hormuz

The Strait of Hormuz ( Persian: تنگهٔ هُرمُز Tangeh-ye Hormoz , Arabic: مَضيق هُرمُز Maḍīq Hurmuz) is a strait between the Persian Gulf and the Gulf of Oman. It provides the only sea passage from the Persian Gulf to the open ocean and is one of the world's most strategically important choke points. On the north coast lies Iran, and on the south coast lies the Musandam peninsula, shared by the United Arab Emirates and the Musandam Governorate, an exclave of Oman. The strait is about 90 nautical miles (167 km) long, with a width varying from about 52 nmi (96 km) to 21 nmi (39 km).
A third of the world's liquefied natural gas and almost 25% of total global oil consumption passes through the strait, making it a highly important strategic location for international trade. It has been so for centuries; its vast hinterlands were rich in luxury trade goods with no easy access to lucrative trading ports. Babur's memoirs recount how almonds had to be carried from the distant Ferghana region to Hormuz to reach markets.
On 22 June, 2025, the Iranian parliament voted to close the Strait of Hormuz, in response to recent U.S. strikes on Iranian nuclear facilities. The decision is pending approval by the Islamic Republic’s Supreme National Security Council.

View More On Wikipedia.org
  1. Ritz

    JamiiForums Tanzania Meli 1,500 na mabaharia 20,000 wamekwama Hormuz kutokana na vita vya Iran, Trump amebakia kupiga kelele kwenye mitandao.

    Wanaukumbi. Shirika la kimataifa la masuala ya bahari la Umoja wa Mataifa (IMO) limesema takribani meli 1,500 pamoja na mabaharia zaidi ya 20,000 wamekwama katika eneo la Ghuba ya Uajemi kutokana na vikwazo vya Iran kwenye njia ya Mlango wa Hormuz. Katibu Mkuu wa IMO, Arsenio Dominguez...
  2. MALCOM LUMUMBA

    JamiiForums Tanzania Mfereji wa Hormuz: Marekani ameomba msaada wa kijeshi kutoka Korea Kusini

    The Financial Times linasema: Marekani imeisisitiza serikali ya Korea Kusini kujiunga naye kijeshi katika kusaidia kufungua mfereji wa Hormuz. Hili limekuja baada ya Raisi Donald Trump kuwataka Korea Kusini kuingia kwenye oparesheni ya kijeshi iitwayo PROJECT FREEDOM kwasababu Manowari zake...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Trump abadilisha jina la Hormuz na kuwa Strait of Trump

    Rais wa Marekani Donald Trump amechapisha ramani kwenye mtandao wake wa kijamii Truth Social ikionyesha Strait of Hormuz ikiwa imepewa jina la “Strait of Trump,” badala ya jina lake rasmi la Strait of Hormuz, maarufu Mlango Bahari wa Hormuz. Mlango huo wa bahari ni mojawapo ya njia muhimu zaidi...
  4. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Ukisikia Total-Blockade ndiyo hii sasa, Mlango bahari wa Hormuz hapiti yeyote bila idhini ya US!!!

    Kuna akina Adiosamigo zitto junior Webabu mdogoee gTurn na Mzee wa UHARO Ritz kwa sasa wako kimya wanajifanya hawajui kuwa pale kwenye mlango bahari wa Hormuz Marekani wameweka Total-Blockade kwa taarifa yao tu hapo huwezi kupitisha hata lita moja ya mafuta bila idhini ya Marekani!! Magaidi wa...
  5. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Rais wa Marekani Donald Trump aagiza boat za Iran zilizoko Mlango bahari wa Hormuz zizamishwe!!

