hatari

Hatari (Icelandic pronunciation: [ˈhaːtarɪ]; lit. 'Hater') are an Icelandic techno, industrial and punk rock band and performance art group from Reykjavík. Their public image incorporates elements of anti-capitalism and BDSM-inspired attire. The band consists of Klemens Hannigan, Matthías Haraldsson and Einar Stefánsson, and has released one album and one extended play, encompassing several singles. Hatari represented Iceland in the Eurovision Song Contest 2019 with their song "Hatrið mun sigra", finishing 10th in the final.

View More On Wikipedia.org
  1. Komeo Lachuma

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hili toto litanitoa roho. Ni hatari yaani unajikuta unatoa kila kitu

    Angalia anavyocheka... Anavyobatasamu? Toto kama hili huwezi kupungukiwa nguvu za kiume. Zinajaa tu kila wakati. Midada mingine inasema hatuna nguvu za kiume kumbe ni sababu haina mvuto.
  2. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Imekua ni hatari sana kuwa mpinzani kwa miaka ya hivi karibuni hapa nchini, je ni nini kimetufikisha hapa?

    Awamu ya tatu na nne vijana wengi walihamasika kuingia upinzani na ilionekana ni kitendo cha kishujaa huku wakiungwa mkono na familia zao. hali imekua tofauti kwa vipindi vya awamu mbili za hivi karibuni, ambapo kuwa mpinzani imeonekana ni kitendo cha kuuweka rehani uhai pamoja na furaha ya...
  3. Dr leader

    JamiiForums Tanzania Sonona gonjwa hatari sana

    Wasiseme sikuumwa. Usiku wa saa nane ,imepigwa hii simu Ni kwasababu ya mane, nimeridhi kunywa sumu Nimeishi kama bene , sikuwa na umuhimu Wasiseme sikuumwa, Abuu hili liseme Sikulala miezi sita, mawazo yaniumiza Hadi macho yalisita, yalivyo nisheheneza Chakula hakikupita, hata ningajiliwaza...
  4. ngara23

    JamiiForums Tanzania Ni hatari kiroho kula nyama zilizogawiwa siku ya Eid El adhaa

    Hapa majuzi ilikuwa siku ya Eid El Adhaa almaarufu kama Eid ya kuchinja Hii siku maalum ya kuchinja ni siku ya kishetani, Kuchinja wanyama wengi hivi ni ibada chafu, tukio la kuchinja ni kumwaga damu na kunuia maneno ambayo walaji wa hizo nyama hawajui Kuchinja kiroho ni jambo gumu, na zito...
  5. Cannabis

    JamiiForums Tanzania Nabii Mtalemwa azungumzia madhara ya kulazimisha watumishi wanyamaze, na wasihoji

    Nabii Mtalemwa amesema madhara ya kunyamazisha watu wasihoji ni makubwa mno. Amesema "hali inakuwa mbaya zaidi pale wanapowaambia watumishi wa Mungu wasiongee kwa sababu hawataki kusikia mambo ya haki." Apostle amekumbushia hata zamani wafalme waliwabana manabii na kufanya kuwa wasipoongea ndio...
  6. Abtali Mwerevu

    JamiiForums Tanzania Mbinu za Hatari Alizotumia Gwajima Kuwatoroka Polisi

    Inaelezwa kwamba polisi walishindwa kumpata Gwajima ilhali walikuwa wamemzunguka. Maswali yanayoibuka ni je, aliwezaje kuwatoroka. https://youtu.be/yQ2zT0LD5qg?si=Brdvz6bRNVe6d2_e TANGAZO: ‘Likizo Time’ Mlete mwanao asome nasi katika kituo chetu kwa kipindi hiki cha likizo, masomo yote...
  7. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Tanzania Kupiga teke koni ya mazoezi na kurusha fimbo ya kibendera kama mkuki ipi ina hatari zaidi?

    Nimeshangazwa na aina na kiwango cha adhabu ambacho kimetolewa hivi karibuni na Bodi ya Ligi dhidi ya mchezaji wa Singida BS Jonathan Sowah na kocha wa viungo wa Simba. Kocha wa viungo wa Simba, Ruedoh Berdien amepewa adhabu ya kufungiwa kwa mechi tatu pamoja na faini ya shilingi milioni 1 kwa...
  8. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Kutoa Uhuru kutoka kwa hatari zote

    Heshima kwa mabudha na bodhisattvas wote. Hivi ndivyo nilivyosikia wakati mmoja. Mwenye Baraka alikuwa akisafiri katika nchi ya Magadha alipofika kwenye shamba la mwembe. Katika shamba hilo la maembe, aliishi katika Pango la Miamba la Indra kwenye Mlima wa Vaidehaka. Śakra bwana wa devas...
  9. mike2k

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kwanini Bunge linatoa Tuzo kwa Rais kupitia jina la CCM? Hili ni jambo la hatari kwa Katiba yetu

    “Simba hana haja ya kujitangaza. Ukisikia mwituni kimya kingi, ujue ama amecheua au yuko katika mawindo.” Methali hii ya Kiswahili imenikumbusha taarifa ya tarehe 1 Juni 2025 iliyotolewa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ikitoa pongezi kwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kupokea Tuzo Maalum...
  10. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Marekani na Ulaya ,iongeze Nguvu na Jitihida kuumaliza Ujamaa na Ushawishi wa wakomonisti Afrika ! Urusi, DPRK,Uchina kua Marafiki wa CCM ni HATARI !!

