fundi

  1. Naomba msaada au ushauri juu ya Fundi wa Nissan X-trail

    Habarini na poleni na majukumu, Ninaomba msaada/ Ushauri juu ya Tatizo la gari langu (Nissan X- trail) nimetumia hili gari zaidi ya miaka 6, shida ilijitokeza kwenye Engine nikafanya uamuzi wa kubadilisha Engine na gear box (niliweka nyingine). Baada ya kukamilisha hilo zoezi cha ajabu (shida)...
  2. P

    Fundi nyumba anahitajika

    fundi nyumba anahitajika kwa kazi.kazi iko maeneo ya Temeke mpigie boss 0717371685
  3. S

    Fundi nguo anahitajika

    Fundi nguo anahitajika Awe na miaka 24 - 38 Awe na uzoefu usiopungua miaka 3 Awe anajua kushona nguo za kike vizuri Awe Mchapakazi, Muaminifu na Mtafutaji Ofisi ipo Dar Kinondoni Studio wasiliana na namba 0737 610 682.
  4. Kwa anayehitaji fundi umeme

    Kwa mahitaji ya kufanyiwa installation kuanzia awamu ya kwanza hadi awamu ya finishing. Bei zangu huwa ni rafiki sana kwa mkoa wa Dodoma ndiyo rahisi zaidi kukutana. Namba zangu za kazi ni 0752768907
  5. Jifunze kutumia troubleshooting tool iliyomo kwenye OS ya PC yako kutatua matatizo ya PC yako kabla ujamwona fundi maana akina fundi Michael ni wengi

    NOTE: Ninaposema troubleshooting tool maana yake ni tool inayoweza kukusaidia kujua na kutatua tatizo lolote kwenye PC. sifundishi ila najaribu kukufumbua macho ukae ukifahamu kuwa hauitaji knowledge kubwa kutatua matatizo madogo madogo ndani ya PC yako. Kumbuka kila kifaa kimeundwa na mfumo...
  6. Nahitaji fundi wa laptop

    Laptop yangu aina ya Dell Inspiration touch screen, intel core i7, 15.6', 8GB RAM imepasuka kioo. Ilianguka kisha nikawapa watu wa it office wakawapatia vijana wa field wameiharibu sasa nataka expert aniwekee screen mpya. Kama yumo humu aniambie bei ya hiyo touch screen ni kiasi gani au kama...
  7. Uzi wa kutupia fonts unazopendelea ukiwa kazini

    Kama kawaida unapokuwa unaandika au unadesign kitu chochote kama vile website au graphics za aina nyingine kama wallpaper, brochure, poster, logo, vitabu au newsletter nk. basi utakuwa na fonts unazopenda kuzitumia na zinavutia kweli kulingana na kazi unayofanya. Sasa uzi huu ni wa kutupia...
  8. S

    Fundi nguo anahitajika

    Fundi nguo anahitajika: 1. Awe ana ujuzi kwanza miaka 2 kuendelea. 2. Anafahamu kushona nguo za kike hasa za kwenye mashughuli mbalimbali kama harusi nk. 3. Awe na umri 25 -35 Piga namba 0737 610 682.
  9. Tunatengeneza urembo wa mageti, fensi, madirisha, milango, balcon na vitanda

    Habari! Kwa mahitaji ya urembo wa mageti, madirisha, milango, balcon na vitanda usisite kutucheki tukuhudumie. Pia tunafanya kazi yeyote ya casting. Karibu bei zetu ni za kishindani na nafuu. Tupo Mbeya mjini.
  10. E

    Jinsi ya kunyamazisha watu wanaokusema eti kisa ''gari lako chafu''

    Umeshawahi kusemwa (au kuchekwa) na watu eti kisa ''gari lako chafu?'' Unawajua hawa watu. Wanapenda sana kufuatilia mambo hayawahusu. Wasione kitu na wanaanza kukosoa. Hawajui unapitia changamoto gani kimasha. Wanakosoa bila kuelewa. Je, ungependa ''kuwanyamazisha'' hawa watu wenye tabia ya...
  11. V

    Tunachimba visima vya kisasa

    bavi drilling tunafanya huduma zifuatazo ndani ya Dar Es Salaam na mikoa yote kufanya geophysical survey(ground water survey ) kujua kama site yako ina maji. Tunachimba kisima kwa machine zetu za kisasa hummer pamoja na kuweka pvc. Tunafunga pump za...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…