iran

  1. Sijali

    JamiiForums Tanzania Uhusiano wa Iran na Tanzania kisasa

    Uhusiano wa Iran na Tanzania ya kisasa ni wa miaka arobaini hivi, tangu kufanikiwa kwa mapinduzi ya Kiislamu ya Iran mwaka 1979. Lakini Waajemi walikuwa wanakuja pwani zetu tangu miaka elfu nyingi. Ni vizuri kuona Waziri wa Mambo ya nchi za Nje wa Iran, Abdullahian, akizuru Tanzania hivi sasa...
  2. Jackal

    JamiiForums Tanzania Ndege za Israel zaingia anga la Iran kwa kujirudia wakati wa mazoezi ya kijeshi!

    Report: Israeli F-35s penetrated Iranian airspace repeatedly during war drills London-based Saudi news outlet says drones and mid-air refueling aircraft took part in exercises, managed to avoid Russian and Iranian sensors...
  3. Sildenafil Citrate

    JamiiForums Tanzania Iran yakana huhusika kwenye shambulio la Salman Rushdie. Yasema Rushdie na wafuasi wake ndiyo walaani na kukemea tukio hili

    Zikiwa zimepita siku mbili tangu Salman Rushdie ashambuliwe kwa kuchomwa kisu sehemu mbalimbali za mwili wake kisha kulazwa chumba cha wagonjwa mahututi huko Marekani, msemaji wa Wizara ya Mambo ya nje ya Iran Nasser Kanaani amefutilia mbali madai yanayoendelea kushika kasi kuwa serikali ya nchi...
  4. MK254

    JamiiForums Tanzania Kipindi cha miezi michache Iran imenyoga raia wake 251, wengine kisa migogoro ya kwenye ndoa

    Baadhi yao wanawake hata kunaye umri wake 15 kanyongwa kisa migogoro ya hovyo, sijiu Iran waliingiaje kwenye huu uzombi wa kidini na jinsi walivyo genius, watu wenye akili sana. Iran executed at least 251 people in the first half of 2022, including women defending themselves against domestic...
  5. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Ili waolewe, Wanawake nchini Iran watakiwa kuwa na vyeti kuthibitisha kuwa mabikira

    Nchini Iran, ubikira kabla ya ndoa ni muhimu kwa wasichana wengi na familia zao. Wakati mwingine wanaume hudai cheti cha ubikira, jambo ambalo Shirika la Afya Duniani (WHO) linaona ni kinyume na haki za binadamu. "Ulinidanganya nikuoe kwa sababu wewe si bikra. Hakuna mtu ambaye angekuoa ikiwa...
  6. Narumu newz

    JamiiForums Tanzania Russia waanza kupewa mafunzo na Iran jinsi ya kutumia drones

    Aibu sana kwa super power , Iran has begun training Russian officials to use its advanced drones, according to the Biden administration, the latest sign that Moscow plans to use Tehran’s military weapons to try to seize a new aerial advantage in Ukraine. CNN
  7. MK254

    JamiiForums Tanzania Taliban na Iran wapigana

    Mbwa kala mbwa, sasa hapa sijui mtashabikia yupi nyie jamaa zetu humu, maana hawa wote ni wenu, kwa sasa pumzikeni kushabikia Urusi. The Afghan government says one its officers was killed in Sunday's fighting, which occurred in the border area between Afghanistan's Nimroz province and Iran's...
  8. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Iran: Mafuriko ya siku mbili yauwa watu 53

    Mafuriko ya siku mbili maeneo ya Tehran yameuwa Watu 53 kwa mujibu wa taarifa rasmi ya Serikali. Mkuu wa Kitengo cha Msalaba Mwekundu, Mehdi Valipour amesema Watu wengine 16 hawajulikani walipo baada ya tukio kuathiri Watu 400 katika Vijiji 18 na kusababisha miundombinu mingi kuharibika. Wiki...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Mbabe Putin kuitembelea Iran July 19

    Katika hali ya kuihakikishia Dunia kuwa mambo ni shwari nyumbani Moscow,rais mbabe na mmiliki wa mkanda mweusi wa judo Vladimir Putin anatarajiwa kuitembele nchi ya Iran tarehe july 19 Kwa sasa Kremlin ishaweka wazi kuwa haijisumbui wala kujikomba Ulaya kwa akina Macron bali watakwenda na...
  10. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Wamarekani 61 marufuku kuingia Iran

    Serikali ya Iran imetoa orodha ya Watu 61 wa Marekani kuwa hawaruhusiwi kuingia Iran kutokana na madai ya kuunga mkono kikundi cha ugaidi Mojahedin-e Khalq (MEK) ambacho kinashutumiwa kwa kufanya mauaji ya watu 17,000 Nchini humo kwa miaka kadhaa iliyopita. Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa...
  11. EINSTEIN112

