huna

Hunas or Huna (Middle Brahmi script: Hūṇā) was the name given by the ancient Indians to a group of Central Asian tribes who, via the Khyber Pass, entered the Indian Subcontinent at the end of the 5th or early 6th century. Huna Kingdom occupied areas as far as Eran and Kausambi, greatly weakening the Gupta Empire. The Hunas were ultimately defeated by a coalition of Indian princes that possibly included the Indian king Yasodharman. He and possibly the Gupta emperor, Narasimhagupta, defeated a Huna army and their ruler Mihirakula in 528 CE and drove them out of India. The Guptas are thought to have played only a minor role in this campaign.The Hunas are thought to have included the Xionite and/or Hephthalite, the Kidarites, the Alchon Huns (also known as the Alxon, Alakhana, Walxon etc.) and the Nezak Huns. Such names, along with that of the Harahunas (also known as the Halahunas or Harahuras) mentioned in Hindu texts, have sometimes been used for the Hunas in general; while these groups (and the Iranian Huns) appear to have been a component of the Hunas, such names were not necessarily synonymous. Some authors suggest that the Hunas were Ephthalite Huns from Central Asia. The relationship, if any, of the Hunas to the Huns, a Central Asian people who invaded Europe during the same period, is also unclear.
Gujars are sometimes said to have been originally a sub-tribe of the Hunas.In its farthest geographical extent in India, the territories controlled by the Hunas covered the region up to Malwa in central India. Their repeated invasions and war losses were the main reason for the decline of the Gupta Empire.

View More On Wikipedia.org
  1. hmaloh

    JamiiForums Tanzania Hivi huwa mnafanyaje kumkataa rafiki ambaye wewe huna faida naye ila yeye ndio anafaida na wewe?

    Ndugu zangu naombeni msaada wakiushauri kwa maana nahisi kuelemewa.
  2. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uliishije baada ya kugundua huna nyumbani tena , wala huna mtu yeyote wa kusikiliza shida zako

    Wakuu kwema. Naomba tusaidiane huu uzoefu
  3. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Jemedari Saidi: Huna hata kombe la kuonyesha kwanini shughuli yako isiwe ya muda mfupi.

    Wasanii watatu, Dj mmoja, Mc mmoja, Wageni wawili, Huna kombe la kuonesha, huna mchezaji wa kuringishia kwanini shughuli isiishe mapema Yani shughuli kama ya Ubarikio hakuna mambo mengi😂😂😂😂😂 Duniani kama hujafanya mambo makubwa hata MSIBA wako utakuwa mfupi yaani utasikia MAREHEMU alizaliwa...
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania HATA UTOE VIPI SIKU MOJA TU UKIKOSA WATAKUONA HUNA MCHANGO WOWOTE KWAO.

    MAMABO YA KUZINGATIA KABLA HUJASAIDIA WENGINE. 1.Usitoe ukabaki huna chochote 2.Usigope kuachwa kwa sababu huna bali sema HUNA kama kweli huna. 3.Usitoe kwa lengo na wao wakupe kesho. 4.Usitake kujua wanakusemaje baada ya kuwasaidia. HATA UTOE VIPI SIKU MOJA TU UKIKOSA WATAKUONA HUNA MCHANGO...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Shabiby hata wewe huna lolote, you are taking advantage TU!

    Siku hizi umekewa ukiwasema sana wanasiasa wenzio na wakati mwingine hata Serikali. Hoteli Esperenza ya ndugu yako imekuwa kiini cha kupika majungu na wewe mwenyewe ukishiriki. Siku hizi umekuwa wazi sana kuonesha namna ulivyojaa rohombaya na tamaa za utajiri ambao sio halali kivileeeee! Siku...
  6. thegreat1510

    JamiiForums Tanzania Unatoa wapi ujasiri wa kufanya upinzani ikiwa huna kinga yoyote?

