Vigezo na mashart kuzingatiwa
Thread lazima iwe kati ya 1dec 2020 mpaka 1.1.21
Jukwaa lolote
Yenye views weng
Yenye likes nyings
Yenye pages nying
Yenye comment nying
Ni ipi???
Muda bado...tuendelee kuzitafuta
Deadline ni 1.12021
Dau halipo ilA pongezi na HONGERA.. atatangaza mwenyewe...
Kama wewe upo town au sehemu yoyote ila ni muumini wa swag za kinjanja basi leo nakuletea wallet na saa ambazo zitaongeza thamani ya muonekano wako. Saa utaipata kwa sh 60000 na wallet ni sh 20000 ukitaka vyote kwa ujumla sh 80000
Dsm tunakuletea mpaka ulipo mkoani tunatuma pia.
Unaweza...
Baada ya kupumzika kwa siku kadhaa, mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli anaendelea na kampeni leo katika mkoa wa Dar es Salaam katika uwanja wa Benjamin Mkapa.
HOTUBA YA DKT. MAGUFULI
....Gonjwa hili la Corona na kilio cha Wanakenya wakiongozwa na Rais Uhuru...
Habari Wadau wa Jamii Forum,
Nimeanzisha biashara ya usalama wa vyombo vya moto kupitia GPS na ninahitaji support yenu.
Kama mnavofahamu, biashara katika sector ya usafiri imepamba moto nchini.Lakini palipo na biashara hapakosi changamoto. Wizi wa vyombo vya usafiri kama Pikipiki, Bajaji...
“ Wasichana msiolewe na wanaume mnaowazidi umri au mnaolingana, maana wanaume huoa baada ya kuwachoka mama zao, hivyo akirudi nyumbani akakukuta unafanana na mama yake lazima ahame tu ” Bw.Alfred Luvanda - Makamu wa Rais wa shirikisho la vyama vya wachimba madini Tanzania.
Chanzo Habari: ITV...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.