ibada

Ibadah (Arabic: عبادة‎, ‘ibādah, also spelled ibada) is an Arabic word meaning service or servitude. In Islam, ibadah is usually translated as "worship", and ibadat—the plural form of ibadah—refers to Islamic jurisprudence (fiqh) of Muslim religious rituals.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    JamiiForums Tanzania Kuwa na Nywele Fupi au Ndefu Kwenye Ibada kwa Jinsia Zote Mbili

    Kuwa na Nywele Fupi au Ndefu Kwenye Ibada kwa Jinsia Zote Mbili Kumekuwepo dhana mbalimbali kuhusu hali ya nywele, wakati wa ibada. Majibu ya dhana hizo yanapatikana kwenye maandiko. JINSIA YA KIUME Kuhusu jinsia ya kiume, Biblia inasema mwanaume hapaswi kuwa na nywele ndefu kwa sababu kichwa...
  2. Kitimoto

    JamiiForums Tanzania Hayati Ndugai anazikwa kwa Ibada ya Kanisa ama na Bunge?

    Nimeona kwenye msalaba wa marehemu limeanza na neno "Mhe." (ambalo nadhani linamaanisha Mheshimiwa). Kama mazishi haya yanafanywa na Bunge, basi hiyo ni sawa na stahiki ya heshima kwa nafasi yake ya kitaifa ila kwanini watumie msalaba. Lakini kama ni ibada ya Kanisa, ningetarajia msalaba huo...
  3. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Mhandisi Zena Ahmed Said: Msionyeshe ufundi kwa michepuko, Ndoa ni ibada

    Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Mhandisi Zena Ahmed Said ametoa rai kwa watumishi wa umma kubadilisha mtazamo kuhusu maisha, akisisitiza kuwa kazi, elimu na ndoa ni Ibada na hivyo vinahitaji kutekelezwa kwa moyo, weledi na nidhamu. Mhandisi Zena ametoa kauli hiyo...
  4. U

    JamiiForums Tanzania Ombi Kuwepo na Ibada maalumu ya dini na madhehebu yote nchi nzima kumuomba Mungu aufanye uchagizi Mkuu uende na kumalizika salama

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  5. Setfree

    JamiiForums Tanzania Dini isiyokuwa na Kwaya wakati wa Ibada, inakosa Uhondo!

    Katika maisha ya ibada, mahubiri na mafundisho ni nguzo kuu za kukuza imani na kuwaelekeza waumini jinsi wanavyopaswa kuishi au kuenenda. Hata hivyo, muziki wa kwaya hutoa ladha ya kipekee inayogusa moyo moja kwa moja, mahali ambapo maneno pekee hayawezi kufika. Ibada bila nyimbo za kwaya ni...
  6. U

    JamiiForums Tanzania Balozi Polepole umeheshimu dira ya taifa ukaahirisha mkutano ila umekosa kuheshimu Ijumaa siku ya Ibada kwa Waislamu? Ungechagua siku nyingine

    Omba radhi Kiongozi kwani umekosea ulipaswa kuheshimu siku ya leo ya Ibada kwa Waislamu na ungelifanya press yako siku nyingine Umuhimu wa siku ya leo ni mkubwa sana kuliko dira ya aifa. "Bora ya siku uliyochomozewa na jua ni siku ya Ijumaa, ndani yake ameumbwa Adamu-Amani imshukie-na...
  7. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Rais Samia na Jeshi la Polisi, hawataki Waumini wa Ufufuo na Uzima wamwabudu Mungu, Hata Leo ,Walituma Askari Polisi kwenda Kuzuia Ibada ya Waumini

    Video hii hapa Wakuu !. https://youtu.be/zwQUrn544As?si=5x4Ui0D4tQBilTOt
  8. U

    JamiiForums Tanzania Baada ya kumaliza mahubiri Mchungaji kuagfiza wanaoamini kuwa Yesu ni Mungu wasimame juu, je ni sahihi kiroho ?

    Mchungaji kuuliza wanaoamini kuwa Yesu ni Mungu wasimame juu, je ni sahihi kiroho ? Wadau hili ni kwenye Ibada ya. Sabato Kanisa la Wasabato Salasala SDA wiki mbili zimeisha Kwenye Ibada hiyo somo Mkuu ni kuwa Yesu ni Mungu Mkuu bila kujali kama...
  9. D

    JamiiForums Tanzania Msiogope wauwao mwili peke yake bali mwogopeni Mungu auwaye mwili na roho ,Twendeni kwenye ibada pale pale ubungo maji injili lazima isonge mbele

    Injili lazima ihubiliwe kwa viumbe wote! Yesu alisema; Msiogope hawa wanaowatishia kuuwa mwili peke yake, Bali mwogopeni sana Mungu ambaye anauwa vyote yaani Mwili na roho na hao wanaowatisha! Shetani kazi yake ni kutisha na kuuwa mwili peke yake! LAKINI mwenye mamlaka ya MWILI NA ROHO ni...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Muliro: Polisi haipingi watu Kuabudu katika maeneo yao rasmi kisheria

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetoa onyo kali kwa kundi la watu wanaodaiwa kufanya vurugu mara baada ya ibada katika maeneo ya Kibo, Ubungo, likisema halitavumilia vitendo vyovyote vya uvunjifu wa amani vinavyofanyika chini ya mwavuli wa dini. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa...
  11. L

    JamiiForums Tanzania Hili la wanaoandamana kwa ajili ya kufanya ibada serikali na wahusika wanaweza kulimaliza wakiwa mezani

    Naona kama huu mgogoro wa wanaondamana kila jumapili kwa ajili ya kufanya ibada unaanza kuzoeleka.kitu ambacho kwa maoni yangu ni kuendelea kuiletea doa nchi yetu.Kwa nini serikali isikae ikafanya mazungumzo na kuwasikiliza hao waandamanaji na kuweka utaratibu mzuri wa kufanya hiyo ibada kwa...
  12. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Ndani ya CHADEMA tupo Waumini wa Ufufuo na Uzima, Naomba Chama kitie nguvu kwenye Ibada zetu Kila Jumapili, kama ni mabomu tupigwe pamoja!!

