hormuz

The Strait of Hormuz ( Persian: تنگهٔ هُرمُز Tangeh-ye Hormoz , Arabic: مَضيق هُرمُز Maḍīq Hurmuz) is a strait between the Persian Gulf and the Gulf of Oman. It provides the only sea passage from the Persian Gulf to the open ocean and is one of the world's most strategically important choke points. On the north coast lies Iran, and on the south coast lies the Musandam peninsula, shared by the United Arab Emirates and the Musandam Governorate, an exclave of Oman. The strait is about 90 nautical miles (167 km) long, with a width varying from about 52 nmi (96 km) to 21 nmi (39 km).
A third of the world's liquefied natural gas and almost 25% of total global oil consumption passes through the strait, making it a highly important strategic location for international trade. It has been so for centuries; its vast hinterlands were rich in luxury trade goods with no easy access to lucrative trading ports. Babur's memoirs recount how almonds had to be carried from the distant Ferghana region to Hormuz to reach markets.
On 22 June, 2025, the Iranian parliament voted to close the Strait of Hormuz, in response to recent U.S. strikes on Iranian nuclear facilities. The decision is pending approval by the Islamic Republic’s Supreme National Security Council.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Not only did Trump lose control of the Strait of Hormuz, he is also going to pay Iran $6 BILLION

    Not only did Trump lose control of the Strait of Hormuz, he is also going to pay Iran $6 BILLION
  2. Loading failed

    JamiiForums Tanzania Marekani wakishindwa kuimiliki Hormuz wafanye juu chini waizamishe Oman baharini hata kama WW III itaanza

    Kuna kila sababu ya marekani kupotea kwenye ramani ya super power na ushawishi wake kwenye maswala ya kidiplomasia duniani ikiwa haitoweza kuipigisha Iran magoti. Katika hii vita tumeona na kushuhudia huyu jamaa akiforce kuomba poo japo wayahudi wa kibongo wakikaza mafuvu yao , pia tumeshuhudia...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Hormuz Itafungwa Tena

    https://youtube.com/shorts/QXKmNjDbk9U?si=eo_ckgeSH-mDtbep Ujumbe ndio huo Iran anasema Israel kashambulia Iran lazima tufunge tena Hormuz hapa naona Iran anamtafuta Israel amtie adabu Hio ni breaking news
  4. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Rais Trump apendekeza awe na Ubia kwenye mlango bahari wa Hormuz

    Wakati wa mahojiano, Rais wa Marekani Donald Trump alionekana kuidhinisha sharti la Iran katika kusitisha mapigano jana usiku linalowaruhusu kutoza ushuru kwa meli zinazopitia Mlango-Bahari wa Hormuz, akisema kwamba ada hizo zinaweza kutolewa kwa ubia kati ya Iran na Marekani: "Tunafikiria...
  5. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran: Marekani Itaiangamiza Iran Kwa Ajili ya Hormuz?

    https://youtu.be/X1lTFztINMU?si=7dpeVSJFhmqMFfcX
  6. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mlango bahari wa Hormuz wamfanya Trump kumtukuza Allah!

    Jumanne itakuwa Siku ya Mitambo ya Umeme, na Siku ya Madaraja, zote kwa pamoja nchini Iran. Hakutakuwa na siku mfano wa hiyo !!! Fungueni hiyo Mlango wa Bahari sasa hivi, enyi vichaa, la sivyo mtaishi katika Jahannamu – SUBIRINI MUONE! Atukuzwe Allah . Rais DONALD J. TRUMP.
  7. Richard

    JamiiForums Tanzania Iran yaweka kibanda cha tozo (Tollbooth) kutoza ushuru kwa meli zitokatiza kwenye mfereji wa Hormuz

    Iran imeweka njia ingine ya kupita meli ziendazo nchi za mbali na kuwapa uwezo IRGC kuziona meli hizo na kutoza ushuru kwa kila meli. Hadi meli kadhaa tiyari zimelipia tozo hiyo ya kupita kwenye mfereji wa Hormuz na kila meli italipa dola milioni 2.4 Picha na AP Ukiangalia katika picha hapo...
  8. Yoda

    JamiiForums Tanzania Bado mpaka sasa hakuna biashara iliyopewa jina la mfereji wa Hormuz?

    Wabongo wanapenda sana kuzipa biashara zao majina ya vitu maarufu, tutegemee siku za hivi karibuni kuona Hormuz Cafe, Hormuz Barbershop, Hormuz general store, Mgahawa wa Hormuz, Hormuz Bar n.k Nigeria tayari wameshatembea na upepo
  9. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Mlango bahari wa Hormuz waitesa Iran

    Jeshi la Anga la Israeli lilifanya shambulio sahihi huko Bandar Abbas ambapo Alireza Tangsiri, ambaye alikuwa kamanda wa Jeshi la Wanamaji la IRGC kwa miaka minane iliyopita aliondolewa. Tangsiri alihudumu katika nafasi kadhaa muhimu ndani ya Jeshi la Wanamaji la IRGC, ambapo alisimamia...
  10. I

    JamiiForums Tanzania Saudi Arabia imepata njia mbadala ya Hormuz kupitishia mafuta yake kwenda sokoni

    Saudi Arabia imeongeza mauzo yake ya mafuta hadi zaidi ya nusu ya viwango vya kawaida licha ya usumbufu kutoka kwa vita vya Iran. Ufalme huo unasafirisha mafuta kupitia bomba hadi bandari ya magharibi ya Yanbu, huku usafirishaji kutoka Yanbu ukiwa na wastani wa mapipa milioni 4.19 kwa siku...
  11. O

