kawe

KAWE, virtual and VHF digital channel 9, is a Public Broadcasting Service (PBS) member television station licensed to Bemidji, Minnesota, United States. The station is owned by Northern Minnesota Public Television, Inc. KAWE's studios are located on Grant Avenue Northeast in Bemidji, and its transmitter is located southeast of Blackduck, Minnesota.
KAWB (virtual channel 22, UHF digital channel 28) in Brainerd operates as a full-time satellite of KAWE; this station's transmitter is located near East Gull Lake, Minnesota. KAWB covers areas of central Minnesota that receive a marginal to non-existent over-the-air signal from KAWE, although there is significant overlap between the two stations' contours otherwise. KAWB is a straight simulcast of KAWE; on-air references to KAWB are limited to Federal Communications Commission (FCC)-mandated hourly station identifications during programming.
The two stations are collectively branded as Lakeland PBS. The network first took to the air on June 1, 1980 and was formerly known as Lakeland Public Television; it re-branded on January 8, 2018 to better align its brand with PBS. It is the only full-power television broadcasting operation based in north central Minnesota, an area that is served mainly by translators of the Minneapolis–Saint Paul television stations.
Lakeland PBS utilizes KAWB's channel 22 position on DirecTV and Dish Network's Twin Cities local lineups to avert confusion with Fox owned-and-operated station KMSP-TV (channel 9) in Minneapolis.

View More On Wikipedia.org
  1. GENTAMYCINE

    DAWASA kwanini mmekata Maji bila Taarifa Kawe huku mkijua kuwa ndiyo Dar es Salaam na Tanzania?

    Kwanza kwanini mkate Maji eneo la Kawe? Hivi hamjui kabisa kuwa Kawe wanakaa akina nani? Mnataka Kazi au hamtaki? Watendaji wa DAWASA kwa sasa naumalizia Usingizi wangu ila nikiamka Saa 2 Kamili naomba nikute Mabomba yote ya Kawe yanatiririsha Maji vinginevyo nitakuja hapo Ofisini Kwenu na...
  2. M

    Mwamposa unachokifanya sasa ni Uchokozi wa Makusudi kwa Kanisa Katoliki Kawe na huu Mkesha wako leo

    Unajua fika kuwa leo hata Kanisa Katoliki Kawe nao wana Mkesha wao halafu Wewe kwa Makusudi umepanga Viti vyako na Spika zako Kubwa zenye Kelele jirani kabisa na Kanisa Katoliki Kawe. Mwamposa huyo Kiongozi wa Serikalini anayekupa hiki Kiburi chote na hizi Jeuri zote atakuponza na labda hujajua...
  3. GENTAMYCINE

    Wataalam wa Majanga na Hatari kwa Mazingira ya sasa ya Tanganyika Packers Kawe yanaruhusu Tamasha Kubwa kufanyika?

    Kwa jinsi palivyo sasa Tanganyika Packers Kawe na Ujenzi unaoendelea, Kulivyobanana na hata Hali ya Usalama kuwa si nzuri nikisikia kuna Tamasha lolote lile linataka Kufanyika naanza kuingiwa / kujawa na Hofu Kubwa kuwa huenda Madhara Makubwa ( Vifo au Watu Kujeruhiwa ) kukatokea na baadae...
  4. GENTAMYCINE

    Wajumbe wa MCC Kawe ina maana hata hapa 'JamiiForums' mpo pia na bado tu 'Mnanisagia Kunguni' Mwanenu?

    Wajumbe wa MCC Kawe kama mpo pia na hapa JamiiForums naomba nichukue nafasi hii kuwatakeni radhi kama kuna nilikowakosea ili mnisamehe na nyota yangu ya kukubalika irejee kwa Jamii. Kwani kama kuna sehemu ya kipekee ambayo mara kwa mara nimekuwa nikitamba kuwa nakubalika, ni maarufu na mimi...
  5. C

    Nilizopata muda huu kumhusu Mfanyabiashara katili Soko la Kawe Bwana Cherehani ni kwamba ameshakamatwa

    Nianze kutoa Shukran zangu nyingi kwa Uongozi mzima wa Mtandao huu mkubwa wa JamiiForums hasa Kwake Mwanzilishi Maxence Melo Pili nitoe Shukran zangu nyingi sana kwa Jeshi la Polisi nchini Tanzania kupitia kwa IGP Wambura kwa Utendaji na Ushirikiano wake wa Kutukuka uliozaa Matunda. Tatu...
  6. C