    Niwaalike wanachadema wote Kwa ujumla,na watanzania wote na Wakristo, Kila Jumapili tuwepo , tuungane, tutie nguvu , Tupige kelele, tupaze sauti, Wacha wao watulige mabaomu, watuue, sisi tukusanyike, tufanye Ibada za Amani, tudai haki yetu ya kuabudu, TUIAMBIE DUNIA kua Tanzania Kwa Sasa Kuna...
  13. T

    JamiiForums Tanzania KKKT ibada ya leo iko live upendo Tv, Singida

    Hebu wenzangu na ninyi angalieni UPENDO TV muda huu. Ni kampain zaidi ya kampeni. KKKT tunakwama wapi? https://www.youtube.com/live/WlGZ2ocj6Bk?si=C2R94OQyjKIPMvuC
  14. J

    JamiiForums Tanzania Watu Wanafanya Ibada ya Sanamu Bila Kujua

    Watu Wanafanya Ibada ya Sanamu Bila Kujua Ibada ya sanamu ni nini Mara nyingi watu wamedhani kwamba ibada ya sanamu ni kuweka kinyago hapo mbele yako na kuanza kukiabudu. Kwa upande mwingine, watu wanashangaa wenzao ambao wana vinyago majumbani, mahekaluni, kazini, nk, na wakiviabudu na kuviita...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Waumini wa Gwajima waendelea na ibada pembezoni mwa barabara huku kukiwa na ulinzi mkali wa Polisi katika eneo hilo

    Wafuasi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Wafanya Ibada Licha ya Uwepo Mkubwa wa Polisi Licha ya ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi katika maeneo ya karibu na Kanisa la Ufufuo na Uzima, lililopo Ubungo Kibo, jijini Dar es Salaam, waumini wa kanisa hilo wamejitokeza kwa wingi leo Jumapili kwa ajili ya...
  16. R

    JamiiForums Tanzania Hilda Newton: Ukienda kanisani kwenye ibada ya leo usisahau kumuombea-;

    Ukienda kanisani kwenye ibada ya leo usisahau kumuombea-; 1. Mhe Lissu 2. Mdude Nyagali 3. Juma Kaswahili 4. Chaula 5. Jacob Mlay 6. Frank Mbise 7. Amani Manengelo 8. Deusdedith Soka 9. Dinioz Kipanya 10. Daniel Chonchorio 11. Musa Mziba Na wengine wote ambao wametekwa na kupotezwa...
  17. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania SWALI: Kwanini watu wenye ibada pasipo na ukristo na Uislamu. Mbona dini zao ziko na pesa ?

    SWALI : kwa nini watu wenye ibada pasipo na ukristo na uislamu.mbona dini zao ziko na pesa ? Naomba wasomi mtupe jibu je Kuna Siri Gani hapa . Atotoa jibu zuri Kuna zawadi ya group kuingizwa free la kulipia ili kuchota marifa zaidi na Utambuzi zaidi na zaidi . Swali la kwanza ameshinda...
  18. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Somo: Magufuli alijaribu hata kumnyang'anya Askofu Niwemugizi Uraia wake, Mwisho wa siku Ndiye akiongoza Ibada yake ya Mazishi

    Jiwe hakupenda kukosolewa, na kila aliyejaribu kumkosoa alikomeshwa na wako wengine waliuawa akiwemo Ben Saanane Kimsingi Askofu wa huko kwao Niwemugizi wa kanisa katoliki , Kanisa ambalo Jiwe alibatizwa alikataa kuwa chawa na akashughulikiwa, lakini ndiye aliyenyunyuza maji ya baraka kwenye...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu usihofu, Ibada haizuiliki, Hekalu ni mwili wako, Madhabahu ni moyo wako. Endellea kuabudu

    Salaam, Shalom! Nimesikia nabii Tundu Lissu akilalamika kupokwa haki yake ya kuabudu, hii SI kweli. Agano la kale, watu iliwabidi kusafiri Hadi Yerusalemu kwenda kuabudu, Agano jipya mambo yamebadilika. Mungu anaabudiwa Katika njia illiyoboreshwa zaidi. Wamwabuduo halisi, imewapasa...
  20. J

    JamiiForums Tanzania Je Kuna Uhalali wowote Kusalia Mbele ya Nyumba ya Ibada ya Dini Nyingine?

    Hicho ndicho kilichotokea wakati wa Eid Al Adha huko Montreal Canada. https://x.com/realMaalouf/status/1932453119792685440 Na bado Waziri Mkuu wa Canada katika salamu zake za Eid, alimwaga sifa kemkem kwa Waislamu. Swali jingine mtu anajiuliza je this love affair baina ya viongozi wa kisiasa wa...
Back
Top Bottom