diploma

A diploma is a certificate or deed issued by an educational institution, such as college or university, that testifies that the recipient has successfully completed a particular course of study. The word diploma also refers to an academic award which is given after the completion of study in different courses such as diploma in higher education, diploma in graduation or diploma in post-graduation. Historically, it can also refer to a charter or official document, thus diplomatic, diplomat and diplomacy via the Codex Juris Gentium Diplomaticus.The diploma (as a document certifying a qualification) may also be called a testamur, Latin for "we testify" or "certify" (testari), so called from the word with which the certificate begins; this is commonly used in Australia to refer to the document certifying the award of a degree. Alternatively, this document can simply be referred to as a degree certificate or graduation certificate, or as a parchment. The certificate that a Nobel laureate receives is also called a diploma.
The term diploma is also used in some historical contexts, to refer to documents signed by a King affirming a grant or tenure of specified land and its conditions (see Anglo-Saxon Charters and Diplomatics).

View More On Wikipedia.org
  1. Next Elon Musk

    Upatikanaji wa ajira upoje ngazi ya diploma?

    Guys neona nilete hii topic mezani kwa ambae anajua au experience, ukiachana na degree na masters chini kuna diploma na certificate but lets highlight kwa diploma hasa hali ikoje let's say upande wa tech (IT).
  2. Lycaon pictus

    Diploma za siku hizi za ajabu sana

    Unakuta mtu ana D zake mbili. Anaenda chuo, labda cha kilimo au afya. Anapiga mwaka mmoja Anapewa certificate. Hapo anaweza kwenda kuajiriwa nk. Lakini akiongeza mmoja anakuwa na Diploma. Sasa hii diploma inakuwaje? Maana kawaida syllabus ya diploma na certificate huwa tofauti kabisa. Kuanzia...
  3. Afrocentric view

    Chuo gani cha diploma cha serikali hakina mambo ya 'kisekondari'?

    Kwema wakuu, Nina mpango wa kurudi shule ukubwani. Nimemaliza degree ya engineering UDSM ila nataka nirudi nisome diploma ya afya. Naomba kufahamishwa Chuo gani cha serikali (Kwa dodoma na Dar) kina hizi kozi (Clinical Medicine/Phamarcy) na maisha ya chuo sio kama ya sekondari? Yani hakuna...
  4. Calvin 45

    Je, kuna uwezekano wa kupata mkopo university kama ukitokea diploma kwenda degree

    Naombeni msaada wenu wakuu. Nimemaliza diploma na nilikuwa napenda kuendelea na elimu ya juu lakini kulingana na hali ya maisha naweza nikashidwe kujihudumia na kama mnavyo fahamu chuo kikuu ni gharama kubwa. Naomba kufahamishwa kama naweza pata mkopo ili niweze kuendelea na elimu yangu...
  5. goodhearted

    Maombi ya chuo kikuu kwa wahitimu wa diploma

    Kila nikiingiza equivalent namba napata meseji hii "Only post request with a payload is allowed" Ambapo equivalent namba natumia namba yangu ya chuo niliyofanyia mtihani. Au nakose? Mwenye uelewa tafadhari!
  6. M

    Postgraduate Diploma in Curriculum (Open Universty)

    Nimeajiriwa as mwalimu, na ajira yangu nilipata kupitia postgraduate diploma In education, nataka nisome postgraduate diploma in curriculum. Je, inaweza nisaidia kufanya transfer kutoka kuwa mwalimu wa secondary to mwalimu wa vyuo vya ualimu.
  7. nemnunu

    Ushauri kuhusu course za afya diploma

    Habarini wana jamvi, Nina mdogo wangu kahitimu kidato cha nne na kwa masomo ya science kafaulu kwa wastani wa C. Je, ni course gani nzuri anaweza kusoma ambayo uhitaji wake ni mkubwa kwa sasa?
  8. sky soldier

    Upembuzi kuhusu utofauti wa kozi za Computer Engineering, Computer Science na Information Technology / Systems kwa kuzingatia mazingira ya TZ

    copy paste fb ila muhimu Wanafunzi wengi wenye ndoto za kusomea masuala ya Tehama huwa wanahangaika sana linapokuja suala la kufanya maamuzi juu ya kusomea kozi ipi kati ya hizo tatu.... ufuatao ni upembuzi yakinifu wa kuzitofautisha 1️⃣ 𝙄𝙉𝙁𝙊𝙍𝙈𝘼𝙏𝙄𝙊𝙉 𝙏𝙀𝘾𝙃𝙉𝙊𝙇𝙊𝙂𝙔 / 𝙎𝙔𝙎𝙏𝙀𝙈𝙎 & 𝙄𝘾𝙏 🔹𝗜𝗻𝗮𝗵𝘂𝘀𝘂 𝗻𝗶𝗻𝗶...
  9. Texaz

    USHAURI: Kwa matokeo haya nisome kozi gani?

