dube

Claire L'Heureux-Dubé (born September 7, 1927) is a retired Canadian judge who served as a puisne justice on the Supreme Court of Canada from 1987 to 2002. She was the first woman from Quebec and the second woman appointed to this position, after Bertha Wilson. Previously, she had been one of the first woman lawyers to handle divorce cases, and was the first woman appointed as a judge to the Quebec Superior Court and the Quebec Court of Appeal.
During L'Heureux-Dubé's time on the country's top court, she earned a reputation as a steadfast feminist and supporter of minority rights. Because roughly 40 percent of the 254 judgements that she wrote were dissents, she became known as the court's "great dissenter".

View More On Wikipedia.org
  1. Pdidy

    Dah Dube nae anatoka mapema hawezi kuendelea..Naona wamewapiga kimbola wachezaji sasa aisee...

    PRINCE DUBE ametoka ameshindwa kumaliza mechi dhidi ya TRA inaonekana amepata majeraha, inasubiriwa ripoti ya Madaktari kuona ukubwa wa majeraha yake na kwa hoja hiyo Emmanuel Mwanengo ndie Striker Kinara kwasasa.
  2. Waufukweni

    Prince Dube alivyomzawadia Pesa Mwananchi Bandarini baada ya Dabi ya Kariakoo

    Mshambuliaji wa Young Africans S.C (Yanga SC), Prince Dube, alivyomzawadia pesa Mwananchi baada ya kutua bandarini Machi 2, 2026 akitokea Zanzibar na klabu yake kufuatia mechi ya dabi ya Kariakoo Jumapili ambayo ilimalizika kwa suluhu ya 0-0.
  3. funaku

    Dube aanza kuonesha thamani yake jangwani!

    Yanga tuna changamoto ya lone striker kwa muda mrefu sana ..leo hii Dube ameanza kuonesha makali
  4. ngara23

    Nimechoka kumtetea Dube

    Kwanza niombe radhi Kwa mashabiki na Wanachama wenzangu wa Yanga, ambao tumekuwa tukivutana kuhusu kiwango cha Dube Me ni shabiki mvumilivu mno Dube havumiliki Ni mchezaji wa kawaida mno Dube hawezi kutusaidia mechi ya Ahly, FAR Rabat n. K Kwa striker huyu tumekwisha wakuu
  5. ngara23

    Wanaomlaumu na kumshambulia Prince Dube ni watu wasiojua mpira

    Wachambuzi wasiojua mpira wanambagaza Prince Dube binafsi nabaki nawashangaa Sisi tuliocheza mpira na baadae tukapata course za coaching tunajua hata striker kukosa nafasi ya kukosa goal ni mzuri mno, Ile nafasi ni ngumu mno Wachambuzi wengi hawaoni potential ya Dube kwakuwa hawajui mpira...
  6. Expensive life

    Lucky dube vs Bob Marley nani alikuwa bora kwako?

    Wakuu, kati hawa miamba wawili dube, Marley nani alikuwa mkali kwako? Kwangu mimi kura ipo kwa dube.
  7. M

    Pamoja na Yanga kushinda. Ukweli mchungu Dube ni mzigo kwa Yanga. Mechi kubwa zote huwa anaiua Yanga

    Habari wadau. Prince Dube kwa kweli ni mzigo kwa yanga. Ni bora atolewe kwa mkopo kwenda timu zingine. Pamoja na Yanga kushinda dhidi ya Simba na kutwaa ubingwa . Dube ameichelewesha sana yanga
  8. Determinantor

    Wimbo huu wa Lucky Dube ukawe SALA kwako

    Naomba wimbo huu kwa nyakati hizi, ukawe kama sala kwako! Hasa pale anaposema kuwa huwezi kujua hadi pale MTU aliyevaa koti jeusi atakapokuvamia, Gwajima yeye alisema, hatujui kesho ni Nani..... Tuanzie na verse hii Come on now little boy Say your prayers before you sleep Little boy went down...
  9. mdukuzi

    Ezi za Lucky Dube

  10. M

    Huyu Dube mnataka afunge magoli mangapi ili aonekane ni bora? Goli 8, assist 7 siyo mchango mdogo kwenye timu!

