inauzwa

  1. Merci

    IST mpya ya 2004, CC 1490 inauzwa TZS 12,000,000.

    Nauza IST mpya kabisa haijasajiliwa na ina cc 1490 ya mwaka 2004 kwa bei ya TZS 12,000,000 ikiwa imejumuisha kodi na gharama za kutolea bandarini. Tuwasiliane kwa namba 0736770052.
  2. D

    Home theater inauzwa

    Wakuu nauza home theater yangu, Watts 800 Haina blootuth Inahitaji marekebisho kidogo upande wa cd Zaidi ya hapo kila kitu kinafanya kazi, bei 350,000 Picha na mawasiliano zaidi 0658644485
  3. D

    Car4Sale Toyota Verossa inauzwa

    Habari, Nauza gari Aina ya Toyota Verossa number DAK haina tatizo lolote unawasha gari na kwenda safari kokote, gari ni yangu mwenyewe nauza ili nibadilishe au pia tunaweza kubadilisha na.ukaniongeza hela. Bei ni 6.8M hata ukiwa mkoani unafikishiwa kwa usalama na uaminifu. Kwa picha naomba...
  4. Deejay nasmile

    Msaada: Domain ya website yangu inauzwa, nifanyeje

    Wakuu mwaka 2011-2013 nilikuwa na blog website kubwa sana,ambayo ilipata watembeleaji wengi sana kila siku Ilikuwa inahusu marafiki/wachumba Muziki,habari,udaku na vichekesho.. Kiukweli hata kwenye search ingine ikikuwa katika top results Sasa nikanunua domain.name kupitia maddogs domain kwa...
  5. Mr.panya

    Computer4Sale Fujitsu Desktop inauzwa TZS 280,000/= tu!

    Habari wakuu, Nauza desktop aina ya FUJITSU ipo full set , haina tatizo lolote ila naiuza kwa sabbau nataka ninunue laptop mana nimekua mtu wa safari sana siku hizi: FUJITSU DESKTOP HDD : 300GB RAM : 4GB PROCESSOR : INTEL PENTIUM 3.2GHz OS : WINDOWS 10 PRICE : 280,000 CONTACT : LOCATION ...
  6. M

    Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

    Engine: 1NZ vvti Capacity: 1490cc . Location: Shekilango - Dsm . Call: 0719 143475
  7. crusader_jr

    Phone4Sale SamsungA30 inauzwa

    Wakuu habari poleni na majukumu Moja kwa moja kwenye uzi ama jukumu la hii post Ifuatayo ni samsungA30 inauzwa, iko clean na haina tatizo lolote Specs ni kama ifuatavo: 64 gb storage 4gb Ram Android 10 Os Chaja(fastcharge) pia nakupatia Price=280k Mobile number +255756364489 Location Kawe...
  8. edger jairos

    Car4Sale Raum CCR inauzwa

    Haina tatizo Piga 0748001009 Ununio Dar Ndani Ina good CONDITION Cc 1490 Bei 6.5milion 6.5mil
  9. Lemaitre

    Car4Sale Gari ya kazi inauzwa

    Wakuu Habari za jioni. Nauza gari ya kazi kwa bei ya nafuu kabisa. Make: Eicher Mode: truck Model number: MC2B6 Year of manufacture: 2017 Engine Capacity: 3298 Fuel used: Diesel Seating capacity: 3 Mileage: 15868 Price 32 Millions Gari ipo kwenye hali nzuri kabisa, unaweza kuja kuiona...
  10. Kakondele

    House4Sale Nyumba inauzwa Sumbawanga

    Nyumba inauzwa ipo Sumbawanga Izia mita 80 kutoka soko la sabasaba Ina vyumba vyumba vitatu kimoja ni master,sebule,dining room,jiko,store kwa nje ina chumba na sebule,vyoo vya nje,na vyumba vinne vya frame,maji na umeme vipo Bei ni Tzsh 35,000,000/=Malipo kwa awamu yanapokelewa kwa makubaliano...
  11. MagariTanzania

