inauzwa

  1. T

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Pikipiki inauzwa

    TVs star 125 no C ipo katika hali nzuri. Engine safi haijafunguliwa. Kadi halali IPO Bei:1050000 0624474871 IPO Mbagala
  2. Nyuki Mdogo

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Suzuki carry (kirikuu) inauzwa. Iko kinyerezi Dar

    Haina tatizo lolote. Gari ya kuwasha na Kuondoka baada ya Malipo. Bei 4.million Net. Dalali unanipa elfu 15 tu ya Bando la Mwezi. wahisha biashara achana na comments 0713096076
  3. Chura

    JamiiForums Tanzania House4Sale Hostel inapangishwa/ inauzwa

    Kwa UNYENYEKEVU mkubwa nawahabarisha kwamba Hostel Vyumba 14 inapangishwa/kuuzwa Eneo Malimbe: Mwanza Chuo Cha SAUT Bei: Milioni 6 tshs kwa mwaka Kupangishwa / Milioni 180 tshs kuuza (mauzo yanajumuisha na nyumba ya kuishi ya vyumba 3) Mawasiliano: 0719002081(whatsapp).
  4. Lunatics fringe 5

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Phone Enlarger inauzwa

    Inakuza kioo Cha Simu Haitumii betri Wala umeme Bei 12000 tuu 0757402662
  5. Nyuki Mdogo

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Bajaji inauzwa Kilimahewa, Mwanza

    Bajaji haina shida yoyote Karibu 0713096076 Kilimahewa, Mwanza Bei: 3 milioni tu mil only.
  6. elmagnifico

    JamiiForums Tanzania Car4Sale BMW 525i inauzwa

    Ina cc2400 Imetembea 108000km Bado iko katika hali nzuri. Inapatikana tegeta DSM. Bei 12.5 ml Call +255 769 118 686
  7. Lawrance franci

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Laptop aina mbalimbali zinauzwa

    HP MIN LAPTOP 300,000/= TU INa RAM 2 GB HDD 160 SCREEN SIZE 10.1 Refuerbished Ina Kaa na charge Masaa 10 Call Me 0716889489
  8. Jestinar

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Dell Latitude 7420 "14 (2021) inauzwa

    USED FROM UK VERSION DELL LATITUDE 7420 "14 (2021) 3GHz Intel Core i7 4-Core (11th Gen) 16GB Of LPDDR4xRAM |256GB M.2 SSD "14 1920×1080 IPS - Type WVA Display Intergrated Intel Iris Xe Graphics Micro SD Card Slot USB 3.2 Gen 1 | Thunderbolt 4 | HDMI 2.0 FULL HD IR WEBCAM Fingerprint...
  9. Jujan

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa

    Kwa wanaopenda makazi yaliyo karibu na barabara kuu hii inawafaa zaidi. Nyumba ipo Gongo la mboto(Kwalala). Bado ina eneo na bei ni nafuu kabisa. Tsh 35,000,000. Karibu kwa mazungumzo. Call 0755519358
  10. M

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Land Lover Defender inauzwa

    Cc 3000 Diesel Bei 16,000,000 Ipo Dsm Temeke Mawasiliano 0673728756 Weka Mafuta
  11. A

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nyumba inauzwa maeneo ya Tabata TOT ila Gari haliingii

    Habari wana jamii?? NYUMBA INAUZWA IPO maeneo ya tabata TOT ila Gari haliingii ndani mpaka katikaeneo la NYUMBA NYUMBA Ina vyumba vitatu na jiko na uwanja ulio baki Ni huo unaouona katika picha ninyumba ya kupangisha. Beii milioni 15. Mazungumzo yapo. Kwa mawasiliano 0766244848
  12. Dith

    JamiiForums Tanzania Gari Hilux inauzwa

    Nauza gari, yenye namba usajili B. Gari ipo kijichi Dar. Gari haina shida yoyote. Bei ni 23M. Kwa mawasiliano na maswali zaidi piga 0769917961. Asante
  13. Frumence M Kyauke

    JamiiForums Tanzania SOLD: Friji mpya ya Boss BS 70 SVR inauzwa

    Friji/Jokofu mpya Inauzwa Model: BS 70SVR Location: Mbezi luis Bei: 290,000/= Mawasiliano: 0768776716
  14. Atheds

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Picha ya ndege kitongoji cha Kimegele

    Nyumba ina vyumba vitatu(kimoja master), Sebule, Jiko, na choo cha umma. Eneo la kiwanja ni Futi 50 urefu na futi 40 upana. Inapatikana Vikindu, kijiji cha picha ya Ndege, kitongoji cha Kamegele. Eneo hili linafikika kwa gari, pikpiki, nauli ni Tsh 1000/= kutoka Vikindu kwa Usafiri wa pikipiki...
  15. E

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale itel A24 inauzwa

    itel A24 inauzwa, Simu haina shida yoyote, imetumika wiki 3 tu, Nakupa na earphone na charger yake Bei 65,000/=
  16. Frumence M Kyauke

    JamiiForums Tanzania SOLD: Itel Tv Double Glass 32 Inch inauzwa

    ITEL TV DOUBLE GLASS 32 INCH INAUZWA Hali yake: Mpya Screen Size 32 2 HDMI Port 2 USB Port VGA Port AV COAX Port RF Port Earphones jack Bei 280,000 Mawasiliano: 0768776716
  17. M

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Itel A20 inauzwa bei nafuu

    Sim bado mpya kabisa Haijatumika hata chembe Ni dual Line moja tigo, nyingine yoyote Ipo Manzese Tip top Price 70 Internet yake ni 4G Sorry jamani ni A24 heading imenishinda ku edit
  18. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Liteace inauzwa. 9mil only

    HAINA CHANGAMOTO YOYOTE 0713096076 IKO DAR
  19. Beah

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Kibaha Mjini Maili Moja kwa mkuu wa Mkoa

    Nyumba inauzwa kibaha mailimoja karibu na kwa mkuu wa mkoa nyumba ina hati ina ukubwa wa eneo la 400 sqmtrs (20×20) bei 35,000,000/= (milioni 35) mazungumzo yapo haina udalali mimi ndio mmiliki kwa mawasiliano 0765882717
  20. geofreyngaga

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa Arusha tshs 35 millioni

    1.nyumba ipo Arusha morombo dampo kwa kaburu 2.ukubwa wa kiwanja miguu 15kwa 20 3.umbali km5 kutoka lami hati kwenye nyumba 4.ina vyumba 3, kimojawapo ni masta 5.ina jiko, sebule, umeme maji yameshalipiwa auwasa 6.haina fence 7.Document: serikali za mtaa 8.bei 35m maongezi yapo piga/whatsapp...
Back
Top Bottom