    Ufaulu wangu wa kidato cha 4 ni B Kiswahili, zilozobaki zote D isipokuwa Math na Phys ni F na Chem D Nishaurini nikasome kozi gani ngazi ya Ufaulu wangu wa kidato cha nne.
  10. M

    Nina Diploma ya Civil Engineering, natafuta kazi

    Habari, Nina Diploma ya Civil Engineering natafuta kazi nipo Dar es salaam, naitaji kazi za site ili niweze kuwa vizuri zaidi Pia ni mtaalamu wa Autocad na Archicad pia vingi nimeandika kwenye CV yangu. Msaada mwenye connection yoyote anisaidie ili nami nipate ujuzi zaidi wa kazi
  11. VMWare-Oracle

    Msaada wa notes za Electrical Engineering ngazi ya Diploma DIT

    Habari zenu wana Jamii Forums. Nilikuwa nina uhitaji wa notes za course ya electrical engineering first year pale DIT ngazi ya diploma. Wakuu wa DIT, naomba msaada.
  12. S

    Ukisoma sheria ngazi ya diploma utaajiriwa?

    Sheria ngazi ya diploma utaajiriwa? Kazi utakazozizofanya ni zipi?
  13. Wababa13

    Nina Ordinary Diploma ya Maendeleo ya Jamii, kwenye mfumo wa ajira portal hii ndo inaitwa Diploma/FTC naomba msaada?

    Habari zenu wadau ivi kwenye mfumo wa Ajira Portal ile Diploma/FTC ni special kwa mtu aliye na kiwango kipi cha elimu?
  14. A

    Ordinary Diploma in Sports Management and Administration

    Habarini wana jukwaa, Naomba mwenye uelewa na course tajwa hapo juu anipe dondoo mbili tatu kuhusu modules zifundishwazo katika hii course, nimetokea kuvutiwa nayo.
  15. B

    diploma in education (arts) kwenye mfumo wa ajira tamisemi

    kuna mtu amefanikiwa kuweka masomo ya kufundishia
  16. Guga guga

    Mshahara wa serikalini wa Assistant Procurement Officer kwa level ya Diploma ni Tsh. ngapi?

    Habari za Humu wana Jukwaaa, naitaji kujua kima cha Mshahara wa Aliyeajiriwa na diploma ya procurement serikali kada ya Assistance procurement officer/ Assistance Supllies officer naombeni Majibu
  17. Wababa13

    Nina Diploma ya Community Development. Kwa course hii naruhusiwa kuomba kazi ya Tax Management Assistant ya TRA?

    Habari za muda huu kwa mara nyingine, nina cha NTA Level 6 course ya Maendeleo ya Jamii. Naruhusiwa kuomba kazi ya Tax Management assistant II?
  18. S

    Ukipata Sup diploma ya afya unarudia mwaka, hii sio fair hata kidogo

    Mtu wa degree akipata sup anachomoa na maisha yanasonga Ila wa diploma akipata sup haruhusiwi kuingia mwaka unaofata mpaka achomoe Mbaya zaidi Kuna mitihani ya written na oral au Ospe au mitihani ya wodini Ukifaulu written na ukafeli oral unarudishwa nyuma unawaacha wenzako wasonge mbele wewe...
  19. Mr FCB

    Msaada: Notes na mitihani kwa diploma ya medical lab.

    Habari zenu wakuu, naombeni mwenye notes nzuri za computer skills& information za mwaka wa kwanza za diploma in medical lab pamoja na mitihani mbalimbali ya masomo yote either 1St, 2nd or 3rd year anisaidie.
  20. Flowerpot

    Natafuta internship au kazi pale nitakapo maliza Diploma 2 in computer science. Au constructive criticism

    Habari, mimi ni mwanafunzi IFM mwaka wa pili dip in CS(nilianza certificate). Namaliza masomo mwezi wa 7. Natafuta internship, kazi au hata ushauri wa portfolio na skills. Nina skills za Html, css, JavaScript. JAVA (na oop), Oracle Sql, kotlin (na oop), adobe illustrator na blender 3D. Android...
Back
Top Bottom