Waarabu siasa zao siyo za kubembelezana, wakianzisha chama cha siasa kinakuwa na military wing.
Angalia Kule Syria, Tizama HAMAS, Tizama Hezbollah, na sasa HOUTHI kule Yemen.
Wao wanaingia wamekamilika, kwanini sisi tuna anazisha vyama kama vile tuko kwenye vikoba?
CCM wao wana Military wing...