    Bado nasema dube ni mshambuliaji mzuri pamoja na mapito anayopitia. Mpaka sasa sidhani kama Kuna namba 9 kwenye ligi nzima mwenye mchango wa magoli kwenye timu yake anayemzidi dube! Kama yupo nitajieni,,magoli 8 na asisti 7 ni jumla ya mchango wa goli 15 kwenye timu,,sio jambo jepesi...
  11. R

    Kwa huyu kocha mpya wa Yanga, Dube kupewa kipaumbele na Aziz Ki kutumia nguvu nyingi kwenye pisi, Kipigo hakikwepeki Derby, Simba wanazirudisha zote 5

    Zinarudi zote na zinaweza kuzidi, Kocha mpya wa Yanga itamchukua muda mrefu kuingiza kikosi kwenye mfumo wake, Motivation ipo chini, wachezaji wamechanganyikiwa kubadilishwa makocha kila leo, Mindset za wachezaji wanajua kocha mpya anatimuliwa muda wowote. Unahitaji akili za kawaida kabisa...
  12. Mi mi

    Lucky Dube atengwe. Kipaji chake hakijawahi kutokea Afrika

    Afrika kipaji hiki kilikuwa bora kupita maelezo. Sikiliza hii Usizi wimbo mfupi lakini ujumbe mzito melody kali. Usizi emhlabeni Izingane zilala zingadlile Umama nobaba Emsebenzini badiliziwe Ubusuku bud'enganeni Uma ingadlile [English:] Misery in the world Children go to bed hungry Mom...
  13. W

    Kocha wa Yanga analazimishwa kumpanga Dube?

    Kwenye mechi zote 3 zilizopota kuanzia ya Mazembe kwa mkapa, Al Hilal ugenini na Leo dhidi ya Algers, Dube kaonyesha kuwa na uwezo mdogo sana, Kocha ana malengo yapi na huyu mchezaji ?
  14. M

    Dube sio level ya kimataifa. Ni bora wacheze Mzize na Musonda kama washambuliaji. Dube apumzike

    Hii ni fact Dube kaja kuirudisha yanga nyuma
  15. S

    Tutafakari kwa pamoja kwanini Dube na Ateba wameanza kufumania nyavu baada ya upako?

    Mpira wa Tanzania ni mgumu sana, mpira wetu ni wa kikwetu kikwetu, wakati mwingine unapowaambia watu kuwa mpira wa Tanzania hauangalia uwezo wa makocha watu wanabisha, mfano mzuri moira unaochezwa na timu yangu ya Simba utasema kuna kocha mle? Au gusa achie twende kwao kuna mpira pale? Mpira...
  16. Mkalukungone Mwamba

    Dube amekuwa mchezaji wa kwanza kufunga 'Hat-trick' ligi kuu ya NBC msimu huu

    Baada ya maombi mazito hatimaye mtoto wa mfalume aweka rekodi yake msimu huu Hat-trick' ya kwanza kwenye ligi kuu ya NBC msimu wa 2024/2025 imefungwa na Prince Dube Tangu ligi ianze Dube amekuwa na wakati mgumu katika ufungaji na ikafika hatua mashabiki wa Yanga na wadau wa soka kuanza kusema...
  17. Minjingu Jingu

    Mashujaa leo kipigo chao si chini ya bao 2 toka Yanga. Dube anatupia ameshafunguliwa

    Wachezaji hawa 1. Prince Dube 2. Aziz Ki 3. Chama Lazima wote au baadhi wa/atupie. Hilo lipo wazi limepitishwa. Na Dube alifanyiwa maombi majini yaliyotupwa kwake na wazee wa Zanzibar yameondolewa. Sasa yupo huru kweli kweli atakuwa anatupia tu. Aziz Ki naye amekaa sawa hakutakuwa na shida...
  18. Waufukweni

    Prince Dube ajiondoa katika mitandao ya kijamii

    Siku moja baada ya kuibeba Yanga SC kwa bao la dakika za majeruhi dhidi ya TP Mazembe, mshambuliaji Prince Dube amejiondoa katika mitandao ya kijamii. Hatua hiyo imewashangaza mashabiki na kuibua maswali mengi, hasa ikizingatiwa mchango wake katika kuokoa matumaini ya Yanga kwenye michuano ya...
  19. Minjingu Jingu

    Allahmdulilah picha: Dube kafunguliwa majini yameondolewa

    Ni majini tu alitupiwa. Alisomewa na Azam kisomo akatupiwa majini. Kuna watu wamempeleka kuombewa. Dube kafunguliwa. Sasa atakiwasha sana. Wamemwambia sasa asiache kuomba na ajitoe kabisa kabisa katika mambo ya kusomewa kisomo au kuchomewa ubani. Anasema anajisikia mwepesi sana baada tu ya...
  20. Mtu Asiyejulikana

    Mwezi July 2024 huyu Mwanayanga alimwonya Prince Dube na Aziz Ki. Wakakaidi

    Watu mapema walianza kumwonya Dube Mpomelelo kuachana na hizi show za kiduanzi. Akawa mbishi. Mtu akiwa kwenye mapenzi hasikii haoni. Huyu demu inasemekana. Wachezaji na viongozi wanapigiana pasi za upendo. Yeye anachojali ni mkwanja tu. Ila anahusika sana kusambaza gundu kwa wachezaji na...
Back
Top Bottom