Habari wana JF.
Wafanya biashara wote na wale mnaotarajia kuanza biashara majengo haya ya DDC na BIG BON Kariakoo yamekamilika.
Hapo unaweza kufanya biashara ya viatu, biashara ya miamala wakala wa mitandao ya simu na Bank, ukauza nguo za watoto za wakubwa, ukauza vinywaji, ukauza jezi...