johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,834
Baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe kusema chama chake hakihitaji ushirikiano au muungano na vyama vingine vya upinzani baadhi ya viongozi wa upinzani wamemshukia kama mwewe.
Selasini wa NCCR mageuzi amesema 2015 CHADEMA kupitia UKAWA ulikuwa na mkakati wa kuviuwa vyama vingine vya upinzani na ilifanikiwa kuidhoofisha NCCR Mageuzi na CUF.
Selasini amesema kamwe hawatarudia makosa ya kushirikiana na CHADEMA katika jambo lolote.
Naye KC Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo amesema chama chake kinafanya Siasa za nchi nzima na siyo Siasa nyepesi za kuachiana Majimbo.
Mengi utayakuta Mwananchi.
Ngoma inogile!
Selasini wa NCCR mageuzi amesema 2015 CHADEMA kupitia UKAWA ulikuwa na mkakati wa kuviuwa vyama vingine vya upinzani na ilifanikiwa kuidhoofisha NCCR Mageuzi na CUF.
Selasini amesema kamwe hawatarudia makosa ya kushirikiana na CHADEMA katika jambo lolote.
Naye KC Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo amesema chama chake kinafanya Siasa za nchi nzima na siyo Siasa nyepesi za kuachiana Majimbo.
Mengi utayakuta Mwananchi.
Ngoma inogile!