Baada ya kuangukia madaraka kama wakenya ambayo wangesma, Samia Sulubu Hassan alliahidi kuifungua Tanzania kana kwamba ilikuwa imefungwa. Alianza kuvaa barakoo tofauti na mtangulizi wake.
Alianza lugha ya economic diplomacy au diplomasia ya uchumi.
Aliongelea demokrasia, maridhiano na mambo...