johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,147
Mbunge wa Zamani wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu Baada ya kukaa zaidi ya saa 6 pale JNIA akisubiri Ndege ameitaka Serikali iwape Waarabu na ATCL.
Bilionea Sugu amelalamika kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii.
=====
Bilionea Sugu amelalamika kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii.
=====