    Baada ya boat za Iran kuonekana zinateka meli na zingine kuonekana kutega mabomu kwenye Mlango bahari wa Hormuz, Rais wa Marekani Donald Trump ameliagiza jeshi la majini na la anga kuzizamisha boat zote zinazofanya uhalifu kwenye mlango bahari wa Hormuz!!
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Trump atishia kupiga boti zinazotega mabomu huku hali ya wasiwasi ikiongezeka katika Mlango-bahari wa Hormuz

    Rais wa Marekani, Donald Trump, ameliamuru Jeshi la Majini "kupiga na kuua" boti zozote za Iran zinazotega mabomu katika Mlango-bahari wa Hormuz. Mazungumzaji mkuu wa Iran amesema kuwa Tehran imepokea mapato yake ya kwanza kutokana na ushuru ilioweka kwa meli zinazopita katika mlango-bahari...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Meli 3 zimeshambuliwa kwa kutaka kupita mlango wa Hormuz

    Meli tatu zimeshambuliwa na jeshi la wanamaji wa IRGCC ikiwa mlango wa Hormuz ukiendelea kufungwa. Meli iliyokuwa na bendera ya Panama ikitokea kwenye bandari ya Saudi Arabia na kuelekea Singapore imeshambuliwa na imepata uharibifu. Meli ya pili ya kigiriki nayo imeshambuliwa siku ya leo baada...
  8. britanicca

    JamiiForums Tanzania Graham Aitaka Udhibiti Kamili wa Hormuz, Akataa Mkataba Wowote na Iran

    Seneta Lindsey Graham alisifu vizuizi hivyo kwa kuidhoofisha uchumi wa Iran na akataja mashambulizi ya IRGC dhidi ya meli kuwa ishara ya kukata tamaa. Alimtaka Rais Trump achukue udhibiti wa Mlango-Bahari wa Hormuz na kuendeleza vizuizi hivyo, huku akikataa mkataba wowote unaoruhusu Iran...
  9. The Dictator

    JamiiForums Tanzania IRAN: Kuna hali ya misuguano ya kimamlaka kati ya Abbas Araghchi na viongozi wa IRGC kuhusu udhibiti wa Mlango wa Hormuz

    Siku ya Ijumaa, Aprili 17, 2026, Waziri wa Mambo ya Nje, Abbas Araghchi, alitangaza kupitia mtandao wa X kuwa Mlango wa Hormuz uko "wazi kabisa" kwa meli zote za kibiashara. Alidai uamuzi huo umefikiwa kufuatia makubaliano ya kusitisha mapigano huko Lebanon. Ndani ya saa 24, viongozi wa IRGC...
  10. 5

    JamiiForums Tanzania BBC: Meli zashambuliwa Hormuz, nyengine zageuza baada ya onyo la Iran

    Inaonekana US hawako tayari kwa maridhiano, mlango ulifunguliwa rasmi lakin US wakaendelea kupaki meli zao huko bahari kuu sasa umefungwa tena rasmi.
  11. Ritz

    JamiiForums Tanzania Kikosi cha walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu chafunga tena Mlango-Bahari wa Hormuz

    Wanaukumbi. 🚨KUVUNJIKA Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu Chafunga Mlango-Bahari wa Hormuz Msemaji wa Makao Makuu ya "Khatam al-Anbiya": ◽️Kulingana na makubaliano ya awali katika mazungumzo, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwa nia njema, ilikubali kuruhusu idadi ndogo ya meli za mafuta...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Mlango wa Hormuz umefunguliwa, tutegemee nini?

    Naomba majibu hasa hapa kwetu. Kwingine mafuta yameshuka bei sana. Hapa kwetu tutegemee nini?
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Iran yafungua lango la Hormuz kupisha mazungumzo ya Israel na Lebanon

    Aprili 17, 2026 Iran imetangaza kuwa Mlango wa bahari wa Hormuz (Strait of Hormuz) umefunguliwa kwa shughuli za kibiashara wakati huu wa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Lebanon. Waziri wa Mambo ya Nje, Seyed Abbas Araghchi, amesema; "Sambamba na kusitisha mapigano nchini...
  14. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Kitendo Cha Trump kupiga block kwenye mlango wa Hormuz, ni kite iliyosukumwa vizuri