    Utekaji, Mauaji yanayoendelea nchini ni Kwa sababu ya Hakikisho la Uungaji mkono linaloendelea kutoka UCHINA, URUSI, NA DPRRK na Nchi wenye mlengo wa Ujamaa !!. Maana yake nini ? CCM inaenda kua Chama chenye kiburi kikubwa sana kupitia hayo Mataifa, in turn Uranium itaenda Urusi kwa mikataba ya...
  11. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Tambua hatari na chukua hatua za kujikinga

    Mit 22:3 SUV [3] Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia. Sio ajabu kumwona mtu anakimbilia jambo ambalo ameliona kabisa lina athari kwake, linaweza likawa na athari kwenye maisha yake ya kimwili au kiroho. Tunaweza kuona ni kitendo cha kishujaa ila...
  12. fact only

    JamiiForums Tanzania Wakuu ni hatari sana

    Hivi sasa na kuendelea tunaishi humu. Maana watu ni wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi. Wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda...
  13. D

    JamiiForums Tanzania Yupi ni hatari?

    Eti wakuu yupi ni kiumbe hatari ukikutana naye huwezi pona kati ya hawa na yupi unaweza Pona? Na kwa mbinu zipi? Kati ya nyoka KOBOKO na mnyama SIMBA Kwangu Mimi naona Bora nikutane na koboko kwa sababu ni nyoka hivyo ni 50-50 Mimi na yeye mmoja anaweza Toka mshindi kwa sababu nitaweza...
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Joseph Kabila Aingia Goma jumatatu leo na kupokelewa na M23 Hatari ya DRC kugawanywa kati yaonekana

    Viongozi wa afrika wanapokuta wana makosa wanatafuta njia za kuungwa mkono.sasa muelewe kuwa hata hapa waunga mkono ndani ya ccm wanaweza kuwa alipozaliwa .Utanganyika utajulikana sasa mfano kwa congo. kipindi cha idd amin ilikuwa hivi. https://www.youtube.com/watch?v=eIgfCC3q2oE
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Vyoo vya Shule ya Msingi Miembeni iliyopo Manispaa ya Songea (Ruvuma) ni hatari kwa Wanafunzi

    Muonekano wa Vyoo vya Shule ya Msingi Miembeni iliyoko Kata ya Msamala Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma ni wa kusikitisha na unatia hofu kwa afya za Wanafunzi. Vyoo hivyo ni vichafu kupita maelezo, kila tundu limejaa kinyesi na hali ya usafi ni duni, kwani harufu ni kali sana inayotoka kwenye...
  16. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Ndege za Kivita hatari zaidi Duniani

    Kwa mwaka 2025, ndege ya kivita inayoongoza duniani ni Lockheed Martin F-35 Lightning II, ikizingatia teknolojia ya kisasa, uwezo wa kiutendaji, na matumizi ya kimataifa. 🔝 Ndege Bora za Kivita Duniani (2025) 1. F-35 Lightning II (Marekani) Uwezo wa Stealth: Imeundwa kwa teknolojia ya hali...
  17. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Yafahaumu matunda hatari zaidi Duniani yanayoweza kusababisha kifo

    Wakuu piteni hapa kujua mawili matatu hivi. Karibuni sana.Matunda ni ovari zilizokomaa, zilizoiva za mimea ya maua ambayo humiliki mbegu na mara nyingi ni chakula kitamu. Ni sehemu muhimu ya mzunguko wa uzazi wa mmea, kusaidia kutawanya mbegu na kuwezesha ukuaji wake. Lakini mara nyengine...
  18. S

    JamiiForums Tanzania Uchawa Ndani ya CCM: Njia Mpya ya Kisiasa au Hatari kwa Demokrasia?

    Katika miaka ya karibuni, tumeona mwelekeo mpya ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambapo watu wanaonekana kupata nafasi, madaraka, au ulinzi wa kisiasa kwa kupitia uchawa—yaani kumtumikia au kumsifia kiongozi bila kuhoji, hata pale panapohitaji hoja. Je, huu ni mkakati wa kudhibiti mfumo wa...
  19. The redemeer

    JamiiForums Tanzania Laana ya mizimu na hatari katika maisha yetu hakika nyota zetu zipo kuzimu

    LAANA YA MIZIMU NA HATARI KATIKA MAISHA YETU HAKIKA NYOTA ZETU ZIPO KUZIMU Ifahamike kuwa kila kabila lina utawala wake wa mizimu ambapo utawala huo huwa unateua kuhani wa kuongoza shughuli zao.. Ila kutokana na Mwamko wa Elimu na dini mpya zilizoingia habari za mizimu zimeendelea kupoteza...
  20. MR BINGO

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna mtu hatari kuwa naye kwenye mahusiano kama mtu "anayehitaji kupendwa"

    mahusiano bora ni yale ya watu wawili waliojaa upendo ambao wako tayari kushare upendo huo Ila cha ajabu sasa mahusiano mengi ya sasa hivi ni ya watu wawili ambao hawana upendo ndani yao na wanataka wapendane sasa unajiuliza hawa watu wao wenyewe tu hawana upendo ndani yao, hiyo nguvu ya...
Back
Top Bottom