Nimemsikiliza kwa makini Sana, Rais Samia Suluhu Hassan, Katika hotuba yake kwa Baraza la vyama, akijibu hoja aliyopewa na Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, aliyeomba Mwenyekiti wa Chadema Mbowe afutiwe kesi ya ugaidi inayomkabili.
Alijibu hoja hiyo kuwa kusamehe kupo, lakini Mbowe...