hong kong

Hong Kong (; Chinese: 香港, Cantonese: [hœ́ːŋ.kɔ̌ːŋ] (listen)), officially the Hong Kong Special Administrative Region of the People's Republic of China (HKSAR), is a metropolitan area and special administrative region of China on the eastern Pearl River Delta in South China. With over 7.5 million residents of various nationalities in a 1,104-square-kilometre (426 sq mi) territory, Hong Kong is one of the most densely populated places in the world.
Hong Kong was established as a colony of the British Empire after the Qing Empire ceded Hong Kong Island from Xin'an County at the end of the First Opium War in 1841 then again in 1842. The colony expanded to the Kowloon Peninsula in 1860 after the Second Opium War and was further extended when Britain obtained a 99-year lease of the New Territories in 1898. British Hong Kong was occupied by Imperial Japan from 1941 to 1945; British administration resumed after the surrender of Japan. The whole territory was transferred to China in 1997. As one of China's two special administrative regions (the other being Macau), Hong Kong maintains separate governing and economic systems from that of mainland China under the principle of "one country, two systems".Originally a sparsely populated area of farming and fishing villages, the territory has become one of the world's most significant financial centres and commercial ports. It is the world's tenth-largest exporter and ninth-largest importer. Hong Kong has a major capitalist service economy characterised by low taxation and free trade, and its currency, the Hong Kong dollar, is the eighth most traded currency in the world. Hong Kong is home to the second-highest number of billionaires of any city in the world, the highest number of billionaires of any city in Asia, and the largest concentration of ultra high-net-worth individuals of any city in the world. Although the city has one of the highest per capita incomes in the world, severe income inequality exists among the population.Hong Kong is a highly developed territory and ranks fourth on the UN Human Development Index. The city has the largest number of skyscrapers of any city in the world, and its residents have some of the highest life expectancies in the world. The dense space led to a developed transportation network with public transport rates exceeding 90 percent. Hong Kong is ranked 4th in the Global Financial Centres Index.

View More On Wikipedia.org
  1. TODAYS

    Taarifa kwa umma kwa wasafiri wanaokwenda Hong Kong

    Kumekuwa na matukio ya Watanzania wanaosafiri kwenda Hong Kong kuzuiliwa kuingia au kuhojiwa kwa muda mrefu na maafisa wa Idara ya Uhamiaji ya Hong Kong katika uwanja wa ndege wa Hong Kong. Hali hiyo imejitokeza zaidi katika kipindi cha hivi karibuni tangu Hong Kong ifungue mipaka yake kuruhusu...
  2. BARD AI

    Hong Kong: Mmiliki wa Vyombo vya Habari vinavyotetea Demokrasia afungwa miaka 5

    Kwa mujibu wa Hati ya Mashtaka, Jimmy Lai, ambaye alikamatwa kwenye maandamano ya kushinikiza Serikali ifuate Utawala wa Demokrasi mwaka 2019 pia alipigwa faini ya Tsh. Milioni 599.7 Mahakama imemkuta na hatia ya Ulaghai Mwanademokrasia huyo anaodaiwa kuufanya mwaka 2016 na 2020 kupitia moja ya...
  3. L

    Hong Kong yaandaa mapambo maalumu ya mji kukaribisha miaka 25 tangu irudi China

    Hivi karibuni mitaa na majengo mengi maarufu huko Hong Kong yamepambwa na bendera ya taifa la China na bendera ya mkoa huo huku shughuli mbalimbali za kusherehekea miaka 25 tangu Hong Kong irudi China, ikiwemo maonyesho ya taa za LED.
  4. L

    Hong Kong yaendelea kuwa tulivu, imara na yenye neema miaka 25 baada ya kurudi China

    Ni miaka 25 sasa imepita tangu China irudishe mamlaka yake kwenye mkoa wa Hong Kong baada ya kuwa chini ya utawala wa Uingereza wa miaka 100. Ilikuwa ni Julai Mosi mwaka 1997, wakati wakosoaji walikuwa wakijenga picha mbaya kuhusu mustakbali wa Hong Kong, na kuitaja hatua hiyo kuwa ni mwanzo wa...
  5. L

