kahawa

  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kyerwa, Kagera: Kuna tofauti ya bei ya Kahawa Tanzania na Uganda, wakulima tunapigwa tukiuza Kahawa yetu Uganda

    Katika Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera, hususan katika kata zinazopakana na nchi jirani ya Uganda, yaani kata za Mrongo na Bugomora, wananchi ni wazalishaji wakubwa wa zao la kahawa aina ya Robusta kwa wingi. Lakini kumekuwa na unyanyasaji mkubwa ambapo mamlaka husika wilayani humo zimekuwa...
  2. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Teenager Arrested Over Kahawa Wendani Child Abduction as Kenya's Missing Children Crisis Deepens

    A viral CCTV clip, a two-year-old girl, and a 15-year-old suspect, the case that gripped Nairobi has ended with a rescue, but the bigger question remains unanswered. The search for a missing toddler that gripped Nairobi for days came to a dramatic conclusion after police arrested a teenage...
  3. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sera ya ushuru sifuri ya China yafungua fursa kwa sekta ya kahawa ya nchini Kenya

    Kuanzia Mei Mosi, 2026, China itaanza kutekeleza sera ya ushuru sifuri kwa bidhaa zinazotoka nchi 53 za Afrika zenye uhusiano wa kidiplomasia na China. Sera hii inachukuliwa kama fursa muhimu kwa nchi za Afrika kuingia katika soko kubwa la China kwa kuleta bidhaa zao za kipekee na za ubora wa...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Kutoka buni hadi kikombe cha kahawa: Je Yunnan imewezaje kuongeza ubora wa kahawa yake?

    Kwa sisi wageni tunaoishi China, linapokuja suala la unywaji wa kahawa, mara nyingi tunajiuliza: Wachina walifanyaje hadi kahawa ikawa kinywaji kinachopendwa katika nchi ambayo kwa maelfu ya miaka inajulikana zaidi kwa chai yake? Hata hivyo, katika miongo miwili iliyopita, mapinduzi ya kahawa...
  5. JamiiForums Tanzania Kikombe cha kahawa

    Nipo pembeni mwabkitanda changu nimekaa na kikombe cha kahawa,isiyokuwa na maziwa au sukari.Pembeni kuna redio ndogo nasikiliza mambo mbalimbali kwa sauti ya chini sana.Kitandani kalala mke wangu yupo fo fo fo kabisa. Kalala kwa amani kabisa akijua yupo mlinzi wake.Nyumba nzima ni...
  6. JamiiForums Tanzania Jipatie a 800ml french press pamoja na kahawa bure kwa 89,000Tsh tu.

    Kwa wale wadau wa kahawa,french press madhubuti sasa zimekuja tena. Ukinunua unapewa na kahawa 200 gram quality buree ya kuanzia maisha.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mmejazana kwenye kijiwe cha kahawa hapo stendi ya Zamani Chato mkifurahia Manunga ,Mbunge wenu na wenzake kupandishwa mahakamani

    Mna mambo ya ajabu sana hapo Chato. Ndio mmepata story ya kufurahia? Kwa hiyo kwa hii CCM mnadhania watafungwa?
  8. JamiiForums Tanzania Brewa Coffee: Kahawa Bora Zaidi Tanzania – Inayotikisa Soko kwa sasa.

    Kama wewe ni mpenzi wa kahawa ya kweli,karibu Brewa. Hatuuzi mazoea, tunauza ubora na ladha halisi inayotoka kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro. Bidhaa zetu ndizo zinazoongoza kwa mauzo kwa sasa kwa sababu hatuna mpinzani kwenye swala la freshness. Kahawa yetu inakaangwa (roasted) na...
  9. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Zamani bidhaa kuu ya uuzaji nje ya kenya Ilikuwa Kahawa. Sasa ni kazi ya watu

    Kwa miaka mingi, bidhaa muhimu zaidi ya Kenya iliyokuwa ikiuzwa nje ya nchi ilikuwa kahawa. Leo, ni wafanyakazi. Fedha zinazotumwa nyumbani na Wakenya wanaofanya kazi nje ya nchi sasa zinachangia sehemu kubwa zaidi ya uchumi wa Kenya kuliko kahawa au chai — jambo ambalo rais wa nchi hiyo...
  10. JamiiForums Tanzania Tazama vikombe vya kahawa

    Wee chungulia TU, jiulize kwa Nini havikunywewa. Kataaa muhuni
  11. JamiiForums Tanzania Kiwanda cha kahawa CMS Mbozi hakidhibiti vumbi la pumba za kahawa, NEMC fuatilieni