    Sawa una haki ya kutetea nchi yako , kuwasemea wanyonge nk. Lakini ukweli mchungu ni kwamba utatafutwa na utazimwa , unamkaribisha adui na huna kinga yoyote? Kwanini uchague maisha ya shida na wasiwasi hivyo ingali unafahamu athari zake 🤔 Tukio la Sativa limenifikirisha sana. Kuna haja ya...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Ndugu J. Gwajima, ushahidi wa Mpina haujathibitishwa popote, hivyo huna HAKI ya kusema amedanganya

    Salaam, Shalom!! Leo naongea na Ndugu Gwajima kama kiongozi na mwakilishi wa wananchi, na SI kama Askofu madhabahuni. Nimekusikia ukidai na kumtuhumu Ndugu Mpina kuwa mwongo bila kuthibitisha UONGO huo Kwa data na ushahidi kama alioutoa ndugu Mpina hadharani. Umeenda mbali zaidi na Kutoa...
  8. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mwanamke au Mkeo huyo akiwa Mtukufu, yule aliyemuumba huyo Mkeo ambaye ni Mungu Yeye ataitwa nani?

    "Kwa Sisi baadhi ya Wanaume wa kiafrika tunadhani kumpa heshma Mkeo kama hii ni ufala au uzuzu,,kumbe hata Dini zetu na mafundisho yake yanatutaka tufanye hvyo!! Mke anahitaji utukufu", amesema Haji Sunday Manara Mhamasishaji Klabu ya Vibaka Tupu Kariakoo na Ilala. Sasa Mwanamke au Mkeo huyo...
  9. Annie X6

    JamiiForums Tanzania Kama huna huruma, utu na imani tembelea hospitalini

    Leo ni ijumaa nisalimie kwa assalam alykum Jamii. Ndg zangu hospitalini ndiko walipo wahitaji..watu wanataabika na kupata shida na taabu. Kuna wale wanaokosa imani au kukosa utu. Wapo watu wanaringa na kusaza kwa kutojali maisha ya wengine. Nitarudi baadae
  10. T

    JamiiForums Tanzania Chalamila: Natamani katiba mpya iseme ukimaliza chuo kikuu huna ajira ulipwe nusu mshahara mkopo wa elimu ya juu usiombwe upewe lazima.

    Amesema mtazamo wake kuhusu katiba ni kuleta nafuu kwenye maisha ya kila siku mf. Wanawake wasio na ajira wapewe mikopo bila riba mtu akifa maiti isidaiwe chochote na kijana akihitimu masomo na serikali haijampa ajira baada ya miaka mitano ianze kumlipa nusu mshahara mpaka atakapo pata ajira.
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukiwa huna hela usipende chatting ndefu na mwanamke

    Nakusanua mwanaume mwenzangu Kama huna hela usipende sana kuchati mara kwa mara na mtoto wa kike Sina maana usiwasiliane na mpenzi wako lahasha ila hii itakusaidia kukwepa vizinga vya hapa na pale Siku ukiwa vizuri financially hapo sasa unaweza kuchati as you wish ila kama huna kitu jitahidi...
  12. Mganguzi

    JamiiForums Tanzania Shaffih dauda acha chuki za kipuuzi kwa viongozi wa simba .haujui lolote zaidi unataka tu upate nafasi umekosa balance na huna sifa za kiuandishi,

    Mtu kama shaffih ukikaa kumtafakari unakuta huoni sababu na tija ya uandishi wake ! Shaffih yeye sio mwandishi wa habari ila ni mchochezi na mfitini ,akiona mahali pana mafanikio dakika moja anabadilika ,Leo anaiona simba na uongozi wote hasa upande wa mo ! Hawastahili kuiongoza ,huyohuyo...
  13. Yoda

    JamiiForums Tanzania Hamisi Kigwangalla huna "moral authority" ya kupigania mabadiliko sahihi ya mfumo Simba SC.

