iphone

  1. sagucyril19

    Phone4Sale Iphone 7 plus Mpya

    New Iphone 7 Plus 32Gb Full boxed and Sealed Tsh 470,000/- call/whatsapp 0673775527
  2. sagucyril19

    Phone4Sale Iphone 7 plain NIPE OFA

    32Gb new full boxed
  3. sagucyril19

    Phone4Sale Iphone 7 plain NIPE OFA

    32Gb new full boxed
  4. Miss Zomboko

    Phone4Sale iPhone 11 plain inauzwa 900,0000

    Simu inauzwa Laki 9 Brand ni Iphone11 plain Ni mpya imetumika miezi 2 tu! Mahali ilipo ni Mbezi Mwisho Dar es Salaam Mawasiliano - 0688986066
  5. Nyuki Mdogo

    Phone4Sale iPhone 8+ GB 64 inauzwa. Used for 3 moon only

    Imetumika miezi mitatu tu Gb 64 Afya ya Betrii: 100% bei elekezi: 600,000 0713096076, Chamanzi, Dar es salaam
  6. T

    Tatizo la Apple ni moja, mtu mwenye Iphone 11 na Iphone 13 hawana tofauti.

    Mojawapo ya Kinachosababisha sizipendi simu za Iphone ni muonekano. Iphone matoleo 3 ama hata 4 yanaweza kufanana usijui yupi anatumia simu ipi na yupi ana simu ipi. Kwa mfano, hii design ya macho 3 ilikuja na Iphone 11, haijabadilika hadi Iphone 13, mtu mwenye Iphone 11 na Mwingine ana Iphone...
  7. macho_mdiliko

    Msaada: Unaifunguaje iPhone inayohitaji Activation Lock?

    Wana JF naomba mwenye kujua. Je, kuna uwezekano wa ''kuifungua'' iphone ambayo inayohitaji activation lock? Jamaa amesahau Apple ID yake na password kwani hajatumia simu kwa muda mrefu sana. Amejaribu kui-reset ikiwa kwenye recovery mode akafanikiwa, lakini wakati wa setup ikakwama kwenye...
  8. B I N A M U

    Phone4Sale Iphone 6s 128 GB

    Iphone 6s Storage: 128GB Touch id ✅ Battery 💯 Ios 15.4 Perfect condition Price 300,000 Location Mbeya INAUZWA
  9. sky soldier

    NAFUMUA MSHONO: Simu za iPhone ni mdebwedo, wanaozitumia ni watu wa kufuata mkumbo bila reasoning. Simu za Android ndio mpango mzima!

    siongei sana, wacha tunyoke moja kwa moja kwenye hizi points zaidi ya 20 Bei ya iphone ipo juu kwasababu haitaki ushindani Iphone ni kama unaposafiri safari ndefu kwa basi, huwa kuna ile migahawa ipo highway sehemu ambazo hakuna makazi, bei ya "robo sahani" ya chipsi na vimishkaki vidogo ni...
  10. D

    Naomba kufahamishwa bei ya Iphone X kwa sasa

    Wakuu naomba kufahamishwa bei ya Iphone X kwa sasa. Pia nasikia kwa Zanzibari bei zinakuwa kidogo nafuu naomba pia mwenye kujua nilinganishe. Asanteni
  11. Nyuki Mdogo

    Phone4Sale Iphone 6s gb 128, iko Mbezi

    Iphone 6s storage gb 128 battery health 100% Support 4G LTE ina kreki kidogo kwenye upande wa camera ya mbele, haina madhara bei, 320,000 mbezi kimara, Dar. 0713096076 DEADLINE: 5.3.2022 USIPIGE SIMU KUULIZIA BAADA YA HIO TAREHE
  12. Lunatics fringe 5

    Phone4Sale iPhone Bei ya nyanya

    iPhone 6s 64Gb Battery 100% Fingerprint ✓ Camera ✓ Charger ✓ Cover✓ BEI : fixed 150k tuu LOCATION: KIMARA MWISHO 0757402662
  13. Website design

    Msaada wa kiufundi kwenye iPhone 7

    Habari Kwenye iphone kuna kitu kinaitwa switch control sasa kimetokea na sasa simu imeshaji lock nahitaji kuingia kwa passcode ila nashindwa ukitaka kuanza kuandika passcode tu inatokea mistari ya blue kama inavyoonekana hapo chini imezunguka passcode na nikubonyeza namba ina pop up kitu kama...
  14. T

    Iphone 14 ya mwaka 2022 kuja na notch punch hole front camera badala ya notch.

    Kuna fununu kwamba mwaka huu, 2022 Apple atatoa simu za Iphone 14 pro yenye punch hole camera cutout kama zilivyo simu nyingine za Android tofauti na notch ama dirisha kwenye simu zake za sasa. Mtindo huo mpya utakua kwenye simu za Pro ila nyingine zitabaki na notch. Kwenye design ama mitindo...
  15. Kasomi

    iPhone SE toleo la 3 inategemewa itatoka mwaka 2022 mwanzoni

    iPhone SE toleo la 3 inategemewa itatoka mwaka 2022 mwanzoni na itakuwa na chip mpya ya iPhone. Apple imeamua kuchukua hatua ya kusitisha design ya iPhone mimi na kuweka focus katika iPhone SE mpya ambayo itakuwa na chip ya A15 Bionic (chip inayotumika katika iPhone 13). Apple inalenga soko...
  16. Kasomi

    Apple inaacha kutengeneza iPhone Mini

    Apple inaacha kutengeneza iPhone mini na katika iPhone 14; haitatengeneza iPhone mini size ya inch 5.4. iPhone 14 zitakuwa na size ya 6.1 inch (size ya iPhone ya kawaida na iPhone Pro ndogo) na size ya inch 6.7 (size ya iPhone Pro Max).
  17. instagram

    Jinsi nilivyonusurika kutapeliwa iPhone yangu

    Ilikuwa 2010 enzi hizo ninauza iphone 3 Gs yangu kupitia mtandao wa gazeti la Advertising Dar, jamaa moja kapiga simu anadai yeye anafanya kazi Barclays Mbeya yupo likizo Dar. Sharp tukapatana bei laki sita basi jamaa tumepanga tukutane Mwenge. Kufika mwenge jamaa katokea na teksi akadai twende...
  18. 6321

    Hili jambo limenitatiza na kufanya niwe na wasiwasi za vijana wa iPhone

    Nawasalimu kwa JMT Katika mizunguko ya duniani nikichomwa n jua maeneo ya magomeni mwembechai, nikiwa dukani alikuja rafiki yangu niliyesoma nae O'level akiwa na mwanamke wa umri kidogo kuliko yeye, niliwahudumia vitu vya jumla kama 100k+. Basi tukabadilisha mawasiliano, akaniambia yeye...
  19. Ramon Abbas

    Phone4Sale Iphone X Gb 256 inauzwa, at Dsm

    iPhone X gb256 Face ID ✅ Battery 100% 850,000 Clean as new, used for 6 months colour: black sinza kwa remi, Dar es salaam Piga 0713096076
  20. Richard

    Tahadhari: Kuanzia tarehe 1 November WhatsApp kuacha kutumika kwenye baadhi ya simu za iPhone na Android

    They are doing it again! WhatsApp moja ya mitandao maarufu duniani ya kijamii, kuanzia jumatatu ijayo ya tarehe 1 November itasitisha kutumika kwake kwenye baadhi ya simu za iPhone na zimu za Android. Simu zote za Android zenye toleo la OS 4.0.4 hazitaweza kutumia WhatsApp ikiwa ni pamoja na...
Back
Top Bottom