Usicheze na Israel tafadhari, shauri yako

Usicheze na Israel tafadhari, shauri yako

Financial Analyst

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2017
Posts
2,290
Reaction score
5,229
20260702_103058.jpg
 
HAO WAISRAEL KAMA WANGEKUWA WANAMTAMBUA YESU, NINGEWAELEWA; LAKINI KWA KUWA HAWAMTAMBUI YESU NA BIBLIA YAKE NA PIA HAWATAKI KABISA KUSIKIA HABARI ZA MAMA YAKE YESU;
ANAYEWASHABIKIA NI YULE ASIYEKUWA NA MAARIFA!
Hata hivyo vita imepigwa na Marekani , israeli ilikuwa pale kama kanya boya tu!
 
Islael ya mchongo mchongo imepigwa vibaya mno mpaka sasa wanaogopa kurusha kombola hata la upepo maana watakutana na zahama
 
HAO WAISRAEL KAMA WANGEKUWA WANAMTAMBUA YESU, NINGEWAELEWA; LAKINI KWA KUWA HAWAMTAMBUI YESU NA BIBLIA YAKE NA PIA HAWATAKI KABISA KUSIKIA HABARI ZA MAMA YAKE YESU;
ANAYEWASHABIKIA NI YULE ASIYEKUWA NA MAARIFA!
Hata hivyo vita imepigwa na Marekani , israeli ilikuwa pale kama kanya boya tu!
Hii islael siyo Ile ya mussa hii ni ya mchongo mchongo tuuh
 
Back
Top Bottom