Habari Wana JF natumaini mu wazima.
Mimi ni muhitimu wa chuo mwaka 2024 katika fani ya umeme.
Katika kujitafuta na kupambana na ajira bado sijabahatika ila nimeona Kuna leseni zinazotolewa na EWURA ambazo zitanisaidia katika kufanya vibarua vyangu.
Swali langu. Je, nikikata leseni hiyo wa...