    Huyu mbunge wa Nzega na waziri wa zamani wa Maliasii kwa wiki nzima sasa amekuwa akiendesha harakati zake mtandaoni na kwenye redio akidai Simba inaendeshwa ndivyo sivyo na "tajiri" au sijui mwekezaji Mo. Kigwangalla amelikomalia sana hili suala kana kwamba ana maslahi yoyote Simba zaidi ya kuwa...
  14. haszu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwenye maisha Kuna mambo lazima ukubali kua huna na huwezi kuyapata KAMWE.

    Ushawahi sikia watu wanaitwa "resentful" ? Hawa ni watu ambao kuna vitu hawana, wengine wanavyo, wao wanaamini wangepaswa kua navyo, sasa matokeo yake wanakua na chuki na husda. Ni lazima ukubali kua kuna mambo huna na huwezi kuanayo au kuyapata asilani. Kwa mfano 1. Muonekano wako, kama we ni...
  15. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Yale mawazo mazuri unayofikiria kipindi huna hela ndo mambo ya kuyafanya

    Ukiona jambo una litamani kuliifanya kipindi umefulia jua ndo kazi yako biashara yako na your purpose nimaanisha ukilifanya Kwa moyo wote bila kurudi nyuma unatoboa na unaweza kufahamika duniani kote.
  16. T

    JamiiForums Tanzania Kama una App ya Tigopesa au huna Fanya hivi

    habari wadau , kama unayo app ya Tigopesa cha kufanya update na pia kwa wewe ambae hauna nenda play store download jisajiri kula maisha wanatoa GB 1 masaa 24 nadhani zitakusaidia kukusukuma,
  17. Pantomath

    JamiiForums Tanzania Wamilki wa Mbwa, hivi hua mnawaza nini unaona mtu anakaribia kung'atwa na unamuambia asijali?

    Hawa watu hua najiulizaga, akili zao wote zinafanana, Mazoea yao na mbwa wao wanachukulia kila yule anayo.. Mtu dude unaona kabisa linakuja kwa kasi, unajichekesha tu "hahahaaaa usijali hang'ati" unamsemea mbwa? Hakuna mbwa anayekuja kwa Mgeni(anaamini ni adui) kwa kukukimbilia na kubweka asiwe...
  18. Sir Kisesa

    JamiiForums Tanzania Taarifa kabla hujasema chochote itafakari kwanza ukweli au usahihi wa hoja husika

    Ndio tittle ya uzi huu... Sote tunajua matokeo ya mabadiliko ya sayansi na teknolojia kupelekea vijana wengi kutumia fursa hio vizuri wengine wanatumia vibaya. kuna watu wanatumia teknolojia kuiba, kutapeli na mengine kama hayo , kesi nyingi za kitapeli tumeziona kila kona pasina ukomo wake...
  19. GoldDhahabu

    JamiiForums Tanzania Hata kama huna vyote haujanyimwa vyote

    Nyoka hana miguu wala mikono, lakini halali njaa, na anatumia sumu yake kama silaha ya kujihami dhidi ya maadui zake! Kinyonga hana uwezo wa kupambana na viumbe wakubwa, lakini kwa uwezo aliojaliwa wa kujibadilisha rangi humfanya asionekane kirahisi na viumbe hatarishi kwake Tembo ana nguvu...
  20. G

    JamiiForums Tanzania Biashara nyingi zinazofanikiwa Tanzania ni ushirikiano wa familia na ndugu wa karibu, bila hii silaha unaweza kuichukia biashara, heri ujaribu ajira

    Mifano ni matajiri wengi tunaowajua kina Mo, Bakhresa, GSM, ni biashara za familia na ndugu wa karibu, ni team work. Pia kwa upande wetu watanzania wa asili ukienda kwenye masoko makubwa utawakuta wengi wanaofanikiwa ni biashara za familia na ndugu wa karibu wanapambana pamoja, ukienda ofisi...
Back
Top Bottom