Aliingia mfanyakazi wa kawaida katika duka dogo la dawa, uso wake umechoka na mikono yake imepasuka kwa sababu ya kazi nyingi.
Akamuuliza mfamasia kwa sauti ya utulivu:
“Je, mna marhamu ya saruji(ni dawa ya kupaka juu ya ngozi kwa ajili ya kulainisha ngozi iliyokauka au kupasuka)?”
Mfamasia...