    JamiiForums Tanzania Wakati Turkey ikiwapa "msaada" wa drones 4 Ukraine Iran inatarajiwa kutoa mamia ya drones kwa Russia

    The United States said Monday that it has intelligence indicating Iran may soon supply Russia with hundreds of unmanned aerial vehicles, including “weapons-capable” drones, to use in its war with Ukraine, a move that would underscore the growing cooperation between two American adversaries...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Marekani yalalamika kuwa Iran yajiandaa kupeleka shehena za mamia ya drones zake hatari Urusi zikatumike vitani Ukraine

    Marekani inalalamika kuwa Iran inajiandaa kupeleka shehena za mamia ya drones zake Russia zikatumike Ukraine. Yahofiwa zitakuwa ni drones hatari zaidi ya zile zilizotumika kushambulia Saudia zikayavua nguo yale machuma chuma ya Marekani (Patriot air defense system) yaliyoshindwa sio tu kuzuia...
  13. HIMARS

    JamiiForums Tanzania Report: Iranian intelligence chief sacked over spate of assassinations

    A court in Iran on Thursday ordered the United States government to pay over $4 billion to the families of Iranian nuclear scientists who have been killed in targeted attacks in recent years, state-run media reported. The largely symbolic ruling underscores the escalating tensions between Iran...
  14. BigTall

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya UN: Iran imenyonga zaidi ya watu 100 kati ya Januari – Machi 2022

    Iran iliwanyonga zaidi ya watu 100 katika miezi mitatu ya kwanza ya 2022, hali ya kutisha ambayo inazidi kuongezeka, kulingana na ripoti ya katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Antonio Guterres iliyowasilishwa Jumanne. Akizungumza mbele ya Baraza la haki za binadamu la Umoja wa mataifa mjini Geneva...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Vibaka Iran watoboa ukuta wa benkikuiba maboksi kadhaa ya pesa

    Mzuka wanajamvi! Vibaka Tehran nchini Iran wametoboa ukuta wa benki kutokea kwenye jenho lililo karibu na benki iyo nakuiba maboksi 280 (safes) zenye pesa na Vito vya thamani. Wezi hao walichukua fursa (advantage) ya siku kuu ya siku tatu iliyokuwa ikiadhimishwa nchini Iran kufanya wizi huo...
  16. MK254

    JamiiForums Tanzania Ndege ya kivita ya Iran aina ya F-14 yaanguka yenyewe

    Ni ndege ya pili ya kijeshi kuanguka yenyewe ndani ya mwezi mmoja, natumai hawatailaumu Israel kwenye hili.... An F-14 fighter jet crashed on Saturday while on a mission in central Iran, causing injuries to its two crew members, media in the Islamic republic reported. "The fighter jet suffered...
  17. Jackal

    JamiiForums Tanzania Kamanda wa Anga Jeshi la Iran afariki kwa ajali ya Gari. Je, ni kazi ya Mossad?

    JUST IN: Iranian Air Force IRGC officer killed in a car accident during a mission. Is the Mossad behind it? I guess we will never know.
  18. STRUGGLE MAN

    JamiiForums Tanzania Iran yajibu malalamiko ya Ufaransa na Ujerumani kuhusu kukamata meli mbili za Ugiriki

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa taarifa na kukosoa taarifa zinazofanana za Ujerumani na Ufaransa kuhusu meli za mafuta za Ugiriki. Siku ya Ijumaa Idara Kuu ya Mahusiano ya Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ilitangaza kuwa meli mbili za mafuta za Ugiriki...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Marekani angeivamia Iran halafu asisaidiwe na nchi nyingine, awekewe vikwazo, halafu Urusi, China, nk ziipatie Iran silaha je, angetoboa?

    Hivi Marekani angejichanganya leo akaamua kuivamia Iran kwa kuitumia ardhi ya Iraq lakini asisaidiwe na nchi nyingine, awekewe vikwazo kama alivyowekewa Urusi. Halafu Iran isaidiwe silaha mfululizo na Urusi, China, India, na nchi zingine za kiarabu, je Marekani angestahimili kwa muda gani...
  20. BigTall

    JamiiForums Tanzania Hukumu ya kunyongwa hadi kifo yaongezeka Nchini Iran

    Ripoti imetolewa leo Aprili 28, 2022 ambapo imefahamika kuwa adhabu ya kifo Nchini Iran imeongezeka kwa asilimia 25 ndani ya mwaka 2021. Katika idadi ya waliohukumiwa wamo pia wanawake 17 pamoja na walioshitakiwa kwa kesi za madawa ya kulevya Mashirika ya Haki za binaadamu IHR na ECPM ya...
Back
Top Bottom