    Habari, Hiki kiwanda kipo mji wa Mlowo kina husika na kukoboa kahawa ila cha kushangaza hakidhibiti vumbi la pumba ya kahawa lisiende kwenye makazi ya watu. Hali hii imekuwa ni kero kwetu sisi wakazi na kutusababishia vifua vya mara kwa mara. Tunaomba NEMC mfuatilie na mchukue hatua stahiki
  12. JamiiForums Tanzania Karibu asilimia 80 ya agano jipya ni maneno ya wanywa kahawa wa zamani

    Katika Agano Jipya: 1. Maneno ya Yesu: - Yanakadiriwa kuwa asilimia 18-20 ya Agano Jipya yote (kutegemea tafsiri na muundo wa Biblia). Haya yanapatikana zaidi kwenye Injili Nne (Mathayo, Marko, Luka, Yohana), na mara nyingi huandikwa kwa herufi nyekundu kwenye baadhi ya Biblia. 2. Maneno ya...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Eti nauza dawa ya kuacha Pombe! Kha unataka niwe nakunywa kahawa?

    Nimekereka sana na huyu mmasai. Mbaya zaidi ananifuata ofisini kwangu! Niwe nashinda kwenye vijiwe vya kahawa ? Niache ugimbi kweli?
  14. JamiiForums Tanzania Kahwa safi na fresh iliyokaangwa chini ya saa 48

    Kama mdau niliebahatika kulelewa kwenye mazingira ya kutegemea kilimo cha kahawa kwetu Arusha, nilikua nasikitika sana watumiaji wengi wa kahawa kutojua ladha halisi na fresh ya Kilimanjaro. Kahawa nyingi sio fresh aidha zimekaa sana au quality ya Buni ni sio nzuri. Kwa miaka mitatu iliyopita...
  15. JamiiForums Tanzania Serikali imekatisha tamaa wakulima wa kahawa mkoa wa Kagera

    Serikali mmetufanyia dharau wakulima wa kahawa Mwaka Jana tuliuza kahawa bei ya 7000+ Kwa kilo Mwaka huu mmetoa bei elekezi ya kuanzia angalau sh 5500 Ila ajabu bei imeshuka Jana mnada bei imetoka sh 3000 na inasemekana bei utashuka zaidi Wanunuzi wengi wamesusa kununua kahawa, ikisemekana ni...
  16. JamiiForums Tanzania Nimeenda mitaa kadhaa hapa kahama ukifika kijiweni wee sema tu CCM HAINA USHAWISHI TENA Kisha Endelea kunywa kahawa Yako.

    Ni dhahiri kabisa ccm watu hawapendi hata kidogo kabisa wiki iliyopita nilikuwa geita basi nilikuwa nikifika kijiweni natupia tu Ccm Haina mashiko/ushawishi kabisa Kwa Sasa halafu natulia kuskilizia....mada ilikuwa inadakwa juujuu na inakuwa ya moto kweli.... Japo kwenye kundi la mamba kenge...
  17. U

    JamiiForums Tanzania Anaishi mbagara anashinda Tegeta anakunywa kahawa, hatujui kazi yake , Hana simu

    Wadau hamjamboni nyote?
  18. JamiiForums Tanzania PreGE2025 Waziri Bashungwa: Watu walichanga 2020 ili niwe mbunge wa kipindi kimoja kusudi ufisadi uendelee ushirika

    Serikali inaendelea kusimamia sera nzuri na mifumo madhubuti ya usimamizi na uuzaji wa kahawa, kwa lengo la kuhakikisha wakulima wa zao hilo wanaendelea kunufaika kwa kupata bei nzuri na yenye tija. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na Mbunge wa Karagwe, Innocent...
  19. JamiiForums Tanzania Bashungwa: Serikali itaendelea kulinda maslahi ya Wakulima wa Kahawa, Polisi washughulikie wizi wa kahawa

    Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kusimamia sera nzuri na mifumo madhubuti ya usimamizi na uuzaji wa kahawa, kwa lengo la kuhakikisha wakulima wa zao hilo wanaendelea kunufaika kwa kupata bei nzuri na yenye tija. Kauli hiyo imetolewa na Waziri...
  20. S

    JamiiForums Tanzania Abaa lete haluwa na kahawa - Tuwaone waTanganyika kama wanayaweza ya waZenji.

    Nakumbuka Maalim Seif na wenzake walishitakiwa na kesi ya Uhaini , Nakumbuka Wazenji nchi nzima ya Zanzibar waliandamana ,yote ni kupinga dhuluma za CCM. Nakumbuka polisi na majeshi hupelekwa Zanzibar kila unapokaribia uchaguzi kwa kutekeleza agizo la CCM kuwakandamiza wazenji na atakae nyanyua...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…