Tukio la huyu jamaa kufanya haya yote!
Japo ni mkristo nilifika kuchukia wanaosema ni askari!
Na leo mama kasema kama mnaona mtu kuwa na kosa kwanza fanyeni uchunguzi kabla kuleta yote!
Mama kaeleza.
Polisi wanaongoza kupiga dili
Askari michongo, askari sio wahaminifu, askari kutaka maisha...