idd

Idd is a parish and former municipality in Halden, Østfold county, Norway.
The parish of Id was established as a municipality January 1, 1838 (see formannskapsdistrikt). The rural municipality was (together with Berg) merged with the city of Halden January 1, 1967. Prior to the merger Idd had a population of 7,213.
The municipality (originally the parish) is probably named after an old name of the vicarage. The meaning of the name is, however, unknown.
Until 1918 the name was written Id.
Idd Church (Idd Kirke) dates from ca. 1100. It belongs Sarpsborg deanery and is located southeast of Halden. The edifice is of stone and has 190 seats. The church is built in the Romanesque style. The church has a medieval baptismal font in soapstone. Altarpiece and pulpit are from 1656. Idd church was heavily damaged in an earthquake on October 23, 1904. The quake occurred in the middle of a church service. Panic arose, but no one was injured. It was long doubt the church could be saved, but in 1922 it was fully restored.
Idd Church served as an election church (Norwegian: valgkirke) in 1814. Together with about 300 churches across Norway, it was a venue for elections to the 1814 Norwegian Constituent Assembly. These were Norway's first national elections.

View More On Wikipedia.org
  1. Komeo Lachuma

    Idd Amin akifa, siwezi kulia. Nitamtupa Kagera

    Idd Amin akifa, siwezi kulia. Nitamtupa Kagera awe Chakula Cha Mamba. Miaka hiyo tunaimba hizo. Tuliamini mtu mbaya ni Nduli Idd Amin Dada tu. Kumbe Nduli Idd Amin Mama Kashata naye roho mbaya muuaji. Chakula Cha Mamba (CCM) HAWAFAI KABISA KUSIKITIKIWA. HAO SI BINADAMU NI WANYAMA WA KUPEWA...
  2. Yoda

    Mgambo wa maadili wa Sharia wavamia lodge kutandika watu wakati wa Eid nchini Nigeria

    Mgambo wa maadili wa Sharia katika Jimbo la Katsina, Nigeria wakiwa na viboko na marungu wamevamia lodge mojawapo jimboni humo na kuanza kutandika wateja. Majimbo 12 kati ya 36 ya Nigeria yana utawala wa Sharia wa Kiislamu ambapo huwa na mgambo waitwao Hisba kuhakisha Sheria ya Kiislamu...
  3. Mshana Jr

    Salam za Idd toka mashirika mbalimbali

    Vodacom inakutakia wewe na familia yako HERI YA SIKUKUU YA EID EL-FITRI!
  4. K

    Mh. Rais sema neno Watanganyika Tupone: Tunaomba Jumatatu ya Tarehe 23 Machi 2026 iwe Sikukuu ya Idd kama Zanzibar

    Kwako Mheshimiwa, Kipenzi cha Watanzania Mkuu wetu wa nchi ikukupendeza Tunaomba utoe neno watanganyika tupone, Jumatatu iwe Sikukuu ya Mapunziko kusherehekea Idd Tatu (3). Ni Mimi Mtanzania Mzalendo wa Kinondoni Chama hapa. Nawasilisha
  5. R

    Hekaheka za Idd

    Wenzetu wanapenda dini yao usipime. Huku kwetu kumekucha. Watu wananunua nguo usipime! Nyama hakuna! Kuku wote wameisha sokoni! Bata nao leo wamepata soko! Vimbuzi vinalia! Mbuzi Katoliki kwisha!😳🤭🤔🥱 Waje Leo Waondoka Leo!
  6. R

    Madikteta wakisha kuwa sugu, maneno huwa hayawatishi kamwe. Idd Amin usingelimtisha kwa maneno

    Dictators lugha wanayoielewa ni Vitendo, Actions! Bila kusikia risasi madikiteita wanakuwa na dharau isiyo kifani. Bila uprising, armed resistance madikiteita wanakuwa sugu!
  7. R

    Msiogope, waovu ni waoga mno, Idd Amini alipokuwa anapanda ngege kukimbilia ughaibuni, alitoa kitisho Cha hatari.

    Salaam! Waovu na wauwaji wote duniani ni waoga, narudia Tena ni waoga wasiojiamini. Iweje changanoto ambayo inatatulika kwa kutumia akili, WEWE tutumie bunduki kwa asiye na bunduki? Pamoja na vitisho vyote na kujipa vyeo vikubwa, kwanini huwa hawaji wao front, hutuma na kutanguliza wengine...
  8. digba sowey

    Bada ya ukombozi D9, Kama Uganda wasivyompa heshima Idd Amin Dada,nashauri Samia na awamu yake isikumbukwe,mabaya yake yasimuliwe vizazi na vizazi.

