kariakoo

Kariakoo is a ward in the Ilala District of Dar es Salaam, Tanzania. It has a population of 9,405 (2002). The name derives from a corruption of the British "Carrier Corps", that used to be based in this area. Today, Kariakoo is mainly known for its extensive market, that spans several city blocks.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Soko la Kariakoo limebaki asilima chache kukamilika, zaidi ya billioni 30 zatumika

    SOKO LA KARIAKOO IMEBAKI ASILIMA CHACHE KUKAMILIKA ZAIDI YA BILLIONI 30 ZATUMIKA Ukarabati wa soko la Kariakoo umegharimu zaidi ya Bilioni 30 na zimebaki asilima chache kukamilika Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ataenda kukagua baada ya kukamilika pia ametoa fedha kwaajili ya ujenzi wa masoko...
  2. House4Sale Kariakoo: 4 Bdrm Apartment For Sale - Dar

    • Direction: Uhuru Road/China Plaza • Facilities: 4 bedrooms, 3 washrooms • Floor Area: 180 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 150 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ Imetazama Uhuru Road ✓ Ipo floor ya 9 ✓ Lift yenye inverter ipo ✓ Vyumba viwili self & viwili vya kawaida, public...
  3. DAWASA: Ni kweli Kariakoo kuna changamoto ya Majitaka, tunakaribia kuanza utekelezaji wa mradi utakaoleta suluhu

    Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mkama Bwire amesema wanakabiliana na changamoto ya maji taka katika eneo la Kariakoo kutokana na miundombinu iliyopo sasa kuelemewa na kushindwa kuendana na uhitaji. Kutokana na changamoto hiyo...
  4. M

    Milioni 50 nihamie Dar Kariakoo kibiashara au kwenda China

    Wakuu Hali nilipo kibiashara ni ngumu nataka toka mkoani kuhamia kibiashara Kariakoo au niagize bidhaa China Nikiwa Dar vipi kuna kutoboa kweli?
  5. Nakupa chimbo la maua bandia na chimbo la pazia kwa mchina kariakoo!

    i
  6. Kwa mnaohusika na kubomoa magorofa kariakoo naombeni connection ya vifaa jenzi used

    Habari zenu wanajamvi, kama nilivosema Nahitaji vifaa jenzi used lakini vilivyo katika hali nzuri kama vile bati za migongo mipana, nondo ml.12, gypsum, tofali n.k Kwa bomoa bomoa inayoendelea kariakoo vitu hivyo vinaweza kupatikana kwa bei rahisi naomba mwenye connection ani-pm au aweke hapa...
  7. M

    One stop business center ya Ubungo ikijengwa itaua Kariakoo na kubadilisha mfumo mzima wa biashara Kwa Tanzania na nchi jirani

    Ni kweli serikali wapo serous na hili au stori, ikiwa ni kweli Tanzania itakuwa nusu ya Dubai wachina wanajua sana biashara,tuombe serikali iwe serious
  8. INAUZWA Kibamba: Shule ya Msingi Inauzwa - Dar

    • Ipo Kibamba Mwisho • Ukubwa wa eneo ni ekari 4 • Ina hati miliki • Imesajiliwa • Inauzwa TZS bilioni 1.2 . ✓ darasa 1-7 ✓ inatoa huduma ✓ ni ya kutwa ✓ ina maabara na jengo la ofisi ✓ ina kiwanja cha michezo ✓ eneo kubwa limebaki linaweza kutumika kwa maendeleo mengine . • In Real...
  9. Kwa nini ujenzi wa maghorofa umeshamiri kariakoo?

    Habari zenu wana JF. Kuna jambo gani ambalo linaendelea kariakoo maana kila ukienda kuna ghorofa lishavunjwa kwa ajili ya kujenga jingine. Ni kwamba bei ya vifaa vya ujenzi imeshuka au vipi?
  10. Y

    MODERATOR USIFUTE HII TAFADHALI: NAPANGISHA FRAME YANGU YA KARIAKOO

    Wakuu napangisha frame yangu kariakoo iko mtaa wa Masasi jirani na hii barabara kuu ya Msimbazi na jirani na kituo cha mwendokasi cha Msimbazi.Inafaa kwa Simu, Vifaa vya Simu au Ufundi wa Simu. Kama utahitaji tuonane inbox.
  11. N