    Daa vita vinaitaji akiri, kwenye any combat operation ata kama una nguvu utaumia tu although utashinda Haina mashaka kwamba America ni dude kubwa, mataifa ya NATO yalikuwa yanakuja haraka yakiitwa ila Kwa Iran yameogopa kuungana na marekani. Mwaka 2011, NATO Hawa Hawa walivamia Libya na...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Baadaya Trump kuwasaidia Iran kufunga njia, Marekani ndie msambazaji mkubwa wa mafuta duniani, Hakuna tozo ya kuingia wala hofu ya kulipuliwa na Iran

    https://truthsocial.com/@realDonaldTrump/posts/116384077225474834 Trump ameichapisha mwenyewe. Ramani inaonyesha wazi. Meli kubwa za mafuta Supertanker tupu (VLCC), kila moja ikiwa na uwezo wa kubeba mapipa milioni 2 ya mafuta, sasa hivi zinakimbilia Pwani ya Ghuba ya Marekani. Hormuz...
  16. H

    JamiiForums Tanzania Iran Ndani ya Kibano Kikali cha Marekani, Hakuna meli yoyote inayoruhusiwa Kuingia au Kutoka Bandari za Iran

    Kama njia ya kulipiza kisasi kwa kitendo cha Iran kuzuia meli za baadhi ya mataifa kupita kwenye mkondo wa bahari wa Hormuz, tangu jana majira ya saa 4 asubuhi, Jeshi la Marekani limeweka zuio la meli yoyote kuingia au kutoka kwenye bandari zote za Iran. Na Marekani imeweka wazi kuwa kwenye zuio...
  17. Ritz

    JamiiForums Tanzania Uingereza: Hatutahusika katika kuzingirwa kwa Mlango-Bahari wa Hormuz

    Wanaukumbi. Hatutahusika katika kuzingirwa kwa Mlango-Bahari, tunafanya kazi kwa dharura na Ufaransa, Uhispania na washirika wengine ili kuunda muungano mpana ili kulinda uhuru wa urambazaji. Marekani haiwezi kuamuru jinsi wengine wanavyopaswa kusimamia mambo yao"- 🇬🇧 Waziri Mkuu wa Uingereza...
  18. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Trump asema Marekani itaudhibiti kijeshi Mlango-Bahari wa Hormuz

    Rais wa Marekani Donald Trump amesema Marekani itaweka “kizuizi cha kijeshi” na kuudhibiti Mlango Bahari wa Hormuz, njia muhimu ya usafirishaji wa mafuta duniani, kufuatia kushindwa kwa mazungumzo kati ya Marekani na Iran. Trump amesema kupitia ujumbe wake katika mtandao wa Truth Social kuwa...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Nchi ya Rushwa hii, Nchi ya kitu kidogo hii, hata Hormuz ikifunguliwa mafuta yaka flow kawaida bei ya Mafuta hapa Tz haitashuka

    Mtakuja kuniambia. Time will tell! Nchi hii ya kijambazi, majizi , wala Rushwa hata Hormuz ikifunguliwa to 100 % functional to let tankers sail through, na bei ya dunia ikashukakuwa kama mwanzo, HAPA BEI YA MAFUTA HAITASHUKA. Akina Msoga and Co. Ltd, ndipo sasa wanakuwa trillionaires!
  20. M

    JamiiForums Tanzania Trump alijaribu kutuma Kikosi cha Wanamaji cha Marekani kupitia Mlango-Bahari wa Hormuz

    Trump alijaribu kutuma Kikosi cha Wanamaji cha Marekani kupitia Mlango-Bahari wa Hormuz wakati wa mazungumzo nchini Pakistani. Iran ilisema haikujali mazungumzo na ingeilipua meli. Kisha Trump akaamuru meli hiyo igeuke na kurudi UAE. RAN ILIZUIA NDEGE YA MAREKANI YA MAREKANI KUTOKA HORMUZ...
Back
Top Bottom