job

  1. Mwamba1961

    Mechanical engineer job, deadline kesho Septemba 29

    Ninauhitaji wa Mechanical Engineers wenye sifa na uwezo kama nilivyoonyesha hapa chini. Mechanical Engineers, with CSWIP 3.1 certification and NDT qualification (VT;PT;MT;UT & RT). Naomba kama una ndugu au rafiki mwenye uwezo na uzoefu na awe na vyeti anitumie CV kwenye e-mail...
  2. M

    Je, Spika mstaafu Job Ndugai, ana sifa ya kugombea kuwa Rais wa Tanzania 2025?

    Nimejaribu kufuatilia msimamo wa Job Ndugai ni kama wa JPM, ni mzalendo na hapendi Nchi kuombaomba misaada au kukopa sana kutoka nje, badala anapenda kujitegemea. Natafakari kama CCM itampitisha kugombea Urais 2025, je ana sifa ya kuwa Rais wa Tanzania?
  3. Short Boe

    Nawezaje kuingiza pesa kupitia pikipiki..?

    Habari, Poleni na majukumu Nina pikipiki yangu aina ya TVS 125 hivi ni mchongo gani wa pesa naweza kuufanya kupitia pikipiki hii ukiachana na Bodaboda Wataalam nipeni michongo mdogo wenu
  4. Shiphra

    Hiring Swim Teacher Mwanza

    A swim coach is needed at Capripoint Mwanza. Should be available on weekdays from 12pm to 4pm. MUST be a very competent, confident swimmer and good with children. I don't care about formal education but the applicant should have good English skills. Will work from 1 to 2 hours a day and...
  5. kingkaka_12

    Excavator Job

    Habari zenu wakuu, Naitwa Hamza natafuta kazi ya ku operate excavator pia nakuwa private driver au kampuni vyote ninaweza nina uzoefu wa muda mrefu naomba connections zenu wakuu Number angu.. 0744185019 0629579917
  6. GENTAMYCINE

    Kwangu Mimi Muzamiru na Kibu ndiyo walicheza vyema Jana huku Job na Mwamnyeto wakicheza vibaya

    Ukikasirika na huu Ukweli wangu Mchungu GENTAMYCINE toka hapo Nje Kwako ukiona Muuza Dawa za Sumu ya Panya nunua haraka, Korogea katika Kikombe cha Maji kisha Kunywa ili Upumzike kwa Amani na Mazima. ANGALIZO Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na...
  7. Ombenichelsea

    Maoni yangu kwa Utumishi (Ajira Portal)

    Haya yakizingatiwa angalau yatasaidia kuboresa mazoezi ya usaili yanayoendeshwa na Utumishi: 1. Katika upande wa mwombaji Waboreshe utoaji wa taarifa kama kuitwa, matokeo, ratiba na mabadiliko yoyote kupitia sms kwa sababu taarifa wanazotoa kwenye website na mifumo inaweza kukwamishwa na mtu...
  8. M

    Ukute Hafiz Konkoni analipwa zaidi ya DIKSON JOB

    Bado naendelea kutafakari Kiwango cha Hafiz Konkoni. Sina baya naye lakini naendelea kumsubiri yule Konkoni aliyebamba kwenye Media zetu, yule ambaye ALLY KAMWE alituaminisha , yule ambaye tulisema TUISILA KISINDA KITU GANI BWANA, yule tuliyeamini kuwa ni mbadala wa FISTON KALALA MAYELE...
  9. The Burning Spear

    Ukiistaajabu ya Job Ndugai utayaona ya TEC

    Watanzania tumekuwa wagumu sana wa kujifunza kutokana na historia, nakumbuka namna job ndugai alivyokodishiwa wahuni kumtukana na mpaka kujiuzulu kisa kasema nchi inauzwa, tumekuja kugundua badae sana maana ya kauli yake. Hata huku kusakamwa kwa TEC wala sishangai ni akili za watanzania za...
  10. N

    JOB ADVERT: I am looking for Hot kitchen and Pastry Chefs

    Qualifications: 1.Culinary Education: A formal culinary arts degree or diploma. 2.Cooking Skills: Proficiency in various cooking techniques. 3.Food Safety: Knowledge of regulations and safe handling practices. 4.Time Management: Ability to work efficiently during peak hours...
  11. W

