kakoko

Emmanuel Kakoko Etepé (Born 22 November 1950) is a Congolese former professional footballer who played as a forward. He represented Zaire in 1974 FIFA World Cup.

View More On Wikipedia.org
  1. Stephano Mgendanyi

    Kiongozi Mkoa wa Tabora apingana na agizo la timu ya Mawaziri 8 kuhusu Vijiji vya Kakoko na Usinga

    "Ndugu zangu Wananchi wa Ukumbikakoko na Usinga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anawapenda Sana ndio maana aliwaruhusu Mawaziri 8 kuja na kuwatangazia kuishi kwenye maeneo yenu lakini Kiongozi mmoja wa Mkoa anaonekana kuanza kupinga Agizo la timu ya Mawaziri...
  2. Stuxnet

    Deus Kakoko afikishwa TAKUKURU. Alikuwa "Untouchable" kwenye Utawala wa Jiwe

    Rejea headline ya Raia Mwema ya tarehe 24 August, 2022. Deus Kakoko alikuwa "Untouchable" kipindi cha Magufuli kutokana na kuwa msiri wake tangu akiwa Regional Manager wa TANROADS enzi za awamu ya 4. Wakati wa Mwendazake hata PM Majaliwa amewahi kugonga mwamba kwa hiki kisiki. Soma na hizi...
  3. M

    UZUSHI Deusdedit Kakokonwa TPA akamatwa nyumbani na begi lenye USD 1,625,800

    Kuna madai kuwa Takukuru wameingia nyumbani kwa Kakoko leo ghafla na kumkuta na begi lenye $1,625,800 taslimu baada ya kusimamishwa kazi jana! Haijulikani hizo alizichota lini, lakini kama ni kweli inawezekana alikuwa akizichota pole pole kwa muda mrefu kidogo na huenda sasa hivi ana...
  4. K

    Serikali imrudishe Mhandisi Kakoko kama suluhisho la matatizo ya Bandari

    Kumekuwa na matatizo mengi sana yanayohusu Bandari zetu na hasa ya Dar es Salaam. Awamu ya Tano ilimteua Injinia Kakoko kuongoza Bandari na matokeo yake kila mmoja wetu aliona. Injinia Kakoko aliongeza mapato ya Bandari zaidi ya mara kumi. Ni vema Injinia Kakoko akarudishwa tena pale na kwa...
  5. Fundi Madirisha

    Catherine Ruge: Kakoko alinitishia kuniua baada ya kuibua madudu mengi TPA

    Aliyekuwa mbunge wa viti maalum CHADEMA na Katibu mkuu BAWACHA ndugu Catherine Ruge amedai kwamba wakati akiwa mbunge akifanyia kazi kamati ya PAC alitishiwa kifo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari nchini TPA ndugu Kakoko ambaye alikuja kutumbuliwa kwa tuhuma za ufisadi na...
  6. S

    Ukiunganisha dot ndo utaelewa: Alitolewa Kakoko bandarini akatolewa Chamriho ujenzi, akatolewa Kalemani Nishati n.k

    Nasema hivo kwa sababu zifatazo: Kwanza mara tu baada ya Rais Samia kuingia alifanya mabadiliko bandarini akidaiwa kuwa Kakoko ni fisadi na akawekwa chini ya uchunguzi ambao mpaka leo hakuna kilichoelezwa kwa undani tofauti na propaganda! Naweza kuamini kuwa Kakoko alitolewa pale...
  7. Ajuasadi

    Rais Samia on SabayaKakokoism UDSM

    Her Excellence, kindly be notified that there is no single Tanzanian University in the list of top 3,000 Universities in the World. UDSM used to be the best in Africa but now it is falling down at a light speed due to a wide spread of Sabayakokoism (Sabayaism + Kakokoism). Kindly suspend or...
  8. Suley2019

    Sabaya, Kakoko ngoma nzito

    Dar/Tabora. Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeeleza namna ilivyofichua sakata la aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, huku wananchi kadhaa wakijitokeza kuelezea malalamiko yao dhidi yake kwa Takukuru. Wakati hayo yakijiri, Takukuru...
  9. Nduka Original

    Pendekezo: Eng. Kakoko amrithi Patrick Mfugale

    Ukiacha sababu za kisiasa mimi naona Eng. Kakoko aliyekuwa Director General wa Tanzania Ports Authority angetosha kabisa kubeba mikoba ya Eng. Mfugale. Eng. Kakoko kabla yakuteuliwa kuwa DG wa TPA alikuwa Regional Manager wa TanRoads Arusha na baadae JPM alimuhamishia Wizarani yeye akiwa Waziri...
  10. Idugunde

    TAKUKURU mnatumika vibaya ipo siku ukweli utajulikana. Mlitumiwa na wanasiasa wa CCM 'kum-harass' Deusdeth Kakoko ili mhalalishe mradi wa kifisadi

    Watanzania sio wajinga hata kidogo japokuwa wengi wao ni elimu ya kawaida tu maana hata mimi ni Std 7. Mungu ametubaliki uwezo wa kujua kusoma na kuandika pamoja na uwezo wa kudadavua mambo mengi. Deusdedith Kakoko alikuwa smart akaeleza ukweli kuwa taifa la Tanzania halina manufaa na mkataba...
  11. J

    Hawa akina Ole Sabaya na Kakoko ndio wanachafua Legacy ya hayati Magufuli

    Kiukweli Ole Sabaya wa Hai na Kakoko wa TPA walipendwa sana na hayati Magufuli lakini ndio wamekuwa watendaji wa mwanzo kabisa kuichafua Serikali ya Awamu ya 5 kwamba na yenyewe ilikuwa na makandokando kibao. Kwa namna alivyoijenga CCM wilayani Hai DC Ole Sabaya aliaminika kama kijana mzalendo...
  12. Kurunzi

    Bandari ya Bagamoyo Ijengwe au Isijengwe? Soma Makala hii Tujadili

    MIAKA sita iliyopita, Mradi wa Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo nchini Tanzania ulikuwa ukitajwa kama mmoja wa miradi ya kimkakati yenye fursa kubwa ya kuzimua uchumi wa taifa hilo. Midomoni kwa watumishi wa umma na viongozi wa serikali, neno bandari ya Bagamoyo halikutoka. Hata hivyo, miaka...
  13. Erythrocyte

    Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu TPA, Deusdedit Kakoko aachiwa kwa dhamana baada ya TAKUKURU kukamilisha Uchunguzi dhidi yake kwa 98%

    Hii ndio taarifa ya TAKUKURU iliyotolewa kwa vyombo vya habari , na kwamba hizo 2% zilizobaki zitakamilishwa na ofisi ya CAG Hakuna Taarifa kama atafikishwa Mahakamani au la . Tuendelee kufuatilia . ==== Takukuru yamwachia ‘bosi’ bandari, “waulizwe CAG” MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia...
  14. Benson Mramba

    Inawezekana kosa la Kakoko ni kuzuia mradi wa Bandari ya Bagamoyo

    Nimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa lengo la kufungulia mradi wa Bagamoyo. Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu. Nawakumbusha...
Back
Top Bottom