Ili kulinganisha mizani nyie majina yenu ni;
Forbidden Fruit Eater
Samson Hair cutter
John the baptist Head requester
Joseph seducer
Snake language translator
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU
Leo Nina Raha sana moyoni mwangu jamani
Yaan nasikia aman sana sijui hata kwa nini? Ndo nakumbuka mda huu kumbe ni YESU KRISTO jaman
YESU KRISTO hunipa furaha sana jaman
Mapenzi yake makali sana bila pesa bila nyumba lakini mbona Nina furaha sana jamani...
Instructions ⚠️Acha uvivu Mwenye Akili atasoma hadi mwisho wa haya maelezo na maswali yanayokuguide na utaona kuna kitu. Na Tumia imagination
Anayetumia imagination kwenye haya maswal ataelewa haraka na kugundua kitu (vuta picha🤔)
Kuna siri kuhusu Biblia
Majibu nitakuja kuyatoa baadaye sana...
bible
creation
god
hidden knowledge
jesus
marco seth
mungu
new posts
old and new tastement
secrets of bible
siri iliyojificha kwenye mwanzo
siri kuhusu mungu
siri ya kwenye biblia
trending
uumbaji
yaweh
Karibia kila nchi ina namna ya kumuita Yesu kwa jina lake, mm mtanzania nikiomba nasema Katika jina la Yesu alafu mwingine anasema in Jesus nama ama Yoshua, to me it feels like maombi yanaenda kwa mtu tafauti!
unlike waislam mtume wao wanamwita jina moja dunia nzima Prophet Muhammad, sjawahi...
In Christendom ,many Christians have been believing that Jesus whom they call Christ was a historical figure and was the Son of Man.my discussion aims at exploring into the hidden identity of Jesus and the Son of Man that christians and non-christians should come to light and get acquaintance of...
Salaam,Shalom!!
Nalikuwa katika Roho, usiku, ndani ya nyumba, ghafula nikapata uwezo wa kuona nje mawinguni.
Naliona jeshi kubwa la Malaika na WATAKATIFU wakiongozwa na jemedari mkuu, Yesu Kristo, amevaa taji yenye kungaa sana kichwani mwake, mikononi alishika upanga ungaao sana, alipita...
NB nimeikopi kutoka X
1. Mpangilia wa kuamka saa 12 Asubuhi kila siku, (Epukua kuamshwa na Alarm).
2. Fanya mazoezi ya "KEGEL" kwa usahihi Walau nusu saa kila siku asubuhi na jioni.
3. Kunywa maji lita 3-5 kila siku iwe kwenye ratiba yako.
4. Pata bakuli mbili ya mchuzi wa bamia changa kwa...
Dk. Zakir Naik ni mhubiri ambaye amealikwa kuja kufanya mijada ya kidini Tanzania, anatarajiwa kufanya mihadhara mitatu Mihadhara hiyo itakuwa inajadili kuhusu Mtume Muhammad na Yesu
Mihadhara yake itarushwa live na Azam TV na ZBC2
Mhadhiri huyu ana asili ya India na anamiliki channel...
Happy Christmas
Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdahalo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus
Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?
Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?
Kuna...
Bwana Yesu alizaliwa ili atusaidie kuondoa dhambi zetu. Je Amefanikiwa?
Hili ndilo jambo la kujiuliza kila mmoja wetu kama Yesu Kristu alifanikiwa katika mission Yake.
Sasa neno "dhambi" siyo kila mtu anapenda kulitumia.
Kwa sababu,katika kabila letu kwa mfano, mwanamke hawaruhusiwi kula...
Beki wa kati wa Crystal Palace na England, Marc Guéhi huenda akachukuliwa hatua za kinidhamu na Shirikisho la Soka la Uingereza (FA) baada ya kuandika “I LOVE JESUS” kwenye kitambaa chake cha unahodha wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu dhidi ya Newcastle mchezo uliomalizika kwa sare ya 1-1...
Ukipitia accounts zao kwenye mitandao ya kijamii ni mwendo wa 'Asante Jehova' hawaposti nyimbo za kidunia wao ni gospal kwa kwenda mbele. Kujisnap wanaimba vijimbo vya kusifu na kuabudu. Jumapili kama hii wanajiposti, gauni refu la kitenge, biblia mkononi wanakwenda kanisani uuuuh
Wanawake wa...
Let's make this clear once and for all.
When Jehovah said;
Isaiah 44:6
[6]Thus saith the LORD the King of Israel, and his redeemer the LORD of hosts; I am the first, and I am the last; and beside me there is no God.
But also when Jesus said in revelation;
Revelations 1:17-18
[17]...And he laid...
While I was reading the Bible in the Gospel of John I came across words spoken by Jesus (He was quoted) and In my understanding of the words, I have found and concluded that Jesus DID NOT ASCEND UP TO THE HEAVEN PHYSICALLY rather he ascended spiritually to spiritual heaven, the physical...
Mkiambiwa Yanga sc ni team bora afrika mashariki na kati msibishe jamani, rekodi zake CAf na rank yake inayosoma huko Cairo makao makauu pamoja na form kali waliyonayo msimu huu imekuwa kivutio sana barani afrika
The money bags of Egypt yaani matajiri wasio wa mchongo toka Misri , pyramids fc...
We are witnessing the collapse of the planetary civilization and Jesus Christ is taking over,while those responsible:the NWO Elite,are not even aware.Infact they believe they are in control!The truth however is that they are destroying what they have built for years.
The whole of the human race...
Persecution of the Church of Jesus Christ has started with Canada.Right now as we speak,burning down of churches by anarchists across Canada with impunity is going on.
In total as we speak,45 churches are engulfed in fire or have been attacked in ongoing anti-Christian terror campaign.
It’s...
Ni mijusi wanaopatikana kwa wingi Marekani ya Kati na Kusini, ni mijusi aina ya Basiliscus basiliscus, wanatoka katika familia ya Corytophanidae
Mjusi huyu anaweza kutembea/kukimbia juu ya maji hadi mita 20 kwa kutumia miguu yake ya nyuma huku mwili wake ukibaki jua anapokuwa anawakimbia adui...
[Verse 1]
See the way you love me
See the way you care for me
You carry my matter for your head oh
All: Ine me Obi nasom
Like a little baby
You watch over me
You no deh carry me de play ooo
All: Ine me Obi nasom
[Chorus]
Ah ha ha ha
Ah ha ha ha
Obi nasom oh oo
Ineme Obi nasom
Ah ha ha ha
Ah...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.