Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Mbeya Mjini , Joseph Mbilinyi (Sugu) , leo ameendelea na ukarimu wake , ambako amefika Maskani ambayo wanajipumzisha wazee wa Isanga , baada ya shughuli za kutwa nzima (KILABUNI) , kwa lengo la kuwajulia hali zao na kuwasalimia .
Ama kwa hakika huyu jamaa...