Makaburi ya Waislamu ya Kawe Mzimuni yameshajaa Mamlaka itenge Eneo jipya ili 'Marehemu' wapumzike kwa Kujinafasi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,682
109,098
Kinachofanyika sasa katika Makaburi ya Waislamu Kawe Mzimuni siyo Uzikaji wa Staha bali ni kutupa tu Maiti kisha Kuifukia na Waombolezaji Kutawanyika.

Ni kawaida kwa Muombolezaji akienda Mazikoni hapo Makaburi ya Waislamu Kawe Mzimuni kukutana na Mifupa ya Marehemu na hata Mafuvu yao kutokana na kwamba Eneo limeshajaa na Watu ( Wafiwa ) pamoja na Mamlaka zinalazimisha Kuzika kwa Kupandiana na Kushindiliana katika Kaburi kitu ambacho GENTAMYCINE nakiona si kizuri kwa Wapendwa wetu Waliotutangulia mbele za Haki ( Kufariki ) dunia.

Mamlaka husika iliangalie hili upesi.
 
Kinachofanyika sasa katika Makaburi ya Waislamu Kawe Mzimuni siyo Uzikaji wa Staha bali ni kutupa tu Maiti kisha Kuifukia na Waombolezaji Kutawanyika.

Ni kawaida kwa Muombolezaji akienda Mazikoni hapo Makaburi ya Waislamu Kawe Mzimuni kukutana na Mifupa ya Marehemu na hata Mafuvu yao kutokana na kwamba Eneo limeshajaa na Watu ( Wafiwa ) pamoja na Mamlaka zinalazimisha Kuzika kwa Kupandiana na Kushindiliana katika Kaburi kitu ambacho GENTAMYCINE nakiona si kizuri kwa Wapendwa wetu Waliotutangulia mbele za Haki ( Kufariki ) dunia.

Mamlaka husika iliangalie hili upesi.
pajengwe tanuri la kuchomea miili ya wafu hapo,

Mambo ya makaburi wenzetu washaacha kitambo
 
Wewe jamaa upelekwe hospital haraka mno. Wewe upo Bunda vijijini mambo ya kawe unayajua vipi aisee?

Utoto raha sana yani u can just think any how.

Mtu yupo Bunda vijijini mkoani Mara ila ana assume yupo Kawe mjini daslamu..

Hospital zipo mkuu nenda kacheck hiyo celebral maralia
 
Kinachofanyika sasa katika Makaburi ya Waislamu Kawe Mzimuni siyo Uzikaji wa Staha bali ni kutupa tu Maiti kisha Kuifukia na Waombolezaji Kutawanyika.

Ni kawaida kwa Muombolezaji akienda Mazikoni hapo Makaburi ya Waislamu Kawe Mzimuni kukutana na Mifupa ya Marehemu na hata Mafuvu yao kutokana na kwamba Eneo limeshajaa na Watu ( Wafiwa ) pamoja na Mamlaka zinalazimisha Kuzika kwa Kupandiana na Kushindiliana katika Kaburi kitu ambacho GENTAMYCINE nakiona si kizuri kwa Wapendwa wetu Waliotutangulia mbele za Haki ( Kufariki ) dunia.

Mamlaka husika iliangalie hili upesi.
Niliweka uzi humu kuhusu suala la mazishi Dar walinirushia maneno ya hovyo as if hawatazikwa, ukweli hali ni mbaya, si kwamba Mamlaka hazijui, ni kwamba suala la mazishi kwao siyo deal, haliwalipi
 
Kuna makaburi huwa yananifikirisha sana nikiona marehemu wanazikwa, hasa ya Sinza na Kinondoni, kusema kweli mimi huwa sioni eneo la kuzikia, lakini wachimbaji makaburi huwa wanayaona.!!
 
Makaburi mengi ya Dar es salaam hali iko hivyo, nadhani watu tuige tamaduni za wachaga kuzika makwao (mkoani), kaburi la bibi yangu lilifukuliwa pale Makangarawe ili barabara ipite,
Kumbukumbu yote imepotea
 
Back
Top Bottom