dar es salaam, Elimu yangu-Shahada ya usimamizi wa rasilimali watu ( Bachelor degree in Human resource management). Natafuta kazi itakayo nipatia kipato cha halali, kazi ambazo ninaweza kuzifanya ni kama ifuatavyo...
  19. MEXICANA

    JamiiForums Tanzania Spiritualy, labda ni kweli hii kitu inatenda kazi kwa Rc wetu

    Watumishi wa Mungu aliye hai huwa wana msemo wanautumia hasa wakiudhiwa "Usicheze na masihi wa BWANA" Nakumbuka kuna bifu kali kati ya RC mpendwa na masihi wa BWANA. Ila nakumbuka masihi wa Bwana alitoa maneno makali Sana kibiblia yanaitwa LAANA. Najaribu kuwaza tu,kwamba it was a matter of...
  20. BASIASI

    JamiiForums Tanzania Kazi imeanza gesi Oryx yapanda bei kutokana na mabadiliko soko la dunia kuanzia Feb 5

    Taarifs kwa watumiaji wa gesi, Kuanzia tar 5 feb gesi itapanda rasmi usishangae mabadiliko haya kwenye maduka madogo ya gesi Beo wanazotakiwa kuuza n Kg 15 54'000 Kg 6. 22'000 KG 38. 105" 000 Kumbuka hii ni bei elekezi tu muuzaji anaweza kupanda zaidi ya hapa Ahsanteni kwa uvumilivu wenu...
Back
Top Bottom