    Maonyesho ya nguo za mitindo ya 'Metaverse' yafanyika Hong Kong, China

    Tarehe 9 Juni 2022, mradi wa nguo za mitindo "Juxtaposed 2022 FASHION META" ulioandaliwa na shirikisho la wabunifu wa nguo za mtindo wa Hong Kong ulifanyika na kusherehekea kumbukumbu ya miaka 25 ya kuanzishwa kwa eneo maalumu la Hong Kong.
  6. L

    Jumba la Makumbusho ya Kasri la Kifalme la Hong Kong kufunguliwa mwezi Julai

    Mei 29, 2022, Jumba la Makumbusho ya Kasri la Kifalme la Hong Kong Jumba la Makumbusho ya Kasri la Kifalme la Hong Kong lililoko magharibi mwa wilaya ya kitamaduni ya Kowloon Magharibi, litafunguliwa mwezi Julai mwaka huu na kuonyesha vitu vya kale kutoka kwa Jumba la Makumbusho ya Kasri la...
  7. beth

    #COVID19 Hong Kong yahofia Wimbi la Tano la Corona. Yapiga marufuku ndege kutoka Nchi 8

    Hong Kong imetangaza marufuku ya wiki mbili ya Ndege kutoka Nchi 8 zikiwemo Canada, Marekani, India na Ufaransa kutokana na hofu ya Wimbi la Tano la COVID19 katika Jiji hilo Mbali na marufuku hiyo, Mamlaka zimetangaza kufungwa kwa sehemu za kuogelea, baa, klabu, makumbusho na vituo vya michezo...
  8. beth

    Hong Kong: Uhuru wa Habari waendelea kuzorota. Tovuti ya Citizen News yatangaza kufunga shughuli zake

    Tovuti ya Citizen News imetangaza kufunga shughuli zake kuanzia Januari 04, ikitaja kuzorota kwa mazingira ya Vyombo vya Habari kama sababu. Hatua hiyo imekuja baada ya Polisi kuvamia Kituo cha Stand News wiki iliyopita, ambapo watu kadhaa walikamatwa kwa tuhuma za uchochezi. Sheria mpya...
  9. beth

    Hong Kong: Zaidi ya Maafisa wa Polisi 200 wavamia Ofisi ya Stand News

    Polisi imewakamata watu 6 kutoka Tovuti ya Habari ya Stand News kwa tuhuma za njama ya kuchapisha machapisho ya uchochezi. Ofisi ya Tovuti hiyo imevamiwa na zaidi ya Maafisa 200 Polisi wamesema waliidhinishwa kutafuta na kukamata nyenzo muhimu za Habari. Mapema mwaka huu, Polisi walivamia...
  10. beth

    Shirika la Amnesty kufunga ofisi zake Hong Kong kutokana na Sheria mpya ya Usalama wa Taifa

    Shirika la Kimataifa la Amnesty limesema litafunga Ofisi zake zilizopo Hong Kong Nchini China kutokana na Sheria mpya ya Usalama wa Taifa. Amnesty ambayo imefanya kazi Jijini humo kwa zaidi ya miaka 40 imesema Sheria hiyo inafanya Mashirika ya Haki za Binadamu yaliyo Hong Kong kushindwa kufanya...
  11. beth

    Google, Twitter na Facebook zatishia kuacha kutoa huduma Hong Kong

    Kiongozi wa Hong Kong amepuuza onyo na Kampuni kubwa za Teknolojia zikiwemo Google, Facebook na Twitter zilizosema zinaweza kuacha kutoa huduma katika Jiji hilo ikiwa Mamlaka zitaendelea na Sheria mpya ya faragha. Mamlaka zimeainisha mipango ya kupitisha Sheria mpya inayolenga kitendo cha...
Back
Top Bottom