    JamiiForums Tanzania Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Uholanzi na Japan zimesema zitachukua hatua stahiki kuhakikisha Usalama wa Strait of Hormuz

    Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Uholanzi na Japani zimesema zitachukua hatua za kuimarisha utulivu wa masoko ya nishati, na ziko tayari kushiriki katika “juhudi stahiki” ili kuhakikisha usalama wa upitishaji katika Mlango wa Hormuz.
  12. The Dictator

    JamiiForums Tanzania UAE yafikiria kujiunga na Marekani kulinda mlango wa Hormuz / Diplomasia na Iran, tia maji-tia maji

    Dkt. Anwar Gargash, ambaye ni mshauri wa kidiplomasia wa Rais wa UAE, amethibitisha leo (Jumanne, Machi 17, 2026) kuwa UAE inaweza kujiunga na juhudi za kimataifa zinazoongozwa na Marekani ili kulinda usalama wa njia ya maji ya Strait of Hormuz. Gargash alitoa kauli hiyo wakati akizungumza...
  13. The Dictator

    JamiiForums Tanzania US: Tumeiruhusu meli za mafuta ya Iran kupita katika mlango wa Hormuz

    Waziri wa Hazina wa Marekani, Scott Bessent, ameviambia vyombo vya habari kuwa; Marekani imekubali kwa makusudi kuruhusu meli za mafuta za Iran kupita katika Mlango wa Hormuz bila kuzuiliwa kijeshi kwa sasa. Hatua hii imechukuliwa ili kudhibiti bei ya mafuta duniani isipae zaidi (baada ya...
  14. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Dunia Iko Katika Hatari ya Nishati: Wataalamu wa Mafuta Washauri Kujengwe Bomba la Mafuta linalopitia Nchi Kavu Kuikwepa Strait of Hormuz

    Wakati mvutano wa kisiasa na kijeshi ukiendelea kuongezeka katika eneo la Strait of Hormuz, Wataalamu wa sekta ya mafuta anaonya kuwa dunia inaweza kukabiliwa na msukosuko mkubwa wa nishati iwapo njia hiyo muhimu ya usafirishaji wa mafuta itavurugika. Kutokana na changamoto hizo, wataalamu...
  15. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Mgogoro wa Irani: Je, Njia ya Bomba Inaweza Kuwa Suluhisho la Kupitisha Mafuta Njia Nyingine badala ya Kupitia Mlango wa Bahari wa Hormuz?

    Wadau wa JF, Kutokana na mgogoro unaoendelea Iran na umuhimu wa Mlango wa Bahari wa Hormuz katika usafirishaji wa mafuta duniani, kumekuwa na mjadala mkubwa kuhusu kama kuna njia mbadala ya kupitisha mafuta bila kutegemea njia hiyo. Swali kubwa lililojadiliwa ni: Je, mabomba ya mafuta...
  16. Ritz

    JamiiForums Tanzania Marekani wasema tena 'hawako tayari' kusindikiza meli za mafuta katika Mlango-Bahari wa Hormuz

    Wanaukumbi. Waziri wa Nishati wa Marekani Chris Wright anasema kuwa jeshi la wanamaji la nchi yake haliko tayari kusindikiza meli za mafuta kupitia Mlango wa bahari wa Hormuz. Hakuwa akisema hivyo Jumanne. Kwa hakika, saa 48 zilizopita, alitangaza kwenye mitandao ya kijamii kwamba Jeshi la...
  17. W

    JamiiForums Tanzania Meli ya Mizigo yashika moto kwenye Mlango-bahari wa Hormuz

    Mvutano katika Mashariki ya Kati umeshika kasi zaidi leo baada ya meli ya mizigo kushika moto kwenye Mlango-bahari wa Hormuz, kufuatia shambulio lililohusisha "vitu vya kurushwa visivyojulikana." Mamlaka zimethibitisha kuwa meli tatu za kibiashara zimeharibiwa katika njia hiyo muhimu ya maji...
  18. Ritz

    JamiiForums Tanzania Iran: Tunasubiri majeshi ya Marekani kusindikiza meli za mafuta kupitia mlango wa bahari wa Hormuz

    Wanaukumbi. Msemaji wa Walinzi wa Mapinduzi ya Iran: -Tunasubiri uwepo wa majeshi ya Marekani kusindikiza meli za mafuta kupitia Mlango wa bahari wa Hormuz - Tunawakumbusha Wamarekani juu ya kuchomwa kwa meli ya mafuta ya Amerika Bridgeton mnamo 1987… ================ BREAKING: IRAN...
  19. O

    JamiiForums Tanzania TAARIFA MPYA: Kampuni kadhaa kubwa za mafuta zimesitisha usafirishaji wa mafuta kupitia Strait of Hormuz.

    Makampuni kadhaa makubwa ya mafuta pamoja na makampuni ya usambazaji wa mafuta na petroli yamesitisha kwa muda usafirishaji wa mafuta, petroli na bidhaa kupitia Strait of Hormuz kutokana na mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iran kwa mujibu wa ripoti kutoka Reuters.
  20. M

    JamiiForums Tanzania Karata ya kufunga Strait of Hormuz na kuishiwa Interceptors za ulinzi wa anga vyamtisha Trump na kutaka ceasefire.

    Kwanza nataka nikiri kuwa wazungu ni wajanja. Wao huwa wanaact kwa mtindo wa good cop vs bad cop. Safari hii Marekani na Israel walikuwa bad cops huku Uingereza, Ufaransa na Ujerumani zikijifanya kama ziko mbali lakini behind the scenes wako pamoja. Leo Trump ametangaza ceasefire kati ya Israel...
Back
Top Bottom