===
Anaandika Vicent Kasala Twiter
HALI YA USALAMA TEMEKE NI MBAYA! DC Jokate Mwegelo,
Salam,
Nakuandikia kwa dhamana yako kama Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama wa Wilaya ya Temeke. Awali ya yote pole kwa majukumu ya kuwatumikia wananchi.
Mimi ni mwanachi wako katika Wilaya ya Temeke...