Kauli za kuwaita mawaziri wapumbavu ama nonsense zitafutwa na Katiba Mpya

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,406
Katiba yetu inampa Rais mamlaka makubwa sana nchi hii. Rais ni kama Mungu kwa mujibu wa katiba yetu.

Mawaziri wanatwezwa lkn hawana cha kufanya. Wakijuzulu "mungu" anaweza kutafsiri hatua hii kama dharau na kuamua kuwashughulikia. Wanalazimika kuipokea kauli ya "mungu mtu" kwa mikono miwili.

Rais Magufuli aliwaita mawaziri Dr. Philip Mpango na Prof. Kabudi WAPUMBAVU mbele ya hadhara. Wakapokea kauli hii kwa mikono miwili. Sote tukabakia tumeduwaa. Ni kwasababu hawakuwa na la kufanya mawaziri hawa. Walimwogopa "mungu" na malaika wake

Rais Samia ametamka hadharani kwamba uamuzi wa Prof. Mkenda kuzuia sukari toka nje ni NONSENSE. Sote tumebaki tumepigwa na butwaa. Hana la kufanya Prof. huyu. Akirogwa kujiuzulu "Mungu" ama malaika wake watamshughulikia.

Tuiangalie upya Katiba yetu inayomjenga mtu kuwa "Mungu".
 
Sasa unazuiaje sukari nje?, Kwani matokeo yake hujayaona? Viwanda vichache, bei ikapanda hadi sukari ikawa adimu kupatikana, acha mataifa mengine yajaze sukari nchini ushindani uwe mkubwa bei iwe chee!

Mama yupo sahihi kwenye hili. ✔️
 
Sasa unazuiaje sukari nje?, Kwani matokeo yake hujayaona? Viwanda vichache, bei ikapanda hadi sukari ikawa adimu kupatikana, acha mataifa mengine yajaze sukari nchini ushindani uwe mkubwa bei iwe chee!

Mama yupo sahihi kwenye hili. ✔️
Daah! Mkuu ulinzi wa bidha za ndani unafanywa hata na mataifa makubwa. Sembuse hii dona kantre??
 
Sasa unazuiaje sukari nje?, Kwani matokeo yake hujayaona? Viwanda vichache, bei ikapanda hadi sukari ikawa adimu kupatikana, acha mataifa mengine yajaze sukari nchini ushindani uwe mkubwa bei iwe chee!

Mama yupo sahihi kwenye hili.
Ungesikiliza alichokisema huyo Waziri usingeandika ulichoandika. Ilikuwa ni msimamo wa Serikali wala siyo wa Waziri kuwa sukari itaagizwa tu na wenye viwanda kuziba pengo la sukari inayozalishwa nchini na mahitaji ya nchi. Waziri alikuwa anasimamia maamuzi ya Serikali kumuita nonsense ni kuitukana Serikali nzima.


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Katiba yetu inampa rais mamlaka makubwa sana nchi hii. Rais ni kama Mungu kwa mujibu wa katiba yetu.

Mawaziri wanatwezwa lkn hawana cha kufanya. Wakijuzulu "mungu" anaweza kutafsiri hatua hii kama dharau na kuamua kuwashughulikia. Wanalazimika kuipokea kauli ya "mungu mtu" kwa mikono miwili.

Rais magufuli aliwaita mawaziri Dr. Philip Mpango na Prof. Kabudi WAPUMBAVU mbele ya hadhara. Wakapokea kauli hii kwa mikono miwili. Sote tukabakia tumeduwaa. Ni kwasababu hawakuwa na la kufanya mawaziri hawa. Walimwogopa "mungu" na malaika wake

Rais Samia ametamka hadharani kwamba uamuzi wa Prof. Mkenda kuzuia sukari toka nje ni NONSENSE. Sote tumebaki tumepigwa na butwaa. Hana la kufanya Prof. huyu akirogwa kujiuzulu "mungu" ama malaika wake watamshughulikia.

Tuiangalie upya katiba yetu inayomjenga mtu kuwa "Mungu".


Tunaoenda kulisha maneno watu Raisi alisema ujumbe ulikuwa non sense lakini hajamwita mtu yetote mpumbavu hii ni kuongeza chumvi!. Ungesema kwamba waziri kaongea mambo ya kijinga tungekuelewa lakini kusema “ mpumbavu” ni mtu sio maneno…
 
Katiba yetu inampa rais mamlaka makubwa sana nchi hii. Rais ni kama Mungu kwa mujibu wa katiba yetu.

Mawaziri wanatwezwa lkn hawana cha kufanya. Wakijuzulu "mungu" anaweza kutafsiri hatua hii kama dharau na kuamua kuwashughulikia. Wanalazimika kuipokea kauli ya "mungu mtu" kwa mikono miwili.

Rais magufuli aliwaita mawaziri Dr. Philip Mpango na Prof. Kabudi WAPUMBAVU mbele ya hadhara. Wakapokea kauli hii kwa mikono miwili. Sote tukabakia tumeduwaa. Ni kwasababu hawakuwa na la kufanya mawaziri hawa. Walimwogopa "mungu" na malaika wake

Rais Samia ametamka hadharani kwamba uamuzi wa Prof. Mkenda kuzuia sukari toka nje ni NONSENSE. Sote tumebaki tumepigwa na butwaa. Hana la kufanya Prof. huyu akirogwa kujiuzulu "mungu" ama malaika wake watamshughulikia.

Tuiangalie upya katiba yetu inayomjenga mtu kuwa "Mungu".
Kuna kipindi jiwe alitangazia umma wa watanzania kuwa alikuwa anamwambia waziri wake kuwa wewe ni mpumbavu.
 
Ungesikiliza alichokisema huyo Waziri usingeandika ulichoandika. Ilikuwa ni msimamo wa Serikali wala siyo wa Waziri kuwa sukari itaagizwa tu na wenye viwanda kuziba pengo la sukari inayozalishwa nchini na mahitaji ya nchi. Waziri alikuwa anasimamia maamuzi ya Serikali kumuita nonsense ni kuitukana Serikali nzima.View attachment 2027359View attachment 2027361

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Profesa anazo sababu nzito za kujiuzulu, ili kulinda heshima yake, sijui bado anangoja nini?
 
Sasa unazuiaje sukari nje?, Kwani matokeo yake hujayaona? Viwanda vichache, bei ikapanda hadi sukari ikawa adimu kupatikana, acha mataifa mengine yajaze sukari nchini ushindani uwe mkubwa bei iwe chee!

Mama yupo sahihi kwenye hili.
Tangu lini uliwahi kumkosoa ?
 
Back
Top Bottom