Habari
Mimi nishabiki kindaki ndaki wa YANGA,yani nikichanjwa damu inatoka na jina la YANGA.
ILA kusema ukweli naumia sana tena sana,simba inapoelekea.
Mpira wa Tanzania ni wa YANGA NA SIMBA sasa kama simba itaangamia YANGA itakuwa na hali ya huzuni kweli.
Sipo hapa kwa unafiki ila...