Tanga, kauli ya kifo ni kifo bado inawauma sana.
Katavi, imetupwa kushoto kuliko hata Kizimkazi yenye watu 20000
Mwanza, tukio la machi 17 2021 bado linawauma sana. Maana bado hawaamini kama ni mkono wa Mungu
Geita, waemkaa kimya ila wanasema walishatengwa kabisa baada ya machi 17 2021...