Yawezekana amekosea, Yawezekana hayuko Sawa,Yawezekana kuna mahali kamkasirisha Yeyote katika Watawala
INapaswa atafutwe yeye,muhojiane nae mkitaka Mfanyeni mtakavyo
Lakini kulifunga Kanisa/Nyumba ya IBADA si sawa
Lile si KANISA tu ile ni sehemu watu wanaenda kukusanyika kuongea na Mungu...