    Wakuu hamjambo!!? Huku tukielekea kwenye maandamano ya amani D9 nikiwa naamini awamu hii nduli Samia anaenda kuondoka kabisa, nashauri rais wa awamu ijayo na kama taifa hatupaswi kumtambua huyu Samia kama rais aliye wahi kuitawala Tanganyika kutoka na unajisi wa nchi yetu alioufanya...
  9. Saa 7 mchana

    PostGE2025 Angalia hii then unitofautishie kati ya Idd Amin Dada na deshi deshi. My self I can't tell

    Angalia hii then unitofautishie kati ya Idd Amin Dada na deshi deshi. My self I can't tell. Kulingana na kinachoendelea https://youtube.com/shorts/I37o60xwIYE?si=tIJ8dUV13hfkSZ_h
  10. Ileje

    PostGE2025 Serikali ya Samia yavunja rekodi ya kuua raia wake tangu Idd Amin kuwaua!

    https://twitter.com/RahmaMwita/status/1990298542972559465?t=7qbHSYfr_DjgtMvB3nvTCA&s=19
  11. Zee la madawa

    Yule mtu aliyetuambia ya kwamba Idd Amin Dada ni mtu mbaya alitukosea sana

    Yule mtu alituongopea ya kwamba idd Amin Dada ni katili,mtu mbaya,jeuri na shetani alituongea sana na tunapaswa kumlaumu sana aisee Iddi Amin Dada alikuwa pan Africanist wa kweli yeye kujua au kutojua kwamba anatumiwa na wamagharibi akaja kutuaminisha Eti Idd Amin Dada ni mtu mbaya sasa yeye...
  12. R

    Adv. Mwabukusi umetimiza wajibu wako, lakini hawa wameshakuwa sikio la kufa kama Idd Amin wa Uganda.

    Tuliokuwepo watu wazima wakati wa kutoelewana kati ya Idd Amin na Nyerere, Idd Amin aliambiwa kila jema na dunia nzima .....alilipuuza kila kitu akiamini ana jeshi la kuwakabiri watanzania!. Matokeo yake kila mmoja anayajua Idd Amin alifia wapi! Hali iko hivyo hapa kwetu. Mtawala wetu sidhani...
  13. Fbn

    Naomba kujua kwanini Idi Amini aliungwa mkono sana Muammar Gaddafi

    Kuna mambo mengine ukisikia mitaani unaweza kusema wanawatetea watu ambao hata wajawahi kuwepo kwenye hizo nchi. Yani mfano mimi ni muone putin au marcon kuwa watu wenye haki wakati sipo nchini mwao wala sio raia wao ningekuwa raia wa huko ndio ningejua. Sasa kwenye vijiwe na watu wengine...
  14. Fbn

    Bifu na malawi,south afrika na leo kenya ila ndio rekodi ya kwanza kwa raisi wa chama tawala.Na idd amin alifanya haya haya

    Katika mtu anayeongozwa kusemwa sana kwa utawala wake ni raisi samia hapa JF.Sio kusemwa kwa mazuri ni mabaya mengi ambayo wananchi wake wameshamchoka. Sema watanzania wanakatabia kama cha tenge tenge kuacha mambo. Sada haya mabifu ambayo kila kukicha tunatengeneza nchi za watu. Unaficha nini...
  15. kagoshima

    Hii ya kukamata raia na kuwatesa, kuwatupa mabwepande kwa makundi ni tulikua tunasoma kwenye utawala wa idd amini

    Haijawahi tokea, polisi wanakamata raia wasio na kosa kwa sababu za kutoelewana kwa chama tawala na upinzani, na kwa amri kutoka juu, kukamata badala ya kupeleka watu kituoni wakafunguliwe mashitaka unapeleka kuwa jeruhi kisha kuwatupa maporini. Ukatili wa aina hiyo tunausoma kwenye utawala wa...
  16. R

    TRUMP AND iDD AMIN COMPARED

    WABABE WA KIVITA NA MAJIDAI , WASIKLIZE
  17. mwehu ndama

    Taarifa: Kitimoto yaadimika siku ya Idd

    Duru za kuaminika zikimuhusisha jamaa yangu wa karibu ambaye ni mfanya biashara wa vilevi pamoja na nyama ya nguruwe(kitimoto) maeneo ya misufini huko morogoro , Zinadai Leo biashara ya kitimoto na bia imechanganya sana. Duru zimeenda mbali na kudai kuwa mpaka kufika majira ya saa 9 mchana wa...
  18. SSH2025_2030

    Tetesi: Zawadi ya EID: Mwijaku kulipia jamii Maskini 1000 Kodi za nyumba miezi 12

    Celebrity Mwijaku ametoa zawadi ya Eid kwa kulipia Kodi za nyumba jamii Maskini 1000 kwa miezi 12
  19. Wakusoma 12

    Hivi mpaka muda hii hakijaeleweka tu? Idd ni lini?

    Wakuu mwenye taarifa rasmi kutoka BAKWATA kama mwezi umeonekana ama la. Wengine hatutaki ugomvi na mabos wetu kesho.
  20. BigTall

    Muimba Qaswida Tanzania aalikwa tamashani Idd Mosi Burundi

    MUIMBAJI Qaswida Afrika Mashariki na Kati, Abdulhamid Fannan amealikwa kushiriki tamasha kubwa la nyimbo linalotarajia kufanyika Idd Mosi kwenye ukumbi wa Markaz uliopo Bujumbura, Burundi. Akizungumza na mwandishi wa Habari hizi, Fannan alisema amealikwa kushiriki tamasha hilo ambalo ni la aina...
Back
Top Bottom