1: HOFU YA KIBINADAMU
Hii ni hofu ya Asili ya mwanadamu. Historia ya kiroho inaonyesha hii hofu haikuwepo kabla ya Adam na Eva kula tunda. Iliibuka tu baada ya wao kuanza kumkimbia Mwenyezi Mungu. Hii Kila mtu anazaliwa nayo. Inajumuisha hofu ya kufa, kutumia, mambo mapya, Giza, mazingira n.k...