Unaamka asubuhi huku ukiwa na heng over ya jana usiku:
Unapasha maji kweny jiko la gesi ili ukaoge,unayapeleka bafuni,unasahau kuyachanganya na ya baridi unajimwagia, unaungua unaanza kupiga kelele bafuni. Daaadeki
Unatoka nje kwa hasira huku ukiwa na maumivu
Ile unatoka nje ndege anapita...