JE NI KWELI CHADEMA IMEKUFA?
Habari ya jioni wadau
Hili ni swali ambalo nimekuwa nikijiuliza sana baada ya kuona nguvu kubwa inayotumika mitandaoni kuaminisha watu kwamba chadema ipo hoi, imekufa, imepoteza mvuto.
Jambo linalonishangaza ni pale napoona mijadala mikali kukashifu chama ambacho...