    KERO Responded Kariakoo kuna chemba zinatema maji machafu na kuhatarisha afya za Watu, Viongozi wapo kimya

    Licha ya kutambulika wazi kwamba Kariakoo ni sehemu muhimu ya kibiashara ambayo inajumuisha shughuli mbalimbali ambazo zinafanya kuwa chanzo nyeti cha mapato nchini, lakini nashangazwa na mamlaka kushindwa kuwajibika kuzingatia usafi wa mazingira katika eneo hilo. Ni zaidi ya Wiki mbili sasa...
  12. Nakupa chimbo la sahani za mifupa! Kariakoo Livingstone n Aggrey

    Yesss! Kama ada yangu wazee sina nongwa ila cha ajabu Lamomy ana nongwa na mm! Sio kes... Kuna sahan nzito kali tu za mifupa kwa wafanyabiashara. Duka la mchina liko kariakok aggrey na livingstone. Hesabu ya boksi ni pisi 72, na bei ya mjumuisho pia inaainishwa. Kwa bei ya mchina kila pis ni...
  13. Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

    Wazee mpooo! Hiz raba mara ya mwisho tulipata tenda mwanza tukazituma. Kali sana na kuzugia zugia zinafaa Size kuanzia 32 mpaka 43 Boksi zinakaa 24 na kila moja inauzwa elfu 10 kwa mchina so boksi lake ni 240k Duka la mchina linapatikana mtaa wa Narungombe na Kongo (Kariakoo) na mchina...
  14. Kati ya Yanga na Simba nani anapigika leo kwenye Kariakoo Derby?

    Haya Wababe wa Jangwani na Msimbazi Kariakoo leo wanazichapa nyasi za kwa Mkapa. Kila timu ina wachezaji matata, usajili mpya, jezi mpya na kila kitu ila matokeo yataamua nani anaondoka na shangwe! Kwa unavyoona maandalizi nani anamchapa mwenzake leo?
  15. Nahitaji Dalali City Center au Kariakoo

    Habari wana JF natafuta dalali kwaajili ya frem au office space maeneo ya city center au kariakoo Kwa mwenye namba za dalali maeneo hayo naomba unitumie number au km ww dalali njoo inbox Asanteni
  16. Plot4Sale Kariakoo: 850 sqm Plot For Sale - Dar

    • Direction: Muhoro • Plot Area: 850 sqm • Document: Title deed • Price: TZS 800 million • Viewing charge: TZS 30,000 . ✓ hapa ni mahali pa soko la kibiashara la kimataifa ✓ plot inafaa kwa makazi na biashara . Call/Watsap: +255 767 15 77 88 . In Real Estate We Connect
  17. Tunawakosesha fursa wazawa kwa kuwekeza nguvu kwenye timu mbili za Kariakoo tu.

    Tangu nimsikie Mbwana Samatta katika jukwaa la kimataifa sijamsikia tena mzawa mwingine Mtanzania akiwa maarufu hapa Africa au duniani kwa ujumla katika sekta ya michezo. Huenda sababu mojawapo kubwa ni serikali na raia kuelekeza nguvu zao na focus yao yote katika vilabu viwili zaidi vya...
  18. Sold out ila bado tiketi zanauzwa kwa lampard electronics kariakoo

    Angalia hii picha unaona bado watu wananunua tiketi sasa nashangaa sababu tuliambiwa ni sold out na mimi niliuamin uongozi wa simba kwa asilimia 100 sasa nimepita lampard electronics nimeshangaa kuona msururu wa watu wakiwa bado wananunua tiketi
  19. Mwizi kachomwa moto muda huu Kariakoo

    Hivi wadau kumbe style ya wizi wa kizamani ya mtu kujifanya umemkanyaga anakugusa halafu unaibiwa bado ipo aisee. Leo kuna mwizi kajaa kwenye kumi nane za watu hapa Kariakoo kamgusa mtu sijui alishawahi kuibiwa Kwa aina hii si ndio kamshtukia kamwitia mwizi aisee jamaa kachomwa na petrol muda...
  20. E

    Connection ya kuagiza mzigo Kariakoo bila kwenda

    Naomba connection nikitaka agiza mzigo Kariakoo bila mimi kwenda huko
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…