    Car4Sale Toyota Land Cruiser inauzwa

    Diesel Auto Ipo katika hali nzuri, inatembea. Ipo Dar es Salaam. Bei 17mil. Mawasiliano 0784225000.
  12. MagariTanzania

    House4Sale Nyumba ya Ghorofani Inauzwa Upanga

    Nyumba ina muonekano wa kuvutia, Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja kinajitosheleza ( Masta bedroom), subule, jiko la kisasa na mahala pa kula. Ni nyumba imara inayoweza kumudu mazingira kwa muda mrefu pasipo kufanyiwa marekebisho yasiyo na ulazima wowote. Bei TZS -210milioni. Hii ni nyumba...
  13. bonjov

    INAUZWA Bajaj inauzwa

    Bajaj MC 459 CDG Ipo Makumbusho, nilipaki muda mrefu (4 month) Sana sababu ya usumbufu wa hesabu kwa madereva usimamizi ni changamoto kwangu. Haijawahi funguliwa engine hata kidogo. Ina Bima inaisha mwezi wa 5 2021 Matengenezo: Matairi 2 ni vipara kubadilisha Bei Milion 5,000,000 negotiable...
  14. G

    INAUZWA Printer copier HP Laserjet 1132' na Epson l 805 inauzwa

    PRINTER COPIER 'HP LASERJET 1132' INAUZWA DODOMA NA EPSON L 805 HP - 320,000/- EPSON - 450,000/- DODOMA MJINI - 0716 87 04 17
  15. B

    Car4Sale Mitsubishi canter-truck inauzwa

    Mwaka wa kutengenezwa 2001 Aina ya Injini 4D33 Uwezo wa Injini 4,210cc Uwezo wa gari Tani 2 Manual transmission Nyeupe Accessories AC Power Window Power Steering Mahali ilipo MWANZA Bei Tshs. 27,000,000. Mawasiliano 0752 484 225
  16. sungura23

    INAUZWA HP Multifunction Printer inauzwa

    USED HP Deskjet 4515 -Print, scan na copy -Inaprint black na rangi -Inaprint two sided -Ina wireless print access - 6.73 cm touch screen -Ipo kwenye hali nzuri sana haina tatizo lolote -Bei laki mbili na elfu hamsini (250,000/=) -Mawasiliano: 0658322565
  17. sanga kariakoo

    INAUZWA Apple imac all in one nch 24 wide inauzwa 380000

    Habari waheshimiwa Nauza apple imac core 2 duo mtumba kutoka nje(ziko nyingi) sifa zake Hdd 500gb ram 2gb (inaongezwa) nch 24 wide processor 2.8ghz core 2 duo graphics ATI radeon HD 2600 PRO 256 MB zinasoma DvD NA CD za aina zote Napatikana KARIAKOO mt uhuru na MACHINGA COMPLEX floor 4...
  18. Popacomputers

    Computer4Sale Dell laptop inauzwa

    Dell latitude 2110 mini laptop Hard disk: 160GB Ram: 2GB core2duo Good Condition betri inakaa 3hrs Price 180000 tsh Location machinga complex Karume contac 0757870230
  19. N

    Phone4Sale Samsung Galaxy A10s inauzwa

    Habari zenu wadau, nauza simu yangu ya samsung A10s kwa bei ya 210k napatikana Mbagala Dar es Salaam iko poa kwa kila kipengele
  20. AbuuMaryam

    INAUZWA Pikipiki nzuri, ngumu inauzwa kwa bei nafuu!

    HIYO HAPO PIKIPIKI TOYO TOLEO LA KWANZA KABISA... BADO MBICHI KABISA...ILIKUWA YATUMIKA KWA MATUMIZI YA NYUMBANI...YAWEZA PIA KUWA BODABODA... NI NGUMU ASIKWAMBIE MTU...NISHASEMA NI TOLEO YA KWANZA WAKATI ZINAINGIA TU... Documents za msingi na Original zipo kabisa unapewa pikipiki yako...
Back
Top Bottom