INTRODUCTION.
In Tanzania road traffic injuries causes almost 42% of all death due road traft accident ( TPF, 2016). Apart from deaths also leads to high burden of disability adjusted life years. Many of injuries and deaths are preventable. Many road traffic death occurs in pre hospital...
Kwakweli kumekua na kero sana kwa manesi walipo hospitalini hapa, wamekuwa wakitoa maneno ya kashfa na kejeli hasa kwa manesi wa clinic,
Ni maneno mabaya na ya kejeli sana yakiambatana na matusi.
Naiomba serikali ilifuatilie na kulichunguza swala hili.
Mimi binafsi nimewahi tolewa maneno...
Mpaka sasa nimetumia 133,000/= kwa ajili ya vipimo. Na kuna kipimo ki1 nimeacha sababu ya kukosa pesa. Nina maumivu mgongoni. Kuanzia usawa wa mbavu kuja juu.
Nimekuja kumwona dr baada ya kumpa maelezo kaniandikia kufanya vipimo vya ultrasound, xray, na vipimo v3 vingine kutoka kwenye damu...
Slovakia’s prime minister Robert Fico has been injured in a shooting and rushed to hospital.
The incident took place in the town of Handlova, some 150 kilometres northeast of the capital Bratislava, after a government meeting.
TA3, a Slovakian TV station, has reported that the 59-year-old...
Hii ina maanisha kuwa endapo serikali yetu kwa pamoja na mashirika binafsi au hospital binafs zinaajiri wataalamu kwa ajili ya kutoa elimu au ushauri kwa vyanzo vya magojwa hii itasaidia kupunguza mlundikano wa wagojwa katika hospital zetu.
Na hii ninachomaanisha hapo ni kwamba kila ugojwa...
Niliwahi kutibiwa Seifee Hospital iliyoko mjini Dar es Salaam, inayopatikana ile njia kama unaenda Posta. Tangu nitibiwe pale wamekuwa wakinitumia matangazo ya madaktari wanaofika kwao. Hawa jamaa muda si mrefu nitawashtaki maana namba yangu ya simu ni taarifa binafsi na inapochukuliwa inapaswa...
Wadau hamjamboni nyote
Waziri wa Usalama mwenye msimami mkali wa Israel Itamar Ben Gvir anusurika kwenye ajali mbaya ya gari na amekimbizwa hospital anakopatiwa matibabu
Polisi wanaendesha uchunguzi mkali kubaini chanzo cha ajali hiyo mbaya iliyotokea leo ijumaa
Mungu ibariki Israel...
Milio mizito ya risasi inayo shtua inasikika hadi maeneo ya hospital ya mkoa. Kila mara imekua ni kawaida kabisa kwa jeshi la police kufanya mazoezi ya kufyatua risasi karibu kabisa na makazi ya wanachi hali inayopelekea kushtua sana watu. Na pengine ineweza leta athari hata kwa wagongwa au...
Habari wakuu,
Mzazi wangu anasumbuliwa na ugonjwa wa sukari moyo na figo …kwa siku za karibuni hali imezidi kubadilika anashindwa hata kutembea ,,akila pia anatapika...
Nimefikia hatua ya kubadilisha hospitali labda madaktari wanatofautiana tratment na ujuzi
Kwa anaejua hospitali naomba...
Al Jazeera has removed all stories about a woman who claimed she was raped by IDF soldiers - after a columnist claimed a Hamas investigation allegedly revealed the woman who claimed IDF raped her at Al-Shifa hospital fabricated her story.
She reportedly made the allegations to “arouse the...
Hospitali ya Malolo (Reginal level) Wafanyakazi hawajalipwa mishahara tokea December 2023(Majority) huku wachache hawajakamilishiwa mishahara ya mwezi November.
Uongozi wanasema NHIF hawajalipa claims since December maana zaidi ya 95% ya wagonjwa ni wanachama wa NHIF, hivyo hamna hela.
Kadi...
Anonymous
Thread
december
hawajalipwa
hospitalhospitali
mishahara
mwezi
tabora
wachache
wafanyakazi
Serikalai yamwaga Bilioni 1.8 ujenzi Hospital ya wilaya Moshi
SERIKALI imetoa shlingi Biliioni 1.8 kwa ajili ya ujenzi wa Hospital ya wilaya ya Moshi inayojengwa Kata ya Mabogini ukanda wa tambarare itakayohudumia wananchi Zaidi ya 535803 kutoka majimbo ya Moshi Vijijini na jimbo la Vunjo...
Tusubiri tu hiyo wiki ijayo tarehe 12 tupangiwe na Mamelodi Sundowns FC katika Robo Fainali ya CAFCL tuje kupigwa 4 kwa 0 kwa Mkapa na tukapigwa Kipigo kitakatifu cha Goli 8 kwao ili Akili zitukae sawa na tujue kuwa hatuna Wachezaji wala Uongozi thabiti.
Nimemaliza.
Hali ya huduma Hospitali ya Mkoa Temeke ni mbaya sana
Nimekuja na mgonjwa ni zaidi ya dakika arobaini hakuna huduma yoyote, vyumba vya madaktari viko wazi, Waliopo wanadai kila mmoja sio zamu yake.
Wagonjwa tuliopo hapa hata hatuwaelewi, wengine hawajui wanasaidiwa na nani na...
SHIRIKA LA BIMA LIMEFILISIKA HOSPITALI ZINADAI PESA ZAIDI YA MIEZ 5 BILA MALIPO, WANANCHI TUMEANZA KUONJA JOTO HILI,UKIENDA MUHIMBILI HUDUMA YA HARAKA KWA MGONJWA WA BIMA IMEPUNGUA SANA, NI MALALAMIKO KILA KONA.
JE, MNAPOSEMA BIMA KWA WOTE MTAWEZAJE WAKATI HILI LA KUZILIPA HOSPITALI TUPATE...
The Tanga Regional Referral Hospital (BOMBO) would like to announce job opportunities for the following professions:
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 24/02/2024
Maombi yote yawasilishwe masijala ya Hospitali au kupitia barua pepe barua@tangarrh.go.tz
Position: Cashier
Key Requirements
• Certificate / Diploma in Accountancy from any recognized institution.
• Minimum one year of working experience in the same position.
• Good customer care services to the clients.
• Ability in analytical and problem solving skills
• Ability to maintain...
Position: Director of Hospital Services – 1 POST
Employer: Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC)
Duties and Responsibilities
(i) Overall, in-charge of all auditing activities in the Centre.
(ii) Chief advisor to the Managing Director and the Board on all internal control procedures...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.