Jakaya Mrisho Kikwete (born 7 October 1950) is a Tanzanian politician who was the fourth president of Tanzania, in office from 2005 to 2015. Prior to his election as president, he was the Minister for Foreign Affairs from 1995 to 2005 under his predecessor, Benjamin Mkapa. He also served as the chairperson of the African Union from 2008–2009 and the chairman of the Southern African Development Community Troika on Peace, Defence and Security from 2012–2013.
Hii nimeikuta mahali Jakaya Kikwete akizungumzia mtandao wao akimtaja Edward Lowassa, Samuel Sitta na Rostam Aziz.
👇
Jee kwa maelezo haya nani alianzisha matumizi ya neno mtandao kwenye kundi lao?
Miongoni mwa atakayozungumza:
1. Biashara za Rostam Aziz
2. Ziara ya Magufuli Morogoro, na mazungumzo yao kuhusu Rostam
3. Kashfa ya Uniform za Jeshi la Polisi ambayo kesi yake ilikuwa stori nyingine baada ya Magufuli kufariki
4. Wezi wanakoficha pesa
5. Kashfa ya kukomboa ndege Afrika Kusini
6...
Mwenyekiti Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete akizungumza kwenye uzinduzi wa Kampeni za Chama hicho amesema, "Najua kulikuwa na maneno eti utaratibu umekiukwa na mimi nililaumiwa kwa jinsi nilivyosema kwenye Mkutano Mkuu, lakini waliokuwa wanasema hayo ama hawafahamu utaratibu...
"Mimi natamani rais wetu ajaye awe na umri kama wangu wakati nilpoingia madarakani wakati ule,..,umri wa miaka miaka 55..kwa sababu hizi kazi zinachosha sana ukiwa na umri mkubwa"
Hayo ni maneno ya rais mstaafu Jakaya Kikwete katika uwanja wa majimaji ,Songea mwaka 2015 kabla ya dirisha la...
Mtazamo wa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kuhusu Udikteta vs Demokrasia. "Hakuna Udikteta Nusu"
Haliyasema hayo July 23, 2023
Rais mstaafu J Kikwete anaeleza kuwa hakuna udikteta nusu au udikteta wenye ubinadamu, Udikteta ni udikteta tuu. Udikteta ni kuwanyima watu fursa ya kutoa maoni, wewe peke...
"Mrisho Jakaya Kikwete wewe unasehemu kubwa kuifanya nchi iende vizuri au vibaya, wewe ndiye Rais mstaafu ulibaki uliokuwa madarakani uliye hai kila unachokifanya kinatafasiri mwelekeo wa nchi, kwahiyo nakushauri sana Mungu akutumie kuweka nchi katika reli". - Amesema Askofu Gwajima
Soma pia...
Umeifanyia mengi nchi hii
Mpaka unastaafu ulikuwa Rais bora kabisa
Uliwabeba wapinzani na kuimarisha demokrasia
Kujiataach na utawala huu watu wameanza kukuchukia
Nachelea kusema mazuri yote uliyofanya yanafutika
Itakuwa ni huzuni watu wakishetehekea siku ukitutoka.kumbuka una miaka 75 sasa.
Katika hotuba yake pale Kwala wakati wa uzinduzi wa bandari ya nchi kavu miongoni mwa mambo aliyoyasema Mzee JK ni kuwa aliulizwa na Mh Rais kuwa huku kwenu hakuna wazee wanaoweza kuzuia mvua?
Rais Mstaafu JK akasema alimjibu Mh Rais kuwa yuko Mzee mmoja maarufu jirani pale anaitwa Mzee...
Mwenyekiti mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete kwa bashasha akaomba TOT Band waimbe wimbo maarufu wa hamasa "Chama Cha Mapinduzi... CCM No. 1!" Agosti 4, 2015 Makao Makuu ya Chama hicho, Lumumba.
Wakuu naona utaendelea kushaangaana sasa, wa kuondoa mshangao naye anawashangaa wanoshangaa
===
Jakaya Kikwete amesema anawashangaa wanaoshangazwa na suala la Ridhwan kikwete kupita bila kupingwa/kutokuwa na mpinzani kwani jambo hilo ni la kawaida na amewahi kupita mara kdahaa bila moinzani...
Jambo lolote ambalo lipo kinyume na katiba ya JMT ni void abnitio
Mgombea urais wa Tanzania anatakiwa kuteuliwa na chama chake mara baada ya bunge kuvunjwa. Hii ni kwa mujibu wa ibara ya 38 (1)(a) ya katiba ya JMT
Kwenye mkutano ule wa kufanya replacement ya Kinana. Mzee Jakaya alipindisha...
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ameelezea namna alivyokutana na msanii maarufu duniani, Rihanna. Amesema licha ya kuzungumza naye mambo mengi na kukaa pamoja kwa muda, hakupata picha yoyote akiwa pamoja naye.
Raisi mstaafu jakaya kikwete ni mhimu athibitiwe na wazalendo wa nchi mikakati yake ya madaraka tangu mwaka 1995 hajawahi kuwa na afya kwenye chama na nchi kwa ujumla wote mmeona 2015 na sasa 2025 ni mhimu sasa mtu huyu akemewe hadharani kwani kuna hatari kubwa inakuja mbeleni kwani kundi lake...
Mh Rais wetu Mstaafu Jakaya Kikwete. Uongozi wa kweli haujengwi juu ya ndoto za kifamilia, bali juu ya msingi wa haki, utu na ujasiri wa kusema ukweli hata pale ambapo ukimya ni salama zaidi. Leo hii Tanzania inalia. Tundu Lissu, aliyenusurika kuuawa kwa risasi akiwa mpinzani mkuu wa serikali...
"Unajua huyu kuna kipindi aliteleza, Huyu Kitila Mkumbo alikuwa mwenyekiti wa vijana UVCCM mkoa wa Singida, sijui Mbowe alikuja kudanganya nini yule pale, kwahiyo anayo fanya haya ni ya ki-CCM, anakumbuka kule alikotokea. Na hio siri nimeitoa ili watu wajue kwamba uliteleza kidogo lakini umerudi...
Mzee Kikwete amesema kuongoza Watu million 61 ni kazi Ngumu sana yeye amewahi kuwa Kiongozi hivyo anajua
Wakati anastaafu Urais wake 2030 Rais Samia ataliacha taifa lenye Watu takribani million 70 hivyo ni vema viongozi wa Dini wakazidi kumuombea
Source ITV
Baadhi ya matukio katika Mkutano mkuu wa chama cha mapinduzi unaofanyika jijini Dodoma tarehe 29-30/05/2025.
Na hao ni baadhi ya makada wazalendo wa CCM wakiendesha baiskeli wakiwa wanaingia ukumbi wa Jakaya Kikwete kushuhudia kila kitu kwenye mkutano huo
Wajumbe ukumbi uko tayari
Ukumbi wa Jakaya Kikwete ukotayari kwa ajili ya mkutano mkuu maalum utakao fanyika kesho tarehe 29. Na tarehe 30 may utakao ongozwa na mwenyekiti wa chama chama cha mapinduzi Samia Suluhu Hassan
Mzee Kikwete akitoa neno katika msiba ya Hayati Mzee Cleopa Msuya, amesema Mzee Msuya hakuwahi kuitisha waandishi wa Habari na kuanza kuisema Serikali inafanya mambo ya ovyo (Walio msibani wameshangilia sana).
Naona hili jiwe karusha moja kwa moja kwa Mzee Jaji Warioba kwani amekuwa mwiba mkali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.