feni

An iron–nickel alloy or nickel–iron alloy, abbreviated FeNi or NiFe, is a group of alloys consisting primarily of the elements nickel (Ni) and iron (Fe). It is the main constituent of the "iron" planetary cores and iron meteorites. The acronym NiFe refers to various chemical reactions that involve an iron–nickel catalyst or component, or in geology, to the general composition of planetary cores (including Earth's).
Some iron–nickel alloys are called nickel steel and usually contain additional elements, depending on the purpose.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Ipi feni (panga boy ) imara

    Habar wakuu nimekuja kwenu mnipe uzoefu nataka kununua feni 10 hizi al maarufu panga boy Nikampuni ipi imara na Bei nzuri feni panga boy
  2. M

    Feni ya gari

    Naomba kufahamu wapi nitapata swichi ya kufunga na kufungua feni ya gari kwani iliyopo kwa sasa imekufa niko hapa dar. Gari ni rav 4 old modern
  3. Brain Kingdom

    Aisee Usiombe Ukutane na Mwanamke Kibonge Anajua Kusimamia na Kuikalia kwa juu na Mauno yake ya feni

    Nimekoma mimi nimekoma nimekoma vibonge sitawadharau tena, wanashoo kali sana hawa viumbe Ni hayo tu
  4. Hot27

    Kwa mwenye feni aina ya LOFIDA (mpya au used) tuongee biashara

    Habari wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji feni aina ya LOFIDA mfanano kama hio pichani. Kwa mwenyenayo naomba tuweze zungumza na kuelewana. Mimi nipo Buguruni, Dar es salaam.
  5. Revolution 22

    Gari yangu haipandishi mshale wa speed na feni ya rejejeta haizunguki

    Wakuu habari Gari yangu haipandishi mshale wa speed ukiendesha pamoja na feni ya reheat haizunguki hivy kupelekea Gari kuchemsha shida inaweza kuwa nn? NB tatzo limeanza jioni hii wakati natoka job
  6. Munch wa Annabelle

    Wakuu naweza pata feni la panga boi panasonic Kariakoo 56E

    Wakuu za asubuh Nilikuwa napenda kuwauliza kwa maeneo ya Kariakoo wapi naweza pata FENI kubwa la panga boi la kuliweka sebuleni kampuni ya Panasonic au asha care ikiwezekana hata high class. Msaada wenu wakuu
  7. buyoya419

    Feni ya laptop inazunguruka mda wote

    Nina laptop dell 5289 Nikishaiwasha tu feni inaanza kuzunguruka mda wote Ilianza inwzunguruka baada ya kama dakika 10 au 15 inaacha Sasa hivi ndio imezidi mda wote inalia tu kwa sauti Naombeni msaada wenu nifanye nini ikae sawa
  8. A

    Msaada: Wapi naweza kujifunza ufundi Feni, pasi na redio?

    Habari zenu Wakuu, Naomba msaada kujifunza ufundi feni, pasi na Redio/Subwoofer. Nipo tayari kutoa hela ili nipate ujuzi huo kwa muda maalumu.
  9. MEGATRONE

    Je unaweza kuweka feni kwenye ceiling baada ya kufanya finishing?

    Habari ndugu zangu Moja kwa moja kwenye mada! Kuna nyumba bi mkubwa amejenga karibuni ila changamoto ni kwamba mkoa aliojenga una joto kali sana! Nilikuwa naomba kuuliza hivi nyumba ikishafanyiwa finishing inaweza kuwekewa feni ile ya juukwenye ceiling??? Au kuna kifaa gani kingine cha...
  10. A

    DOKEZO Responded Sehemu ya kusubiria abiria Kivukoni joto ni kali na feni hazifanyi kazi

    Kuna tatizo tunaomba Serikali, Jamii na hasa mamlaka husika zifahamu ili hatua zichukuliwe, ni kuhusu kero ya joto kutokana na msongamano wa watu Kivukoni Jijini Dar es Salaam. Abiria tunaotumia vivuko tunapata shida sana wakati wa kusubiri Kivuko kwenye lounge kutokana na joto kali...
  11. Kilimbatz

    Mchezaji Jonathan Sowah wa Medeama apewa feni kama zawadi ya mchezaji bora wa mechi(MVP)

    Wikiendi hii timu ya mpira wa miguu ya Medeama ya nchini Ghana ilimenyana na timu ya mpira wa miguu ya Bechem Mpaka dakika tisini zinakwishwa matokeo yalikuwa Bechem 1-2 Medeama Chakufurahisha katika mechi hiyo Medeama walitanguliwa na Bechem Kwa goli moja amabalo lilisawazishwa na Jonathan...
  12. Chizi Maarifa

    Natafuta Feni nzuri na bora ya Darini

    Wadau nahitaji feni nzuri kubwa 56" at least ya darini yenye upepo mwingi but isiwe na kelele nyingi. Budget tsh 100, 000 isizidi hapo kwa moja. Nami nahitaji mbili zinazodumu
  13. dingihimself

    INAUZWA Nauza feni Aina ya Ailyons

    Nauza feni yangu tsh 35,000 Aina ya Ailyons haina shida yoyote nipo Dar-es-salaam . Namba za Mawasiliano yangu ni 0657438581 0657438581
  14. King Rabbit

    INAUZWA Feni ya ukutani inauzwa

    FENI YA UKUTANI INAUZWA MPYA💥 Brand : Tronic Bei : 80,000 Mahali : Dodoma ☎️ : 0654 486 097
  15. K

    INAUZWA Kitanda, Godoro, Sabufa(SeaPeano) na feni vinauzwa Arusha Moshono

    Wanajf habari zenu bana?? Nimepata dharura naondoka mkoa huu nilipo(Arusha) na nauza vitu vifuatavyo. 1.Kitanda 5 kwa 6. Tsh 320k 2.godoro.comfy 5 kwa sita inchi 8 .Tsh 170K 3.SeaPeano..tsh 95k 4.Feni..tsh 35k Vitu ni vipya coz ndo nilikuwa naanza maisha Arusha lakini ndo hivyo naondoka...
  16. Farsan

    INAUZWA Feni ya juu inauzwa

    Feni inauzwa Brand:Evernal Bei: 50000/= Piga simu no: 0653499987 Mahali: Dar es salaam - Gongo la mboto
  17. dalalimhenga

    INAUZWA Feni ya juu inauzwa

    Feni inauzwa Bei ni Tshs 50,000 Ipo Mbezibeach Piga 0742141467
  18. Hajto

    Feni aina ya Evernal

    Habari zenu mabibi na mabwana, naomba kuuliza nahitaji feni aina ya Evernal, je nitapata wapi na napenda kujua bei yake je ni kiasi gani!
  19. C

    Wapi Wanauza Thermal Fuse za Feni?

    Naomba kujua maduka wanayouza thermal fuse za feni, mfani R 115 2A 250V. Asanteni
  20. K

    INAUZWA Feni inauzwa shilingi 45,000/=

    Ni Kampuni ya AILYONS, imetumika miezi mitatu tu. Feni ni nzuri na yenye nguvu. Bei ni 45000/= Njoo Kimara Mwisho uchukue. 0687603307
Back
Top Bottom