Juma Mussa Mkambala (born 1 September 1989), popularly known by his artist name Jux and sometimes referred to as 'African Boy', is a Tanzanian Artist and Songwriter. Born in Dar es Salaam, his interest in music began at a young age, when at the age of 16 he began to rap. However it is his singing that he is best known for to date, and is considered one of Tanzania's highest paid artists. In 2008 when Jux signed to Tanzanian record label A.M records, he began to record R&B songs instead. Since then he has released several hit songs, including 'Sugua' featuring Diamond Platnumz, 'Juu' featuring Vanessa Mdee, and most recently 'Regina' featuring Otile Brown. In 2018 his song 'Uzuri Wako' (translation: Your Goodness) was banned by the Tanzanian Communications Regulatory Authority, along with songs from several other artists, including Diamond Platnumz, for going against Tanzanian morals and values.In 2015, he received an award for 'Best R&B song' at Kili Music Awards, also known as the national Tanzania Music Awards. In 2017 he received an award for the Best East African Music Video at the Zanzibar International Film Festival (2017). And in 2018 and 2019, he was nominated for 'Best Male East Africa' at the AFRIMMA awards. He also appeared performed on Coke Studio Africa in 2019. After numerous single releases, his first album titled 'The Love Album' was released in 2019, featuring tracks from several artists including Nigerian artist Singah and Diamond Platnumz.
Sioni kama ni vyema mashabiki zetu kuwa na chuki na sisi wasanii wenu,wasanii wa mataifa mengine wameendelea kwa sababu mashabiki wa Nchini kwao wanawasapoti kwa moyo mmoja"Amesema Jux
Katika Hali ya kushangaza watu wamejiuliza hivi wanigeria nao wamesusa? Ukitoa waandishi wa habari, na familia ya mke wa jux uwanja unabaki holaaa Yani unaweza hata wahesabu, na ukagawa chai na vitumbua vinne na bado ukarudi navo.
Muheshimiwa waziri na msemaji wetu girishoni tunaomba show...
Ni makosa makubwa kuwashutumu Wananchi kuwa wanachukizwa na matendo ya Wasanii kujihusisha na Siasa
Swala la kujihusisha na Siasa ama Chama cha Siasa ni haki ya kila Mwananchi na Mwananchi hapangiwi au kulazimishwa kuchagua Chama cha Siasa na wala sio kosa Kisheria au Kikatiba kuchagua chama...
Hii imenipa maswali sana kwahy jux hawezi kabisa kubebesha mwanamke mimba kwa picha nilio iona ni kwamba mwanamke kavaa zile mimba bandia inaonyesha kabisa na huyo aliyetuma picha hizo kwa group alisema wanafanya adoption na sio kwamba mkewe ni mjamzito
Kwahiyo mwamba katuangusha sana kwenye...
Hata ukipress hio trend unaona vyombo vikubwa vya nigeria vikmzunguzia yeye.
Tangia mwamba amepata jiko kutoka nigeria, amekuwa talk of town karibia. Africa Magharibi nzima.
Sasa aitumie kama fursa, asikae kizembe
Mai wa Jesse anasema haiwezekani Mond huyu aliejenga Brand yake kwa Gharama kubwa eti aende tu Nigeria kujichoresha kumfuta machozi na kamasi Jux katika harusi😂😂👋🏼.
Hata mimi nimefikiria sana hili jamani, anyways anamalizia kwakusema urafiki wao sio wa kawaida ila neno kawaida mtaelewa wakubwa...
nyimbo ya jux aliyeitoa kwa ajili harusi yake yashika namba mbili na wimbo mwingine namba tatu kwenye itunes nigeria,, nigeria ni nchi yenye idadi ya watu milioni 230, kwa nyimbo ya jux kutrend kwenye soko la nigeria tu jux anaingiza mamilioni ya pesa kwenye digital platforms
Miaka 35 ya Jux akimiliki PESA, ELIMU , UMAARUFU ila bado alikataa kuzaa nje ya ndoa hongera Jux you made it ni somo kubwa sana kwa vijana.
Jux we ndo kioo cha jamii Hapa Tanzania achana na hao waswahili wanaojiita wasanii.
Mimi sio hansome,sina hela,sina six pax,sina umaarufu wowote ila tangu january mpaka sasa nimeshatindua mabinti zaidi ya 19,na mwaka bada mbichi
kabisa
Siku ya msiba wangu nitatia aibu sana kwa rundo la watoto msibani kwangu.
Minajijua siendi mbinguni kwadhambi moja tu ya uzinzi
Sasa mdogo...
Jitahidi uoe mwanamke uliyemzidi kuanzia miaka kumi kama alivyofanya Juma JUX kwa mke wake Prisca.
Faida ni kuwa utakuwa Comfortable Sana .
Na pia utakuwa unawaza kitofauti Sana .
Na itakuongezea heshima
35 Yrs Jux
23 Yrs Prisca.
Kwa mchango wa Wasanii wetu katika ushindi wa Chama. Jux alistahili Boeing 787 impeleke pamoja na Wasanii wote Lagos achukue jiko na kumrudisha nchini. Pia ubalozi wetu Abuja ilipaswa kushiriki kikamilifu kwenye harusi hii ya kipekee.
Lisemwalo lipo mtakuja kusikia Ripot nyengine ya CAG kuhusu ccm inavyotumia pesa vibaya kwa kutumia wasanii.
JUX uwezo wa kukatia tiketi watu wote au waliokuja naijeria ni uwongo na wote waliokwenda kule hawana pesa za kuchezea.
Usijeshangaa pesa walizopata ni kuishawishi CCM ya serikali kuwa...
Mjomba wa Mke wa Jux ni tafsiri tosha ya kauli ya mjomba ni mama, kijana wetu Jux kayakanyaga
Pozi la mjomba pamoja na madoido akina dada wakasome kwasababu hawaingii ndani
Habari wakuu,
Bwana mi nimewamiss,
Ila ngoja twende kwenye mada yetu ya huyu baro Jux na Vee Money mpambano unaendelea.
JUX kwanini aoe Nigeria?
Mi sijui naona Nini, ila ni kama naona Kuna mpambano wa Simba na Yanga.
Yaani naona kama Jux anacheza na mpinzani mwenzake ambaye ni X wake wa...
Majanga, na wao, wahala!
Ivi kwani Tanzania wanawake warembo hamna mpaka mnaenda kuchukua totoz Nigeria?
Kwani wadada wa Tz wana shida gani?
Umemwona Ex wa jux alivyokuwa mzuri
Angalia current girl friend jamaan
Alafu girlfriend wake wa sasa kwao ni matajiri wa kufa mtu sijui nduguyenu...
Private jet ya Msanii na Mfanyabiashara maarufu duniani, Juma Jux inatarajiwa kuwasili Jumanne saa 7 mchana katika Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam. Wote mnaalikwa kwenye mapokezi.
Vanessa alitumia akili ya kuzaliwa kujiondoa kwenye uswahili. Akajiweka sehemu inayoeleweka. Fikiria mpaka leo angekua bado anatembelea IST na kubebeshwa unga ingekuaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.