    DOKEZO IGP Wambura amrisha upesi Askari wako wa Kawe Police wamkamate upesi huyu Mfanyabiashara Cherehani wa Soko la Kawe

    Anaitwa Cherehani ni Mfanyabiashara pekee wa Kuuza Mihogo katika Soko la Kawe na maarufu pia. Tukio Mfanyabiashara huyu Bwana Cherehani wa Soko la Kawe alipanga njama kwa Kushirikiana na Mkewe ya Kumkamatisha Mwanaume aliyehisi anatoka na Mkewe ambaye kwa sasa ni Mjamzito. Siku ya Alhamisi...
  7. GENTAMYCINE

    Mnaohudhuria Uzinduzi wa Baa Mpya Kawe Lugalo (Kwa Maasai ) usiku huu hebu tupeni Mrejesho

    Nasikia Kiingilio ni Bure na Bia nazo ni bure kwa idadi uitakayo halafu Wanawake wote wanatakiwa Kuvaa Madela ila ndani wawe Watupu tu Vile vile Watumbuizaji wakuu ni Christian Bella na Mboso na hivi sasa Saa 6 na dakika 57 hii Mvua ikiwa inanyesha Mboso ndiyo anaanza Kupanda Stejini. Mimi...
  8. GENTAMYCINE

    Daraja la Wavuka kwa Miguu Kawe Bondeni lifanyiwe kidogo tena Matengenezo ili kuliimarisha

    Kuna sehemu kule Juu unaona kabisa Bati limeanza kuachia huku Lami iliyoko kwa kule Juu nayo ikianza Kuisha. Ni Daraja zuri ila liwe linafanyiwa Matengenezo na Uangalizi ili Kuliimarisha kwani kuna muda hata ukiwa kule Juu unasikia kabisa likinesa na Uimara wake kutia Shaka. Ombi langu hili...
  9. GENTAMYCINE

    RC wa Dar Makala na Mbunge wa Kawe kinachoendelea Kituo Tanganyika Packers Kawe kitafanya nikose Uvumilivu nanyi

    Haiingii Akilini yaani Wafanyabiashara Ndogo Ndogo Kituoni Tanganyika Packers Kawe wanahamishwa kutoka eneo wasilotakiwa na kwenda kupelekwa tena eneo wasilotakiwa. Hivi nyie NHC pamoja na RC wa Dar (mwana Wenge BCBG na Simba SC Mwenzangu Amos Makala ) na Poti wangu wa Kanda ya Ziwa Mbunge...
  10. GENTAMYCINE

    Kuna nini kinaendelea Tanganyika Packers Kawe, Kituoni na kwa Wafanyabiashara wa pembezoni?

    Nilichokishuhudia ni Mageti ya Kuingilia Kufungwa, Wafanyabiashara ( akina Mama Kutukanana ) na Walinzi, Kuhamishwa kutoka walikokuwa na kupelekwa mbali ambako pia kuna Watu wanaendelea na Shughuli zao. Eneo la Ndani la Uwanja wa Tanganyika Packers Kukwanguliwa na Greda, Ujenzi wa Awali...
  11. GENTAMYCINE

    Je, hi Taarifa kuwa Mtume Mwamposa 'Kaondolewa' Kawe na sasa anahamia Mbezi Beach Kona Baa ni za kweli?

    "Mtume Mwamposa amepewa hadi Jamamosi ( 8 Oktoba, 2022 ) awe ameshaondoka Tanganyika Packers Kawe na sasa atahamia rasmi Mbezi Beach Kona Baa njia ya zamani ya kwenda Goba ambako amenunua Eneo Kubwa sana kwa Juu kwa thamani ya Shilingi Bilioni 3.5 za Kitanzania" amesema Mkazi Jirani na Eneo...
  12. GENTAMYCINE

    Makaburi ya Waislamu ya Kawe Mzimuni yameshajaa Mamlaka itenge Eneo jipya ili 'Marehemu' wapumzike kwa Kujinafasi