    Youth need education and job skills to thrive in the modern world

    Getting a good education and a job are the top priorities for 10 to 24-year-olds, according to the preliminary results of the largest-ever global survey of young people. The world has more young people than at any time in history. However, many of today’s 1.8 billion youth are not reaching...
  12. Michael_03

    Am looking for a job

    STATUS: JOB SEEKER EDUCATION: BACHELOR OF ARTS IN HUMAN RESOURCE MANAGEMENT. LOCATION: DAR ES SALAAM SEX:MALE EXPERIENCE: ONE YEAR IN SALES AND MARKETING
  13. Martin Ntuli

    Natafuta part time job za jioni kwa mkoa wa Dar es Salaam

    Age 25, mkazi wa kigamboni. On serious note natafuta kazi za jioni / night shift. Mwenye connection au idea ya sehemu kind naombeni connection ya Kazi. Huku uraiani sio poa mambo ni tight kinoma ni bora kupata mia ukajua umepata kwa jasho lako kuliko kuwa mifuko iliyotoboka. Asanteni.
  14. M

    Job Advertisement: General Manager at Rendo Tanzania Limited

    Job Advertisement: General Manager at Rendo Tanzania Limited Company Overview: Rendo Tanzania Limited is a newly established and dynamic distribution company specializing in the distribution of a wide range of soft drink brands. We are committed to providing high-quality products and...
  15. saintparts

    Job opportunity

    Job Description: Cashier Position: Cashier If you're interested, send your CV & portrait photo to the following email address: kanya@saintparts.co.jp Job Summary: As a Cashier, you will play a vital role in providing exceptional customer service and efficient cash handling within our...
  16. Kaveli

    Job Ndugai: Kwenye negotiations lazima upeleke 'brains' zako, first class thinkers. Form four (Makarai matupu) ataenda kunegotiate nini?

    "....Kwenye negotiations tukae vizuri watanzania. Yako mambo ambayo lazima upeleke 'brains' zako. Siyo unapeleka Senior mwenye 'gentleman degree' na form four alipata 'makarai' matupu, ataenda ku-negotiate nini? Haiwezekani" -Kaveli-
  17. Pinda Nhenagula

    Naomba ushauri: Nimeondoka kwa wazazi kisa wamekataa kuniendeleza chuo. Nimekuja Lindi kufanya kibarua

    Habari wanajukwaa natumai wazima, Jamani mimi nina umri( 26) nina elimu ya form six. Nimeamua kutimuka nyumbani kabisa kisa mzee mtata kweli kakataa kuniendeleza chuo na pia hataki nitafute vya kujitegemea kwa sasa nimeamua kuenda kwenye miji ya huku LINDI sina chochote nategemea kuanza vibarua...
  18. Mwande na Mndewa

    Mwanasheria Dkt. Nshala Rugemeleza: Mkataba wa bandari ni wa kiuhaini, Umevunja katiba ya nchi na utakwenda kuvunja sheria za nchi

    "Mkataba uliosainiwa ni "Binding Agreement" hakuna namna ya kujitoa, kuna propaganda zinasema eti tungoje HGA, this is nonsense, itategemea vipi HGA wakati IGA unasema hauna namna ya kujitoa na ukitaka kujitoa uende katika mahakamani za kimataifa, angalia ibara ya 10, 18 na 27 ya mkataba huo...
  19. D

    Job seeker!

    Habari, Natafuta ajira yoyote inayoendana na elimu yangu na hata nafasi ya ajira nyingine zozote kwasababu nina uwezo wa kujifunza haraka na kuendana na mazingira mbalimbali. Natanguliza shukrani za dhati.
  20. GENTAMYCINE

    Sioni sababu ya Watu (hasa wana Simba SC ) Wenzangu Kulalamikia Tuzo ya Beki Bora aliyopata Dickson Job

    Wana Simba SC Wenzangu hivi kweli tukuacha Unafiki wetu na Roho Mbaya yetu iliyopitiliza Beki wetu Henock Inonga kacheza vyema kwa Msimu huu kuliko Beki wa Yanga SC Dickinson Job? Dickson Job ambaye Kacheza vyema Beki wa Kati, Beki za pembeni ( Kulia na Kushoto ) na Kazimudu villivyo unaweza...
Back
Top Bottom