    Kinachofanyika sasa katika Makaburi ya Waislamu Kawe Mzimuni siyo Uzikaji wa Staha bali ni kutupa tu Maiti kisha Kuifukia na Waombolezaji Kutawanyika. Ni kawaida kwa Muombolezaji akienda Mazikoni hapo Makaburi ya Waislamu Kawe Mzimuni kukutana na Mifupa ya Marehemu na hata Mafuvu yao kutokana...
  13. GENTAMYCINE

    Nahitaji 'Critical Thinking' katika Kulijadili Tukio Baya la Jana Kawe Maringo

    Kutokana na Unyeti wa hilo Eneo na maeneo mengi ya Kawe ambayo kwa 75% yanazungukwa na hata kukaliwa na Majeshi yetu JKT na JWTZ naomba GENTAMYCINE niwe muwazi kuwa siamini na nakataa kuwa Wahusika ni hawa Panya Road tunaowaimba kila Uchao. Inakuwaje Eneo lililotokea Tukio Baya jana liwe na...
  14. Pdidy

    DC Gondwe: Msaada wako mto Kawe. Watoto awaendi shule

    MH DC SHALOM Tunaomba msaada wako wachimba mchanga mto Kawe wanachimba tope. Watoto wanashindwa kwenda mashulen. Polisi Kawe wameshindwa kutusaidia wanakuja kukusanya pesa kila siku badala ya kuzuia malori Tunaomba tusisubiri kusikia wamekufa watoto tunaomba marufuku kuchimba mto Kawe Wako...
  15. M

    KWELI Bodaboda atumwa barua yenye ujumbe wa kulipua Kambi ya Lugalo kati ya Novemba 20 hadi 27, 2021

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida na iliyozua Maswali mengi na Taharuki ya Kiusalama Kawe ni kwamba Kijana Mmoja Dereva Bodaboda amejikuta matatani baada ya kutumwa kupeleka Barua yenye Ujumbe wa Tishio katika Kambi ya Jeshi ya Lugalo. Ilikuwa ni Siku ya Jumapili iliyopita ambapo Kijana huyo (...
  16. Job Richard

    Vibaka Kawe, unaporwa kila kitu nauli unapewa

    Kuna mshikaji alikuwa na mke wake kapita nyuma ya Tanganyika Packers pale Kawe anadai ilikuwa mida ya saa moja usiku katoka beach, kakutana na jemba tatu zimeshiba zikamsaula kila kitu. Na mfukoni alikuwa na elfu sabini ile wanamruhusu ondoka, eti wanamuuliza nauli mnayo? Wakamtoa elfu tano...
  17. Influenza

    Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke

    Jeshi la Polisi Kanda maalum Dar es Salaam limesema Diwani wa Kata ya Kawe, Mutta Rwakatare aliyetoweka tangu mwezi wa pili amekutwa nyumbani kwa mwanamke mmoja Tabata. Mwanamke huyo Ashura Ally anasema kuwa Diwani huyo alifika nyumbani kwake akiwa katika hali ya ulevi. Pia soma > Meya wa...
  18. J

    Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa

    Meya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo. Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare hajahudhuria vikao kwa muda mrefu na hata chama hakijui alipo Fununu zinadai Lwakatare amefichwa mahali...
  19. pantheraleo

    Dar: Vicky Kamata atoa Msaada kwa Shule ya Sekondari Mbwenitete, iliyopo Jimbo la Kawe, Wadau Waombwa kuendelea kusaidia

    Salaam Wakuu, Alfonce Peter Swai, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Serikali ya Mbwenitete iliyopo Mbweni, Kawe Wilaya ya Kinondoni Mkoani Dar Es Salaam, ameomba Wadau wa Elimu kusaidia Shule kwani ina Ufaulu Mzuri pamoja na Changamoto zilizopo. Amesema Komputa ni Somo lipo kwenye Mtaala...
  20. JanguKamaJangu

    Usafi waanza kufanyika Soko la Kawe baada ya uchafu kukithiri kutokana na mvua

    Baada ya Jamii Forums kuripoti kuhusu Soko la Kawe kuwa chafu kutokana na mvua zilizonyesha hivi karibuni Jijini Dar es Salaam, mamlaka zimeanza kuchukua hatua ya kufanya usafi sokoni hapo. Barabara ya kuelekea sokoni hapo imeanza kufanyiwa marekebisho ya kuwekewa vifusi, ambapo awali kulikuwa...
Back
Top Bottom